Arab contractor wanakabidhi bwawa la umeme, watu elfu 11 wameshiriki kulijenga, ndio Mradi Mkubwa wa kiuhandisi kuwahi kutokea Tanzania

Arab contractor wanakabidhi bwawa la umeme, watu elfu 11 wameshiriki kulijenga, ndio Mradi Mkubwa wa kiuhandisi kuwahi kutokea Tanzania

MKATA KIU

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2010
Posts
3,410
Reaction score
8,184
Muda si mrefu kampuni ya ujenzi inakabidhi bwawa la umeme.

Ujenzi wa bwawa hilo ndio biggest engineering project kuwai kufanyika Tanzania na Africa mashariki yote.

1. idadi ya watu 11856 wamefika rufiji na kushiriki kulijenga

2. Raia wa mataifa 56 tofauti wamefika rufiji kushiriki kulijenga

3. Magari na equipment 1681 vimetumika kusaidia ujenzi

4. Masaa milioni 72 yametumika kwenye kazi ya kulijenga ( person- hours 72 milion hours)

5. Ndio mradi pekee ambao subcontractor tu, alikuwa anapewa kazi na kulipwa zaidi ya trilioni.

6. Ndio engineering project ilioleta mizigo mizito kuliko yote kuwai kufika africa mashariki. unakuta Mzigo mmoja tu una tani zaidi 200, sheria na kanuni za tanroads hawaruhusu kupitisha mizigo mizito sana barabarani ila kwenye bwawa walikaa kimyaa kama hawapo vile. Traffic wakiona gari limebeba mzigo wa bwawa tu hawaombi hata leseni ya dereva maana wanajua kibarua kitaota nyasi

7. ndio mradi pekee ulioonesha kwamba taasisi za serikali zinaweza kufanya kazi kwa spidi maana zilifanya kazi kwa spidi ya hali ya juu, bwawa lipo porini mbugani ila siku ambayo mkataba ulisainiwa, mkandarasi aliwaambia anataka akute maji safi site, umeme uwepo site, hospitali iwepo site

wizara ya maji ilitandika mabomba na kufikisha maji safi site kati kati ya pori fasta fasta wakati Dar tu kuna sehemu kibao maji safi hayajafika kwa miaka 60, tanesco nao walitandika nguzo za umeme na kufikisha umeme site fasta fasta, Tazara na yeye alifufua stesheni ya Fuga na kujenga kota za wafanyakazi wa tazara haraka haraka.


8. ndio mradi pekee ambayo serikali iliziba masikio kelele za wazungu, UN, UNESCO , WORLD BANK waliongea maneno yote ila hakuna kilichobadilika

screen shot kutoka website ya unesco 17 april 2020
1739694297646.png
 
Unajua ni miaka mingapi hii!?

Katika kazi za engineering, person-hour (saa-mtu) ni kipimo cha juhudi za kazi, kinachowakilisha saa moja ya kazi inayofanywa na mtu mmoja. Person hour Inatumika kupima jumla ya muda unaohitajika kukamilisha kazi fulani kulingana na idadi ya watu wanaofanya kazi hiyo.

Mfano:
  • Ikiwa kazi inahitaji 10 person-hours, inaweza kufanywa na mtu mmoja kwa saa 10, au watu 5 kwa saa 2 kila mmoja.
  • Inasaidia katika kupanga muda, bajeti, na rasilimali kwa miradi mbalimbali.

tukirudi kwenye hoja

haya masaa ya kazi milion 72, yamepatikana kwa kujumlisha masaa ya kazi ya watu wote elfu 11, ambayo ni sahihi.

watu elfu 11 wakifanya kazi kwa masaa kumi tu kwa siku ni sawa sawa na person hours laki moja na elfu kumi, sasa hayo masaa laki moja na elfu kumi ni ya siku moja tu. je wakifanya miaka mitano utapata masaa mangapi ?

ndivyo jinsi tunavyo calculate masaa ya kazi kwenye engineering projects
 
Muda si mrefu kampuni ya ujenzi inakabidhi bwawa la umeme.

Ujenzi wa bwawa hilo ndio biggest engineering project kuwai kufanya Tanzania na Africa mashariki yote.

