Ardhi University(ARU) - Special Thread

Ardhi University(ARU) - Special Thread

Young mesult Nan dogo mi sio mdogo wako na sihitaji msaada kutoka kwako ni graduate mda sana na nna kazi kusema sielewi issue za building economics c kwamba nataka msaada
 
Last edited by a moderator:
Asisome..ni majanga hii kozi..labda kama babake ana kampun hapo sawa.hiv
jamaa kanys boya kweli ni aina ya watanzania ambao hawajui na wanajitia wanajua...dogo huyu anakukatisha tamaa tu hajui chochote kuhusu BE kwa kifupi kijana kozi ipo marketable saàaaaaaaaana

kwanza iinapatikana au inatolewa chuo kikuu ardhi na nairobi africa mashariki na kati

hapa tanzania hakuna diploma wala certificates ya BE ni bachelor tu na ipo ardhi pekee

kwa mwaka ardhi inatoa graduates not more than 150 graduates you can see au marketable it is hawana competition kabisaaaaaa


haya tukija kwenye ajira tambua ukigraduate unaitwa guantity surveyor(gs) yani unatathimini gharama za ujenzi.....tanzania kuna makampuni kibao kweli ya ujenzi kama umepga zako gpa nzuri kuanzia 3.5 nakuhakikishia hautazunguka na baasha kabsa watu wanaanza kupiga madili kuanzia mwaka watatu na uzuri hata kwenye makampuni ya wachina wanakuja na techinical team yao lakini QS lazma awe mbongo ili kufanya negotiation na consultations na kubring up quarries zinazojitokeza kweny site kwani hawajui kizungu kabsa na wajua kiswahili cha kubahatisha na hapo ndio inapokuja haja ya kuwaajiri watz

haya ukija kwenye mpunga au salary aisee hawa jamaa wanakula pesa sana tambua kwenye ujenzi wa majengo gs analipwa 7%ya gharama yote ya ujenzi(consultant qs) wajuvi wataelew hapa haya piga hesabu kama jengo linagharimu bilioni 3 unapata ngapi


kwa kifupi kwenye construction industry ukianza na babalao Arhitect civil engineer quantity surveyor tanzania bado inaitaji san na ni rahisi saaaaana kujiajiri Ardhi pale watu wanauza ramani bdo wanabukua

Usimdanganye mwenzio! Nina big exp na hii kozi..yani si ya kusoma kama unategemea ajira serikalin etc tuwe wakweli
 
Quantity surveyor ni pana sana pia una nafasi nyingi sana za ajira mimi ni procurement officer nina fanya kazi na quantity surveyor ki ukweli jamaa anajua vingi sana yani procurement mpaka construction na nikikwama mambo ya procurement especially kwenye regulation and act ni bonge la msaada yani kwa kifupi cozi yangu ya procurement ipo ndani ya iyo building economics, kasome ni nzuri
 
??What about geomatics?


geomatics is one among the best courses offered
at ardhi university.. msuli wake sio wa kitoto.
kwa kweli no mgumu. lakini una matunda sana..
geomatics inahusu land surveying, upimaji wa
ardhi. inadili sana.. kuanzia chuoni utaanza
kupata pata vidili vya watu wanaotaka kupimiwa
vipande vyao vya ardhi.. kutafuta hati... au
kulocate tu shamba lake au kiwanja chake kujua
kina ukubwa gani na features zilizomo.. pia
kwenye ujenzi wa projects kama barabara,reli,
majengo wakati mwingine, waliosoma geomatics
wanahusika sana kulocate na kushauri wakati wa
kudesign.. advantage ingine ya hii course ni kua
ni rahisi kujiairi. capital yako iko kichwani mwako
sana sana.. ukimfanyia mteja mmoja kazi nzuri
kesho atakutangaza kwa ndugu zake.. hivyo
hivyo your network grows. ni uaminifu tu
unaohitajika. hayo ni yangu tu mkuu. i hope
nitakua nimekupa mwanga kidogo japokua mimi
sio surveyor but i have a lot of friends ambao ni
masurveyor
 
hahahahahaahahah,,, mkuu, hata kama ni ukweli,umeusema directly sana!!! Daah,, yani umemkata huyu dogo maini kweli kweli,,, inawezekani mimi nilikua mmoja wa wanafunzi wako mwalimu, kwasababu nimemaliza ardhi university - bachelor of architecture few yearz back,.. Heshma mbele mwalimu!!!
aiseee nataka more detail za architecture
 
Mwambie asome mkuu ila ajitahidi afaulu vizuri tu ,hapa nilipo huku kuna wa Zimbabwe ndo wamejaa walisoma hiyo mkuu .kwenye construction industry wanahitajika mpaka kweye miradi mikubwa.Jamaa wana miaka 10 tangu wamazile chuo lakini wameshafanya kazi karibu nchi 4.Wameshazunguka dunia mpaka uarabuni kufanya kazi hizo .Tatizo wabongo hatuko aggressive na hatujiamani kama tunaweza.Hata kama rangi ya ngozi yako inaweza kua kikwazo mara nyingine lakini we angalia mbele na komaa tu .In brief aendelee na course yake kama kawaida
 
Mwambie asome mkuu ila ajitahidi afaulu vizuri tu ,hapa nilipo huku kuna wa Zimbabwe ndo wamejaa walisoma hiyo mkuu .kwenye construction industry wanahitajika mpaka kweye miradi mikubwa.Jamaa wana miaka 10 tangu wamazile chuo lakini wameshafanya kazi karibu nchi 4.Wameshazunguka dunia mpaka uarabuni kufanya kazi hizo .Tatizo wabongo hatuko aggressive na hatujiamani kama tunaweza.Hata kama rangi ya ngozi yako inaweza kua kikwazo mara nyingine lakini we angalia mbele na komaa tu .In brief aendelee na course yake kama kawaida
 
tofauti ya geomatics na geoinformatics ni ipi?
kiutendaji? kwenye kupata kazi? inayolipa zaidi?
 
Jamani naomba mniambie ubora wa kozi ya environmental engineering hapo ardhi university kwenye soko la ajira iko vipi wadau.
Msaada jamani
 
Chuo Ardhi ni moja kati ya vyuo vyenye course nzuri ambazo ni marketable ila fahamu tu ni miaka minne mpaka mitano uko darasani, course za miaka 3 zipo tatu tu, BSc. Economics, BSc Community Development ,,,,,,,,

Kwahiyo ni kusoma kwa kwenda mbele. Muda mwingi utakuta vijana wako madarasani mpaka usiku wa manane wakichora na wakati mwingine asubuhi inakukuta darasani.

Vijana wengi wamekuwa wakifanikiwa sana, hakuna anayekosa kazi, labda uwe umefeli na hukumaliza course yako. Ukadisco.

Karibuni sana
 
Back
Top Bottom