If intelligent are born, then spies are born and made but if intelligent are made, then you don't need to born a spy to be a good spy coz' you'll be made, first to be intelligent and second to be spy!
Spies are both made and born. Ila kunakuwaga na tofauti kubwa sana kati ya jasusi wa kutengenezwa tu na jule wa kuzaliwa kisha akapitia mafunzo linapokuja suala la BLENDING IN. A born spy is capable of melting into the targeted community without displaying any sort of fake or un-natural behavior ambayo watu makini ni rahisi sana kuweza kui-notice. Jasusi yeyote wa kutengenezwa tu ambaye hana wito wa kufanya kazi ya namna hiyo anaweza tu kufundishwa techniques za BLENDING IN ila kuna uwezekano mkubwa wa yeye kuonesha tabia flani flani fake ama zisizo za asili kutokana na namna anavyoongea, anavyotazamana na watu na kucheka kwake pamoja na body language yake kwa ujumla, tabia ambazo watu makini wanaopambana na majajusi wa nchi za nje (counter intelligence/surveillance teams) ni rahisi sana kumuona na kuvijulisha vyombo vya usalama kama polisi ama idara ya uhamiaji.
Kama
Mawazo yetu yangekuwa kama ya nasdaz uzi usingekuwepo kwan ndio ukwel
Jasus n mwerevu Kwa iq zaid ya 120
Hata marekan wanaajir Kwa kiwango chako cha uelewa na ndio maana wanaajir had wagen
Tz mpango ilikuwa hivyo zaman but not now na ndio maana taasisi inakosa credible
Being spy man
Need a higher reasoning capacity
Under 100 iq sio spy ni wajibu tu unatimizwa
mkuu kwenye spy lazima uwe "well trained" ndo utakuwa the beast.
I am not trained but u cannot compare _ with those of magufuli
kuna shule ya maana hapa..naona uanendelea..
I start feeling too skeptical of your writings mkuu. Where do you really get these info from???
The older the wine. . . . . .
Itakua vzr sana,kaka mkubwa,shusha darasanikipata mda wiki hii tutaendelea na darasa hapa...