Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo hesabu unayonifundisha ni ya dunia hiihii aukama hujui hesabu , sema ufundishwe jinsi zinavyokuwa calculated
Kuna mahali kaandika persons hours.Unajua ni miaka mingapi hii!?
Chizi huyo, bora hata angesema 72,000 hoursUnajua ni miaka mingapi hii!?
namsaidia mtoa mada.Hiyo hesabu unayonifundisha ni ya dunia hiihii au
Chizi huyo, bora hata angesema 72,000 hours
Wewe unaishi Dar ipi ambayo umeme unakatika kuliko kawaida au unafanya siasa?Kuna miradi ilikamilika na haikuweza ku-deliver kama ilivyokusudiwa...pesa zilipigwa haswa, mradi chini ya usimamizi wa serikali ya JK, ufadhili wa IMF.
Huu pia, pesa zimepigwa haswaaa, na kama wamefikia hatua ya kukabidhi basi angalau DSM yote na ukanda wote wa pwani tungeanza kuona faida za uwepo wa umeme! Ila ndo unakatika kuliko kawaida.
Ni sababu nzuri, nakubali.umeme unakatika sababu ya Transmission na distribution lines, Arab contractor hawakuja kujenga transmission line, hivyo mpaka leo transmission line na distribution line ni zile zile za zamani ndio zinasafirisha umeme wa bwawa, hivyo zinazidiwa nguvu sababu uwezo wake ni mdogo na zimechoka, ni kazi ya Tanesco kubadilisha transimission lines
Unadhani tutakuelewa?namsaidia mtoa mada.
Katika kazi za engineering, person-hour (saa-mtu) ni kipimo cha juhudi za kazi, kinachowakilisha saa moja ya kazi inayofanywa na mtu mmoja. Person hour Inatumika kupima jumla ya muda unaohitajika kukamilisha kazi fulani kulingana na idadi ya watu wanaofanya kazi hiyo.
Mfano:
- Ikiwa kazi inahitaji 10 person-hours, inaweza kufanywa na mtu mmoja kwa saa 10, au watu 5 kwa saa 2 kila mmoja.
- Inasaidia katika kupanga muda, bajeti, na rasilimali kwa miradi mbalimbali.
tukirudi kwenye hoja
haya masaa ya kazi milion 72, yamepatikana kwa kujumlisha masaa ya kazi ya watu wote elfu 11, ambayo ni sahihi.
watu elfu 11 wakifanya kazi kwa masaa kumi tu kwa siku ni sawa sawa na person hours laki moja na elfu kumi, sasa hayo masaa laki moja na elfu kumi ni ya siku moja tu. je wakifanya miaka mitano utapata masaa mangapi ?
ndivyo jinsi tunavyo calculate masaa ya kazi kwenye engineering projects
Much knowWewe unaishi Dar ipi ambayo umeme unakatika kuliko kawaida au unafanya siasa?
Braza ulisoma HKL?Unajua ni miaka mingapi hii!?
Huyu chat sio wa kumuamini kwa kila kitu mkuuHapana bwana mimi nimeiuliza chat gpt
Person-hours/man-hours ni masaa ambayo watu wamefanya kazi, hivyo unachukua idadi ya watu zidisha kwa masaa waliofanya kaziMiaka 8217 aisee😄
Unabishana na watu wa HGK unafikiri watakuelewa?Person-hours/man-hours ni masaa ambayo watu wamefanya kazi, hivyo unachukua idadi ya watu zidisha kwa masaa waliofanya kazi
Katika muktadha wa ujenzi, "person-hours" (saa za mtu) ni kipimo kinachoonyesha jumla ya muda wa kazi uliotumika kwenye mradi fulani, kwa kuzingatia idadi ya wafanyakazi na muda waliotumia kufanya kazi.Ni miaka zaidi ya 8000 yani mtoa mada anamaanisha bwawa limejengwa kabla ya Kristu hadi leo alafu anasema limejengwa haraka
Exactly watu hawaelewi , kuwa na umeme na kusambaza ni vitu viwili tofauti, transformers kubadilisha nchi nzima na nguzo ni costly siyo zoezi la siku mbili, ni mkakati endelevu, ila kwa mradi huu imapaswa kujipongeza kama nchi, nchi nyingi afrika ikiwemo mwenye uchumi mkubwa southafrica hawana umeme wa kutosha ila tanzania tumewezakuna tofauti kati ya uzalishaji wa umeme na miundo mbinu ya kusafirishia umeme, sasa hilo la miundo mbinu ya kusafririshia umeme raisi samia ndiyo angepaswa kulitatua, umeme tayari upo …
Nafikiri ni jumla ya masaa ya watu 11,000Unajua ni miaka mingapi hii!?
Sawa mkuu. Hapo nimeelewaPerson-hours/man-hours ni masaa ambayo watu wamefanya kazi, hivyo unachukua idadi ya watu zidisha kwa masaa waliofanya kazi