Aquiline damu yako bado inatafuta haki

Nilikuwa huko kwenu, hii awamu ya 5 ilinitoa huko ni pamoja na double standards zinazoendelea. Mimi nilibishana sana na mama yangu alimpigia kura Lowasa wakati mimi mgombea wangu alikuwa JPM.

Infact mimi nilikuwa team Membe lakini sikuhizi ninampenda Tundu Lissu kupita maelezo na ni mtu aliyenivutia kujiunga na CHADEMA.

Urafiki wangu mimi na wewe hauwezi kufa, wote tuna passport za bongo sisi ni familia
 

Nikikushindwa ' Kukushawishi ' Mkuu Mimi siyo GENTAMYCINE na Vyeti vyangu vyote nitavichoma moto mbele yako.
 
Mkuu, hauna sababu ya kutafuta mbinu za kulazimisha.
Umesema yy ni mkubwa mwenzio na rafiki yako hapa JFs....
Ss mwache ajiongoze, ndiyo sifa ya kuitwa Mkubwa.
Ukubwa jalala....
[emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…