1. idadi ya watu 11856 wamefika rufiji na kushiriki kulijenga

2. Raia wa mataifa 56 tofauti wamefika rufiji kushiriki kulijenga

3. Magari na equipment 1681 vimetumika kusaidia ujenzi

4. Masaa milioni 72 yametumika kwenye kazi ya kulijenga

5. Ndio mradi pekee ambao subcontractor tu, alikuwa anapewa kazi na kulipwa zaidi ya trilioni.

6. Ndio engineering project ilioleta mizigo mizito kuliko yote kuwai kufika africa mashariki. unakuta Mzigo mmoja tu una tani zaidi 200, sheria na kanuni za tanroads hawaruhusu kupitisha mizigo mizito sana barabarani ila kwenye bwawa walikaa kimyaa kama hawapo vile. Traffic wakiona gari limebeba mzigo wa bwawa tu hawaombi hata leseni ya dereva maana wanajua kibarua kitaota nyasi

7. ndio mradi pekee ulioonesha kwamba taasisi za serikali zinaweza kufanya kazi kwa spidi maana zilifanya kazi kwa spidi ya hali ya juu, bwawa lipo porini mbugani ila siku ambayo mkataba ulisainiwa, mkandarasi aliwaambia anataka akute maji safi site, umeme uwepo site, hospitali iwepo site

wizara ya maji ilitandika mabomba na kufikisha maji safi site kati kati ya pori fasta fasta wakati Dar tu kuna sehemu kibao maji safi hayajafika kwa miaka 60, tanesco nao walitandika nguzo za umeme na kufikisha umeme site fasta fasta, Tazara na yeye alifufua stesheni ya Fuga na kujenga kota za wafanyakazi wa tazara haraka haraka.


8. ndio mradi pekee ambayo serikali iliziba masikio kelele za wazungu, UN, UNESCO , WORLD BANK waliongea maneno yote ila hakuna kilichobadilika


View attachment 3237536
Atuhiyaji maneno mwngi tunahitaji impact chanya kwenye bei za umema mpaka sasa hatujaona impact yoyote katika jamii ya Tanzania kwenye usambazi na bei rafiki kwa walaji.
 
kuna tofauti kati ya uzalishaji wa umeme na miundo mbinu ya kusafirishia umeme, sasa hilo la miundo mbinu ya kusafririshia umeme raisi samia ndiyo angepaswa kulitatua, umeme tayari upo …
Mh! yani uwe na mradi wa mapesa hivyo halafu usumbuliwe na miundo mbinu basi hukustahili kuwa na huo mradi!, mkuu waafrika tuna mambo ya ajabu sana swala.
 
Muda si mrefu kampuni ya ujenzi inakabidhi bwawa la umeme.

Ujenzi wa bwawa hilo ndio biggest engineering project kuwai kufanya Tanzania na Africa mashariki yote.

1. idadi ya watu 11856 wamefika rufiji na kushiriki kulijenga

2. Raia wa mataifa 56 tofauti wamefika rufiji kushiriki kulijenga

3. Magari na equipment 1681 vimetumika kusaidia ujenzi

4. Masaa milioni 72 yametumika kwenye kazi ya kulijenga

5. Ndio mradi pekee ambao subcontractor tu, alikuwa anapewa kazi na kulipwa zaidi ya trilioni.

6. Ndio engineering project ilioleta mizigo mizito kuliko yote kuwai kufika africa mashariki. unakuta Mzigo mmoja tu una tani zaidi 200, sheria na kanuni za tanroads hawaruhusu kupitisha mizigo mizito sana barabarani ila kwenye bwawa walikaa kimyaa kama hawapo vile. Traffic wakiona gari limebeba mzigo wa bwawa tu hawaombi hata leseni ya dereva maana wanajua kibarua kitaota nyasi

7. ndio mradi pekee ulioonesha kwamba taasisi za serikali zinaweza kufanya kazi kwa spidi maana zilifanya kazi kwa spidi ya hali ya juu, bwawa lipo porini mbugani ila siku ambayo mkataba ulisainiwa, mkandarasi aliwaambia anataka akute maji safi site, umeme uwepo site, hospitali iwepo site

wizara ya maji ilitandika mabomba na kufikisha maji safi site kati kati ya pori fasta fasta wakati Dar tu kuna sehemu kibao maji safi hayajafika kwa miaka 60, tanesco nao walitandika nguzo za umeme na kufikisha umeme site fasta fasta, Tazara na yeye alifufua stesheni ya Fuga na kujenga kota za wafanyakazi wa tazara haraka haraka.


8. ndio mradi pekee ambayo serikali iliziba masikio kelele za wazungu, UN, UNESCO , WORLD BANK waliongea maneno yote ila hakuna kilichobadilika

screen shot kutoka website ya unesco 17 april 2020
View attachment 3237536
Huu ni mradi mkubwa mzuri ila sio wa Sgr.

By the way Sgr imetumia gharama kubwa zaidi ya huu kufika tuu pale Dom.
 
Back
Top Bottom