Ahamie kwetu huku kwa MA MBUMBUMBUπ€£ππ naogopa kusema mtani.
Ila tu ukishakuwa Utopolo akili zinaruka ndio maana HANA AKILI.
Hama, hamia Ubaya Ubwela mtani upate akili ππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahamie kwetu huku kwa MA MBUMBUMBUπ€£ππ naogopa kusema mtani.
Ila tu ukishakuwa Utopolo akili zinaruka ndio maana HANA AKILI.
Hama, hamia Ubaya Ubwela mtani upate akili ππ
Aingilie direct haiogopi Oktoba?Rais asije jaribu tia p*a yake ktk hili .. Fei hajulikani hata hapo CUF..
Mkileta siasa mtafingiwa taifa zima
Mkuu kurudia mechi sawa nani kuahilisha kwa sabb zipi? Kama si mgeni na mpira wa simba na yanga! Utakumbuka tukio la simba kucheza kipindi kimoja tu!! Na hatimae walipoenda mapumziko simba hawakurudi kabisa uwanjani...Game itapangwa siku nyingine, ili kuipa umuhimu kiongozi mmoja mkubwa wa serikali atapewa ugeni rasmi huenda kiingilio kisiwepo na supu mkapewa ili kuzima kelele
Machawa watapewa jezi zenye mapambio ya kusifu na kuabudu, maisha yataendelea
Inapangwa tarehe ingine halafu mgeni rasmi "Mwenyekiti wa chama"Ndugu Wananchi kwa dhati ya moyo wangu niwapongeze kwa kufika uwanjani kutoka kona zote nchini, mliosafiri kwa anga, mliosafiri kwa magari, mliopanda Pikipiki, mliopanda boti hadi Watembea kwa miguu, yote ni kwa ajili ya Yanga Afrika, huu sio tu upendo bali mahaba ya kulevya kwa klabu hii bora zaidi nchini.
Ndugu Wananchi poleni mno kwa kadhia ya leo, sisi kama Viongozi mliotupa dhamana kusimamia hii chapa kwa niaba yenu tumepigana, tumehakikisha mawazo yenu, matakwa yenu na sauti yenu inasikika kwa sauti ya juu sana, kwa kuheshimu mpira wa miguu na kuheshimu uthubutu wenu tuliandaa na kuleta timu uwanjani tayari kwa kushindana ila yaliyotokea yametokea.
Ndugu Wananchi, poleni kwa kupoteza muda wenu, kwa kupoteza fedha zenu kwa ajili ya mechi hii kubwa na ya kihistoria, ninyi ni sisi na maumivu haya ni yetu sote kama ambavyo tumeimba pamoja, tumelia pamoja basi hata sasa mpaka milele tupo pamoja, hilo likae vyema kwenye kumbukumbu kuwa sisi ni Yanga.
WACHEZAJI na Benchi la Ufundi, asanteni kwa heshima mliowapa Wapenzi wa soka nchini bila kujali timu zao, mmehakikisha mpira wa miguu umeshinda, kuna wakati sio suala la Mshahara wala posho bali heshima kwa nembo ya Kijani na Njano, Asanteni Vijana kwa kufika na angalau Mashabiki wameweza kuwaona na kuwalaki.
WANANCHI, mechi yetu dhidi ya Mtani wetu SIMBA imeisha leo hii kwa msimu wa 2024/25 raundi ya pili na ieleweke vyema hakutakuwa na mechi nyingine sehemu nyingine, siku nyingine na tarehe nyingine yoyote ya kuihusu Yanga dhidi ya Simba kwa Ligi kuu, iwekwe sawa kwenye kumbukumbu na ikolezwe vyema kwa wino kuwa its done and dusted, sisi tunasonga mbele na ratiba zingine.
Hii ndio sauti yenu moja, kamba moja ya DAIMA MBELE, NYUMA MWIKO na tutashikilia hapo hapo Wananchi, niwatakie safari njema Wananchi wote kurejea makwenu, Mungu awalinde, awatunze mkaungane tena na familia zenu, tutakutana tena wakati mwingine panapo majaaliwa In shaa Allah.
