Dragunov Sniper
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 2,795
- 9
Baada ya kugaiwa watu wote KATIBA YA WARIOBA, kuna maboksi na maboksi, hayafunguliwa, zimebaki tele! Hii ya CHENGE, hata CEO wetu hajui ina rangi gn
Msomi gani wewe? Katiba Inayopendekezwa ipo mpaka mtandaoni. Tumia mtandao kujielimisha sio kuweka ujinga wako na kuwasambazia Watanzania mawazo ya yasiyo ya kizalendo wala yasiyotarajiwa kwa msomi kama wewe. Au wewe ni maluki wa kuchonga?