Are spies made or born?

Mwenyezi mungu mwingi wa rehema akubaliki kwa maneno machache uliyotupatia na ambayo yataishi milele kichwani mwangu
 
Mkuu hata wewe yawezekana upo kazini. Maana maswali yako yanachembe chembe ya kile unacho kiuliza zaidi ya wale wanao papasa na kujaribu kukupa majibu kulingana na mambo wanayo sikia vijiweni au kuona kwenye muvi za kijasusi.
ana google huyo wala hata usipate hofu.. wanaogoogl utawajua tu
 
well said........chukua soda hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HASA KUNA MWANAFUNZI MMOJA KATIKA SHULE YA SEKONDARI -------------- MKOA WA GEITA WILAYA YA MBOGWE HUWA SIMWELEWI KAMA ANATEMBEA UPANDE UPANDE VILE HUWA NAMHISI
 
Ni mwanafunzi wa kawaida tu usihofu
HASA KUNA MWANAFUNZI MMOJA KATIKA SHULE YA SEKONDARI -------------- MKOA WA GEITA WILAYA YA MBOGWE HUWA SIMWELEWI KAMA ANATEMBEA UPANDE UPANDE VILE HUWA NAMHISI
 
Hahahhahahha mkuu sio wa kawaida huyo ni mtoto wa nzige tayari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…