Huyu GT ana matatizo ya akili.....(hopeful)! MKUU NEXTY LEVEL CHUKUA JUKUMU LA KUMWOMBEA MTU KAMA HUYU MUNGU AMBADILISHE NIMMEMONITOR SIKU NYINGI ILA UNAVYOENDELEA KUMWAKIA NDIO MASHETAN YANAPANDA KUANDIKA UJINGA....POLEN WANDUGU
Ansubiri apewe majina ya tume,un adhani anaweza kuongea hivi hivi bila kuunda tume..Lazima afanye hivyo..Hivi kweli Rais wetu anawezaje kukaakimya na kula kuku?
Mimi inaniuma san, hii inaonyesha hata awajali watanzania waliomchagua,
Vip kuna kiongozi yeyote wa upinzani aliyetoa maelezo yoyote kwa kusikitishwa na tukio hilo?
TANZANIA NEEDS A BIG LEADERSHIP CHANGE, CCM HAITUFAI TENA
hivi kweli rais wetu anawezaje kukaakimya na kula kuku?
Mimi inaniuma san, hii inaonyesha hata awajali watanzania waliomchagua,
vip kuna kiongozi yeyote wa upinzani aliyetoa maelezo yoyote kwa kusikitishwa na tukio hilo?
tanzania needs a big leadership change, ccm haitufai tena
Invisible;
Hii ndo naita bla blah blah balaaaaaahhhh kutoka kwa waziri.
Inatakiwa huyo waziri aachane na politiki, awaachie wataalamu waseme hilo bomu la hatari linaloSUBIRIWA kulipuka likilipuka litafikia umbali wa KM ngapi?
Kwahiyo mtu anayeishi Tegeta kwenye ghorofa pia ashuke? au mwisho ni Chalinze?!?
Mie sishuki wanasiasa waongo.
ansubiri apewe majina ya tume,un adhani anaweza kuongea hivi hivi bila kuunda tume..lazima afanye hivyo..
Zamani kulikuwa na lucas siyame na alikuwa waziri wa majanga,hivi vyeo kama hivi still vipo au vilifutwa?
ahhh mimi naona everything is fine rambi rambi kwa waliokumbwa na balaa huko mbagala lakini sie huku mjini naona watu washapata nafasi ya kuchomoka kwenda kwenye mambo yao mengine
wengine ndio tumerudi JF kukamua ma kawaida
sasa vipi kuhusu ule mjadala wa CAG?
Ansubiri apewe majina ya tume,un adhani anaweza kuongea hivi hivi bila kuunda tume..Lazima afanye hivyo..
zamani kulikuwa na Lucas Siyame na alikuwa waziri wa majanga,hivi vyeo kama hivi still vipo au vilifutwa?
Nimeopokea taarifa(zisizo rasmi) kutoka huko kambini kwamba inaofiwa wanajeshi 28 wamepoteza maisha
Inasikitisha kuona tanzania ni kama hakuna disaster management policy,kwani baada ya kutoka hiyo amri ya kushuka maghorofani mitaani hakuna hata askari wa kuwaelekeza wananchi safe points za kwenda wala paramedics wa kuhudumia wananchi in case of anything. Watu matokeo yake watu wamesambaa ovyo kila kona, foleni, watu hawajui kwa kuelekea matokeo yake kama linatokea jambo au bomu jingine la ghafla basi wananchi wengi wanakuwa katika hatari ya kufa bora hata wangebaki huko maghorofani.Halii hii ya kushughulikia mambo kwa zima moto imekuwa ikitucost sana,sijui wakuu wetu huko wanfanya nini?
...mama huyu anaangua kilio baada ya kumpoteza mtoto wake mdogo wa MIEZI MINNE wakati wa hekaheka ya kukimbia milipuko ya mabomu!