Arab Muslim: World architecture of slavery in Africa

Arab Muslim: World architecture of slavery in Africa

Huu mjadala umekuwa mrefu. Kwa maoni yangu munazungumza lugha moja kwa mitazamo miwili tofauti. Ingependeza mukaendelea kujadili yaliyomo badala ya kuzungumza yameandikwa na nani.

Kwanza ni lazima tujuwe uzushi uliokuwemo katika hayo maandiko umeletwa na nani.
 
Kwanza ni lazima tujuwe uzushi uliokuwemo katika hayo maandiko umeletwa na nani.
Ni sawa. Nilikuwa wa kwanza kucomment na nikaonesha kuna ukweli na uongo ndani yake kwa kutumia lugha nyepesi sana. Binafsi niliona kuna uongo ndani ya maandishi, ila sio ya sky Eclat bali ni ya mwandishi wa hicho kitabu. Sasa ndo nadhani kuna umuhimu wa kujadili kilichoandikwa badala yakutafuta ni nani aliandika.
 
Ila ukweli upo palepale ,biashara ya utumwa Imeua waafrika wengi sana mamilioni ya babu zetu walipoteza maisha.
Warabu,wazungu na jamaa zao wengine walioshiriki mchezo huu waliua waafrika wengi.Nashangaa ukweli huo mchungu mtu akijaribu kuusema anashambuliwa kwa msingi wa udini. Hawa ndugu zetu waarabu na wazungu tunawashadadia tu lkn wametufanya vibaya historia haindanganyi.
Ni sawa. Nilikuwa wa kwanza kucomment na nikaonesha kuna ukweli na uongo ndani yake kwa kutumia lugha nyepesi sana. Binafsi niliona kuna uongo ndani ya maandishi, ila sio ya sky Eclat bali ni ya mwandishi wa hicho kitabu. Sasa ndo nadhani kuna umuhimu wa kujadili kilichoandikwa badala yakutafuta ni nani aliandika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila ukweli upo palepale ,biashara ya utumwa Imeua waafrika wengi sana mamilioni ya babu zetu walipoteza maisha.
Warabu,wazungu na jamaa zao wengine walioshiriki mchezo huu waliua waafrika wengi.Nashangaa ukweli huo mchungu mtu akijaribu kuusema anashambuliwa kwa msingi wa udini. Hawa ndugu zetu waarabu na wazungu tunawashadadia tu lkn wametufanya vibaya historia haindanganyi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante saba Mimi nilibase kwenye historia si kule ga dini. Tatizo heading ya kitabu imetaja dini.

E
Injili ya Mtume Paul kunasehemu anahimiza watumwa wawe watiifu kwa mabwana zao. Katika hiki kitabu chapter inyoendelea pia Wareno walianza kupigana vita kuanzia Congo, Angola mpaka Msumbiji. Waliteka Mateka wa vita kuwafanya watumw wao.

Kumbe soko la watumwa weusi lilipendwa na wazungu kwakua walistahimili magonjwa na walikuwa na nguvu yakufanya kazi muda mrefu.
 
Back
Top Bottom