Are spies made or born?

Curiosity ilimuua paka.. Kemea hilo pepo la uchunguzi...Tatizo naloliona ni moja ni kwamba wewe huna training ya surveillance sasa unaweza ukaingia kwenye mdomo wa mamba katika kumchunguza ndugu yako. Ndugu yako anaweza akawa anafuatiliwa mienendo yake. Sasa na wewe kujiingiza katika kumchunguza unaweza ukaonekana kwenye macho ya wanafuatilia miendendo ya ndugu yako na yakakukuta makubwa huku ndugu yako asipate kujua.. Kuwa makini itakula kwako..πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€. Ili uweze kumchunguza ndugu yako unapaswa na wewe uwe na uwezo wa kugundua watu wengine wanaofuatilia miendendo ya ndugu yako, kitu ambacho si rahisi kiivyoo
 
Ninajua ni hatari ila nitajaribu na sidhani kama kuna sehemu nitateleza katika hili wakuu.
 
de'levis Freelancer
wakuu vp kuhusu air hostesses pamoja na members of diplomatic community. Wahudumu wa ndege wanaweza kuwa spies/informers pamoja na watumishi wa ujumbe wa kidiplomasia?
Huge matter

Diplomatically

Simplicity is needed

Watch dog are many if your among and many are used even without knowing themselves
 
kwenye biblia kuna mstari mmoja unasema ..si vizur chakula cha watoto kuwapa mbwa..jaribu kupata mda uutafakar kama unaamin katika maandiko..
Haimo kwenye biblia
Lkn lipo andiko linaloelekea na hilo

Lkn hapa umeeleweka japo kwa kuisingizia biblia
 
Bustan zinatesa sana kwan uangalizi wake unahitajika sana, tumpe muda
Lkn kazi hiyo ya mishumaa nayo inatumikisha sana maana kama ukitumia njia ya asili ya kutumia mabaki ya mishumaa ya awali ni risk zaid kwa uji uliochemshwa ukikumwagikia ni shida.
Lkn pia mbinu hii ya kisasa nayo ni nyepes lkn kwa wepes wake inakuhitaji utengeneze mingi na yenye mapambo mazur au rangi tofauti japo mishumaa yenyewe haina faida binafsi

Pole mkuu mi nakuhurumia sana lkn ss pia fanya kama ni sehemu ya wateja wa miche yako au kiti na mishumaa yako.

Usisahau kuoga na chukula cha tumbo na mwili
 
Mubashara
Thats is why principles and regulations that abide them are vs
 
Ninajua ni hatari ila nitajaribu na sidhani kama kuna sehemu nitateleza katika hili wakuu.
They know you if is you among you
What you will act they help them to reach the destination very easier
Before taking action talk to him
Kama akikataa atakuandalia mazingira ya kutojua hata ukichunguza na atajua namna ya kuenenda na akuridhishe na usiwe sehemu ya infomer kwa watu wengine
Usipomwambia pia atajua lkn hataweza fanya uamuz mgumu juu yako au mahusiano yenu
 
Turn one of their own against them and develop assets. Then the asset could do whatever you are asking them to do. Bugging, collecting information, etc. Kwa wahindi blackmail inaweza fanya kazi vizuri maana wana kona kona nyingi i.e ukwepaji kodi, biashara za magendo. Zote hizi zinafungua avenue ya blackmail. Sasa ukikamata weakest link ya ku black mail then you may have assets in place..
 
Not only house maids but also they employ tanganyikan in their schools, hospital na maduka au migahawa Mimi make wangu ananipa nyingi yy ni mpishi hotel moja hapa mjin ya wahindi
Pia my tribal men working in Indian international school iliyopo pale dar

Pia wanachangamana na sisi japo wanalimits za kuzungumza but how they react and live amongst ni taarifa pia

Nipe kazi nikufanyie
 
hakuna spy anayeruhusiwa kuandika mada za espionage kwenye mitandao ya kijamii kama jamiiforums. Huyu mleta mada ni mtoto wa secondary inaonekana ndio anajifunza udadisi wa taaluma za watu wazima
Mkuu Acha kum discorage jamaa bna Ngoja atuandikie na Wengine tujifunze Mbona Wana Usalama Wa idara za Huko Dunia ya kwanza wanaandika mpaka Vitabu juu ya mambo haya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…