Kwa hawa wanaoanza mapema kama sekondari, kwa kweli sijui hata ni saa ngapi wanakuwa trained, yaweza kuwa ni watu waliokwishakuuwa trained somewhere halafu wakaingia shule kama wanafunzi, labda!,ila wewe ambaye bado, huwezi kujijua kuwa unafuatiliwa ili uwe hivyo mpaka baada ya muda fulani, hutofuatwa na kuambiwa au kuombwa ufanye kazi hiyo, utafuatiliwa kimya kimya baada ya kuonekana kuwa unaweza kuwafaa, hutojua kuwa unafuatiliwa, kuna mtu atasogezwa close na Wewe, huyo ndiye atakaye kutune mpaka utafika huko, anaweza kuwa mjomba wako ambaye naye yumo huko, mwalimu, jirani au rafiki yako, kuwa na wewe karibu kutamfanya akujue zaidi na kupeleka information, na anakuwa anakulead kwenye njia ya kukufikisha huko bila wewe kujijua, utakuja kujielewa baadae kuwa wewe ni nani, na hapo ndipo utaanza kuwa msiri zaidi na mambo yako, mtu aliyewekwa kuwa close na wewe, atakushauri mambo mengi ambayo ukiyafuata yatakufikisha huko bila wewe kujijua mwanzoni but ni mambo ya manufaa tu kwako, na kwa hao wanaokusubiri wakuingize kwao, kwa mfano, unaweza ukawa unapenda kusomea kitu fulani, lakini huyo mtu akakushauri mara mbili mbili kusomea kitu kingine, akakusisitiza mno, akakupa faida zaidi za kusomea hicho anachokushauri, akakuhaidi au akakuweka katika connection nzuri na ya uhakika ya kuzidi kufanikiwa katika kitu hicho, yaani anakuwa mshauri wako anayekufanikisha kila mara, unamuamini, kila atakapo kueleza jambo unalifuata cause unafanikiwa mwisho unajikuta tayari umeshafika mlango, kwenye hivyo vyuo vyao utafika hivyo, utashauriwa na washauri wako wa siku zote mpaka utafikia huko, unaambiwa jiendeleze kwenye hili, kachukue diploma ya hili, embu kasome chuo fulani kitu fulani, kuna sehemu nitakuunganishia kuna mtu namfahamu etc. unaweza hata ukawa hutumii hela zako sometimes, unaweza akatukoa wa kukufadhili au ukafadhiliwa na ofisi aliyokupeleka, ukasoma kwa raha, unafanyiwa mambo yako faster kuliko wenzako, ukishaingia kwenye vyuo vyao utakuwa tayari umejijua, na utakuwa msiri zaidi, usije ukapata matatizo outside, hawa watu wana raha mambo yao wanafanyiwa faster, mnaweza kujikuta wengine kwenye ofisi, mnasahaulika, hamshughulikiwi haraka mnapoomba kwenda kusoma, lakini yeye ni faster anashughulikiwa, hawatakiwikuwa waropokajiropokaji , lakini unaweza kukuta mtu wa aina hiyo anaropoka kitu fulani mbele yako ili akujue wewe una maoni gani au unakijua vipi, anakuchunguza tu, yuko kazini, nahauoi au kuolewa hovyohovyo, mtu unayetaka kuoana naye anachunguzwa kwanza, akionekana ok kwao wewe kuwa naye, mtaoana, ukikataliwa kuoana naye, hutomuoa, la sivyo uchague ofisi au yeye, nahata ukimchagua yeye ukiacha ofisi utakipatapata, cause you have siri nyingi waweze payuka huko unakoenda, mara nyingi wanaoana wao kwa wao, hii kazi wengine unaweza kusikia kastaafu lakini huwa ni till death, sio kustaafu totally kama kazi nyingine, unaendelea kimya kimya, kama nyie wazazi mko humo mtoto wenu ni rahisi kuingizwa humo, sio mtu yule wa kuchunguzwa saaana, muda mreeefu kwa kuwa nyie tayari mnajulikana ni watu wa aina gani, wasiri, na moja kwa moja mtoto wenu mtakuwa mmemkuza kuwa hivyo, kutokana na mazingira yenu nyumbani au atakuwa amestaadopt kuwa hivyo, atawafaa, watamuongoza/ mtamuongoza tu kuwa anavyotakiwa kuwa, kuwa barabara itakayomfikisha/ itakayomfanya kuwa hivyo