View attachment 3264063
HaijaishaWoyoooooo mambo niyapendayo π€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ€Έ IMEISHA HIYOOOOOO
Cc Bill
Mnajifariji tu, hakuna wa kugomea mamlaka za nchi hii, mechi itachezwa na uwanjani mtarnda. Wabongo mdomon mko vizuri , itadhani mko serious ila matendo hamna kituNdugu Wananchi kwa dhati ya moyo wangu niwapongeze kwa kufika uwanjani kutoka kona zote nchini, mliosafiri kwa anga, mliosafiri kwa magari, mliopanda Pikipiki, mliopanda boti hadi Watembea kwa miguu, yote ni kwa ajili ya Yanga Afrika, huu sio tu upendo bali mahaba ya kulevya kwa klabu hii bora zaidi nchini.
Ndugu Wananchi poleni mno kwa kadhia ya leo, sisi kama Viongozi mliotupa dhamana kusimamia hii chapa kwa niaba yenu tumepigana, tumehakikisha mawazo yenu, matakwa yenu na sauti yenu inasikika kwa sauti ya juu sana, kwa kuheshimu mpira wa miguu na kuheshimu uthubutu wenu tuliandaa na kuleta timu uwanjani tayari kwa kushindana ila yaliyotokea yametokea.
Ndugu Wananchi, poleni kwa kupoteza muda wenu, kwa kupoteza fedha zenu kwa ajili ya mechi hii kubwa na ya kihistoria, ninyi ni sisi na maumivu haya ni yetu sote kama ambavyo tumeimba pamoja, tumelia pamoja basi hata sasa mpaka milele tupo pamoja, hilo likae vyema kwenye kumbukumbu kuwa sisi ni Yanga.
WACHEZAJI na Benchi la Ufundi, asanteni kwa heshima mliowapa Wapenzi wa soka nchini bila kujali timu zao, mmehakikisha mpira wa miguu umeshinda, kuna wakati sio suala la Mshahara wala posho bali heshima kwa nembo ya Kijani na Njano, Asanteni Vijana kwa kufika na angalau Mashabiki wameweza kuwaona na kuwalaki.
WANANCHI, mechi yetu dhidi ya Mtani wetu SIMBA imeisha leo hii kwa msimu wa 2024/25 raundi ya pili na ieleweke vyema hakutakuwa na mechi nyingine sehemu nyingine, siku nyingine na tarehe nyingine yoyote ya kuihusu Yanga dhidi ya Simba kwa Ligi kuu, iwekwe sawa kwenye kumbukumbu na ikolezwe vyema kwa wino kuwa its done and dusted, sisi tunasonga mbele na ratiba zingine.
Hii ndio sauti yenu moja, kamba moja ya DAIMA MBELE, NYUMA MWIKO na tutashikilia hapo hapo Wananchi, niwatakie safari njema Wananchi wote kurejea makwenu, Mungu awalinde, awatunze mkaungane tena na familia zenu, tutakutana tena wakati mwingine panapo majaaliwa In shaa Allah.
View attachment 3264063
Waloshawahi kufanya lolote wakafanikiwa?Wanasheria wa yanga wafanye kitu ili FIFA walete rungu lao tukose wote maana simba na baba yao tff wanaleta upumbavu
Unahisi akiikosa sapoti ya uto nani atamtoa kwenye kiti chake?Huyo MAZA wako hataki sapoti ya wana Uto?
CUF ya lipumba au marehemu maalim?Rais asije jaribu tia p*a yake ktk hili .. Fei hajulikani hata hapo CUF..
Mkileta siasa mtafingiwa taifa zima
HAWA JAMAA N WASENGEView attachment 3264127Kwani pale tff kuna watu wanajua sheria au kumejaa vilaza?!
πππ nlicheka sana πππUnajua Manara akili hana π€£π€£π€£π€£π€£ nimecheka, eti vizee vyote vifupi, mbuzi wanalia mee meee.
Na wamualike huyo mwenyekiti, lakini sisi hatutii timu uwanjani.Soka la kihuni,simba safi kabisa kwa kuukataa uhuni.
Na timu zingine ziige kwa simba.Haya waendelee na ligi yao