April '09 Bomb Blasts in Dar (Mbagala) and responses

April '09 Bomb Blasts in Dar (Mbagala) and responses

duniani!!

mwenye mapenzi haoniiiiii...ingawa macho anaayooo!!
yaani kama mimi ning'ekuwa mwanafunzi wako basi zero ing'enihusu yaani sijakufa hamu tumia lugha rahisi ilinikuelewe au hutaki nikuelewe maana siyo lazima nikuelewe pia...
 
Asate.

Vipi bado yanaendelea kulipuka?

Sisikii kitu, niko mbali kidogo lakini mjini. Yalivyoanza kulipuka madirisha yalikuwa yanatikisika, nikajua ni radi limepiga nje. Wanafunzi wawili confirmed dead according to ITV, watu 100 wamepelekwa hospitali ya temeke na wengine muhimbili.
 
Jamani aacheni muhimbili imejaa damu watu zaidi ya 50 wamekatika miguu na mikono.......asilimia 25 ni watoto wa shule ya msingi iliokuwa karibu na mlipuko....

Mkuu

Hayo unayyasema ya kweli?
 
_45715587_explosion.jpg
Milipuko ya Mbagala

Source BBC NEWS
 
Jamani aacheni muhimbili imejaa damu watu zaidi ya 50 wamekatika miguu na mikono.......asilimia 25 ni watoto wa shule ya msingi iliokuwa karibu na mlipuko....
aaaaaaaaagh, my God..umewaona au umeambiwa daaaa mbona inatisha na je unataka kuniambia wanafunzi wa St Mary..
 
yaani kama mimi ning'ekuwa mwanafunzi wako basi zero ing'enihusu yaani sijakufa hamu tumia lugha rahisi ilinikuelewe au hutaki nikuelewe maana siyo lazima nikuelewe pia...


nafikiri rais analaumiwa kwa kuchelewa kuwatuliza wananchi....na pia kwa kuwa na watendaji wabovu ,ambao hawawezi hata kujuwa silaha zilizoisha muda!!

nafikiri na yeye ana sehemu ya lawama...hasa ikizingatiwa yeye ni askari..tulimtegemea kuwa mzuri zaidi kwenye usmamizi wa majeshi yetu...
 
Kabisa kaka kwa macho....,yangu...jamani na kibaya zaidi wanaletwa kwenye ma pickup wamejazwa kama magunia na muhimbili wamewapanga foleni....inasikitisha sana na cha kuumiza wengine wako na dripu wakiwa kwenye pick up.....
 
Sisikii kitu, niko mbali kidogo lakini mjini. Yalivyoanza kulipuka madirisha yalikuwa yanatikisika, nikajua ni radi limepiga nje. Wanafunzi wawili confirmed dead according to ITV, watu 100 wamepelekwa hospitali ya temeke na wengine muhimbili.

Asante

Inasikitisha sana kusikia hivyo ukizingatia ninamarafiki huko mbagala na namba zao za sim hazipatikani.

Tuombe tu kwa wale wenzangu tulio nje ya TZ na tuna ndugu hapo mbagala
 
nafikiri rais analaumiwa kwa kuchelewa kuwatuliza wananchi....na pia kwa kuwa na watendaji wabovu ,ambao hawawezi hata kujuwa silaha zilizoisha muda!!

nafikiri na yeye ana sehemu ya lawama...hasa ikizingatiwa yeye ni askari..tulimtegemea kuwa mzuri zaidi kwenye usmamizi wa majeshi yetu...
ooohhhhhh yes, Sasa nimekupata kaka asante.
 
https://jamii.app/JFUserGuide it nimerudi tena niko kwenye gorofa ya 12 ....nje watu kibao

milipuko iketokea Mbagala sasa nashangaa mjini tunaambiwa tuondoke

walinzi hawajui kama nimerudi my life will continue as normal ...ikifika usiku ntatazama Arsenal wanawafunga Man U

Mods,

Hivi hakuna uwezekano wa kuweka option ya KULAANI post i.e opposite ya THANKS?

Please!please tuwekeeni hii option, post kama hii ya GT inabidi kuilaani (the opposite of Thanks).......kuna member nafikiri Rwabugiri alishaomba hii kitu naona kimya tu!

Huyu GT ana matatizo ya akili.....(hopeful)!
 
NInaavyoandika kaka mmoja ananipa taarifa huko temeke nako full....watu wanalia na kuna watoto waalioamua kukimbia wamepotea na kama kuna mtu utamwona mtoto amevaa nguo ya shule imeandikwa mbagala kwa nyuma wengi walivaa tshirt jaribu kumsaidia yawezekana hata nauli hawana wengine wamecha mabegi....cha kusikitisha vibaka wanachambua mali za watu kama hawana akili nzuri huko mbagala.....nani wa kulaumiwa???
 
Mods,

Hivi hakuna uwezekano wa kuweka option ya KULAANI post i.e opposite ya THANKS?

Please!please tuwekeeni hii option, post kama hii ya GT inabidi kuilaani (the opposite of Thanks).......kuna member nafikiri Rwabugiri alishaomba hii kitu naona kimya tu!

Huyu GT ana matatizo ya akili.....(hopeful)!

MKUU NEXTY LEVEL CHUKUA JUKUMU LA KUMWOMBEA MTU KAMA HUYU MUNGU AMBADILISHE NIMMEMONITOR SIKU NYINGI ILA UNAVYOENDELEA KUMWAKIA NDIO MASHETAN YANAPANDA KUANDIKA UJINGA....POLEN WANDUGU
 
Hivi kweli Rais wetu anawezaje kukaakimya na kula kuku?

Mimi inaniuma san, hii inaonyesha hata awajali watanzania waliomchagua,

Vip kuna kiongozi yeyote wa upinzani aliyetoa maelezo yoyote kwa kusikitishwa na tukio hilo?

TANZANIA NEEDS A BIG LEADERSHIP CHANGE, CCM HAITUFAI TENA
 
Mods,

Hivi hakuna uwezekano wa kuweka option ya KULAANI post i.e opposite ya THANKS?

Please!please tuwekeeni hii option, post kama hii ya GT inabidi kuilaani (the opposite of Thanks).......kuna member nafikiri Rwabugiri alishaomba hii kitu naona kimya tu!

Huyu GT ana matatizo ya akili.....(hopeful)!
Kweli tuna omba Ma-Webmaster wa JF watusaidie kuweka option hiyo, maana watu kama GT wako wengi wana kera kweli..
 
Back
Top Bottom