Are spies made or born?

Nyongeza: kwa maeneo ya shule hasa sekondari,wakuu wa shule huwa na role kubwa ya kuanza kuwaona na kupeleka mapendekezo.
Pia Head Prefects wa Enzi zile .
Kuna shule zilipandikizwa"scouts". Wakishachagua vijana wao,scouts huacha shule ghafla.
Shule kama Ilboru, Mzumbe,Songea boys, mazengo,vkilakala kwa girls.
 
Kweli umenena.
 
Mbona kama michango yako inaonesha kama unajua vile au kuna Infantry soldier wawili???
Au una research kujua ubora wa mbinu yenu kama vipi mbadilishe. Mukulu naona una knowledge kuzid swal ulouliza.
Umefikiri vema
 
Umetoa soma kubwa kama ni watu wa kulewa wameelewa.....pia huwa sipendi mtu wa misifa.unajua mi nani?
 
Sio dhambi kwa sababu uongo hutumika kutatua matatizo kutokana na mazingira husika
 
Mtoa mada nenda kaangalie movie ya SALT itakujibu swali lako
 
[emoji23][emoji23][emoji23]chanzo cha hbr au taarifa hiyo ni nani kakupa taarifa hizo.kwanini mwanao apigwe?ulijuaje kama yupo lugalo?pia navyofahamu mtu yeyote akipatwa na tatizo ns yupo serious lzm watawasiliana na mzazi
 
Nadhani taifa litakuwa na watu wengi waliodumaa akili pamoja na kudhoofika afya.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…