MKATA KIU
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 3,410
- 8,184
Muda si mrefu kampuni ya ujenzi inakabidhi bwawa la umeme.
Ujenzi wa bwawa hilo ndio biggest engineering project kuwai kufanyika Tanzania na Africa mashariki yote.
1. idadi ya watu 11856 wamefika rufiji na kushiriki kulijenga
2. Raia wa mataifa 56 tofauti wamefika rufiji kushiriki kulijenga
3. Magari na equipment 1681 vimetumika kusaidia ujenzi
4. Masaa milioni 72 yametumika kwenye kazi ya kulijenga ( person- hours 72 milion hours)
5. Ndio mradi pekee ambao subcontractor tu, alikuwa anapewa kazi na kulipwa zaidi ya trilioni.
6. Ndio engineering project ilioleta mizigo mizito kuliko yote kuwai kufika africa mashariki. unakuta Mzigo mmoja tu una tani zaidi 200, sheria na kanuni za tanroads hawaruhusu kupitisha mizigo mizito sana barabarani ila kwenye bwawa walikaa kimyaa kama hawapo vile. Traffic wakiona gari limebeba mzigo wa bwawa tu hawaombi hata leseni ya dereva maana wanajua kibarua kitaota nyasi
7. ndio mradi pekee ulioonesha kwamba taasisi za serikali zinaweza kufanya kazi kwa spidi maana zilifanya kazi kwa spidi ya hali ya juu, bwawa lipo porini mbugani ila siku ambayo mkataba ulisainiwa, mkandarasi aliwaambia anataka akute maji safi site, umeme uwepo site, hospitali iwepo site
wizara ya maji ilitandika mabomba na kufikisha maji safi site kati kati ya pori fasta fasta wakati Dar tu kuna sehemu kibao maji safi hayajafika kwa miaka 60, tanesco nao walitandika nguzo za umeme na kufikisha umeme site fasta fasta, Tazara na yeye alifufua stesheni ya Fuga na kujenga kota za wafanyakazi wa tazara haraka haraka.
8. ndio mradi pekee ambayo serikali iliziba masikio kelele za wazungu, UN, UNESCO , WORLD BANK waliongea maneno yote ila hakuna kilichobadilika
screen shot kutoka website ya unesco 17 april 2020
Ujenzi wa bwawa hilo ndio biggest engineering project kuwai kufanyika Tanzania na Africa mashariki yote.
1. idadi ya watu 11856 wamefika rufiji na kushiriki kulijenga
2. Raia wa mataifa 56 tofauti wamefika rufiji kushiriki kulijenga
3. Magari na equipment 1681 vimetumika kusaidia ujenzi
4. Masaa milioni 72 yametumika kwenye kazi ya kulijenga ( person- hours 72 milion hours)
5. Ndio mradi pekee ambao subcontractor tu, alikuwa anapewa kazi na kulipwa zaidi ya trilioni.
6. Ndio engineering project ilioleta mizigo mizito kuliko yote kuwai kufika africa mashariki. unakuta Mzigo mmoja tu una tani zaidi 200, sheria na kanuni za tanroads hawaruhusu kupitisha mizigo mizito sana barabarani ila kwenye bwawa walikaa kimyaa kama hawapo vile. Traffic wakiona gari limebeba mzigo wa bwawa tu hawaombi hata leseni ya dereva maana wanajua kibarua kitaota nyasi
7. ndio mradi pekee ulioonesha kwamba taasisi za serikali zinaweza kufanya kazi kwa spidi maana zilifanya kazi kwa spidi ya hali ya juu, bwawa lipo porini mbugani ila siku ambayo mkataba ulisainiwa, mkandarasi aliwaambia anataka akute maji safi site, umeme uwepo site, hospitali iwepo site
wizara ya maji ilitandika mabomba na kufikisha maji safi site kati kati ya pori fasta fasta wakati Dar tu kuna sehemu kibao maji safi hayajafika kwa miaka 60, tanesco nao walitandika nguzo za umeme na kufikisha umeme site fasta fasta, Tazara na yeye alifufua stesheni ya Fuga na kujenga kota za wafanyakazi wa tazara haraka haraka.
8. ndio mradi pekee ambayo serikali iliziba masikio kelele za wazungu, UN, UNESCO , WORLD BANK waliongea maneno yote ila hakuna kilichobadilika
screen shot kutoka website ya unesco 17 april 2020