The Farmer
JF-Expert Member
- Jan 7, 2009
- 1,658
- 559
Mhh kuna watu wameingia nayo mtini, mbona kazi ipo!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
GT inaelekea hana akili timamu maana mara nyingi huwa anakurupuka tu, na siyo kwenye issue hii, achana naeGT huwa unavuta?
duu mbona umeanza na Mali we mchanga nini teh teh...Jamani Mungu awasaidie wahame bila kupoteza mali wala maisha yao!!
Vipi milipuko inaendelea?
up dates plz.
duu mbona umeanza na Mali we mchanga nini teh teh...
sijakupata mkuu, kwani rais kafanya nini? kwenye hii issue..Huyu Rais nae anatia mashaka,Idd Amin alipovamia Tanzania angekuwa huyu jama ndiye Rais basi Kagera leo ingekua ni ya Uganda.I"m sick and tired of you Mr.President
https://jamii.app/JFUserGuide it nimerudi tena niko kwenye gorofa ya 12 ....nje watu kibao
milipuko iketokea Mbagala sasa nashangaa mjini tunaambiwa tuondoke
walinzi hawajui kama nimerudi my life will continue as normal ...ikifika usiku ntatazama Arsenal wanawafunga Man U
sijakupata mkuu, kwani rais kafanya nini? kwenye hii issue..