Wafuatao wanatiwa kuwajibika mara moja kwa kosa la uhifadhi mbovu wa milipuko na kuhifadhi mabomu yaliyokwisha muda[expired]
1]mkuu wa majeshi
2]waziri wa ulinzi
3]naibu waziri
4]maafisa wa jeshi wanaohusika
huu ni uzembe mwingine kwa amiri jeshi mkuu.,kwani mwaka juzi ulitokea mlipuko mdogo jesihini maeneo ya gongolamboto..ambao haukuwa na madhara .,waliunda tume na wakaahidi kukagua hifadhi ya milipuko mara kwa mara.....inaonekana hawakujifunza kwa ule mlipuko mdogo wa mwaka juzi........ingekuwa bora mabomu kabla hayajaaribika wangekuwa wanayafanyia mazoezi..kuliko kuleta maafa!!
PIA TUJIFUNZE ...MAKAMBI WAKATI MWALIMU ANAYAJENGA YOTE YALIKUWA MBALI SANA NA MAKAZI HATA LUGALO ....ILIKUWA MBALI ....KAWE ILIKUWA MBALI...LEO MAKAMBI YAMEZUNGUKWA NA MAKAZI ...NI MAAFA...
LUGALO NI BARABARA..NI HATARI..ISIYO NA SIKU.....!!
NADHANI KOSA LA MAKAZI KUWA KARIBU NA MAKAMBI NI LA WATU WA JIJI NA MIPANGOO MIJI ..KWANI KAMA NILIVOSEMA ...MAKAMBI YALIPOBUNIWA YALIBUNIWA ANGALAU YAWE KILOMETA 2...KUTOKA MAKAZI YA RAIA KWA MAKAMBI YA MIJINI.....YALE MAKAMBI HATARI YA MISITUNI NDIO YAPO HADI KILOMETA 50 KUTOKA KWA RAIA..