Babu,
Sidhani kama kujiuzulu ndio jibu sahihi hapa! Ila hatua gani zinazochukuliwa kuhakikisha janga hili halileti maafa zaidi ndio jambo la msingi kwa sasa. Moja kuhakikisha sababu za kina zinapatika zilizoleteleza mlipuko. Pili, kuhakikisha hayo mabomu ambayo hayajalipuka hayalipuki. Tatu yale mabomu yaliyorushwa nje ya kambi yanasakwa na jeshi kwa msaada wa wananchi yanapatikana. Nne, misaada ya kihisani iende kwenye jamii kuhakikisha wahanga hawaendelei kudhurika na janga lililetelezwa na jeshi. Tano, baada ya mambo kutulia, hatua zichukuliwe dhidi ya waathirika. Kabla ya hapo, kila mtanzania, kila kiongozi ndani ya serikali na jeshini, lengo liwe moja tu kuhakikisha usalama wa rai na mabomu kutolipuka zaidi.
Sidhani kama kujiuzulu ndio jibu sahihi hapa! Ila hatua gani zinazochukuliwa kuhakikisha janga hili halileti maafa zaidi ndio jambo la msingi kwa sasa. Moja kuhakikisha sababu za kina zinapatika zilizoleteleza mlipuko. Pili, kuhakikisha hayo mabomu ambayo hayajalipuka hayalipuki. Tatu yale mabomu yaliyorushwa nje ya kambi yanasakwa na jeshi kwa msaada wa wananchi yanapatikana. Nne, misaada ya kihisani iende kwenye jamii kuhakikisha wahanga hawaendelei kudhurika na janga lililetelezwa na jeshi. Tano, baada ya mambo kutulia, hatua zichukuliwe dhidi ya waathirika. Kabla ya hapo, kila mtanzania, kila kiongozi ndani ya serikali na jeshini, lengo liwe moja tu kuhakikisha usalama wa rai na mabomu kutolipuka zaidi.