Are spies made or born?

Mimi swali langu la kwanza ni je, mtu anaweza kuingia kwenye hii system akiwa mtu mzima mathalani miaka 35-40 kwa mfumo wa hapa Tanzania?
Usalama wa nchi yetu ni jukumu la kila mtanzania iwe askari ama raia wa kawaida pasipo kujali umri, jinsia, dini au kabila.......
 

Sifahamu kwa Tz! Lakini kwa nchi za wenzetu umri sio hoja ili mradi tu kuna jambo unaweza fanikisha waweza tumika wakati wowote ule.

Mfano Eli Cohen alitamani sana kujiunga na Mossad lakini kila alipo apply alitolewa nje kuwa hana vigezo!(disqualified).
Baada ya miaka kadhaa walimtafuta wao wenyewe na kumsihi ajiunge nao kwa sababu hawakuwa na agent kabisa katika nchi za kiarabu na Eli Cohen alijua Kiarabu vizuri na Utamaduni wao.
Aliifanyia Israel mambo mazuri sana! ingawaje mwisho wake haukuwa mzuri.
 
Mkuu wale jamaa kwa nchi za wenzetu huwa wanazaliwa wakiwa na baadhi ya attributes/tabia fulani hivi kisha wanaongezewa tradecraft/ujuzi wa kimafunzo...baada ya hapo weeee wanakuwa ni moto wa kuotea mbali...!
Nami naamini kabisa katika traits anazozaliwa nazo mtuu kisha akiwa backed na trainings huyo atakuwa kila siku mambo yake anafanya kama novel movie fulani hivi...Talent kwamfano ya kujua mawazo ya mtu kabla hajafanya action, kujua outcome kabla hata tukio halijaanza i.e prediction ile precision ni capacity ya brain ku integrate vitu na ku connects dots ku produce outcomes...Unaweza kuwa trained lakink kama akili ni butu thubutu ndiyo kila mara unaishia kuumbuka
 
MWAMBA de'levis popote pale ulipo, pokea salamu zangu.
 
Atakuwa anatumia akaunti zingine, mtu kama yule sio rahisi kupotea humu
Mkuu, leo nilichungulia status yake nikamuona online ingawa anaonekana sio mchangiaji sana. Inaonekana huwa anasoma tu na kuondoka.
 

The 7 Habits of Highly Successful Intelligence Analysts

Source: The 7 Habits of Highly Successful Intelligence Analysts
 
Hao ni watu wakitengo au ni polisi?
 
mkuu, tunafutana tongotongo kwa hizi mambo za "lip reading" ...... mimi sijui kabisa kama kuna professions za namna hii hapa duniani. kweli ushamba ni mziggo
Hapa lazima mlango wa sita wa ufahamu utumike (intellect (manas)) hii ipo kihisia zaidi
 
Wanakuzwa wale kwa trainng toka wadg uwez chukua spy wa miaka 4 au 3 ni kwanzia miez na mwaka mmoja...pia huingia mkataba na familia ya huyo mtoto.
Mara nyingi hao wanaochukuliwa wakiwa wadogo lazima kunamtu wake wakaribu ambaye yupo kwenye system au mawakala mfano mzazi,kiongozi wa dini(mch,padri,shekh na kn),mwalimu au hata jirani wa muda mrefu (family friends) hawa watu wakaribu husaidia kumshape mlengwa ili aje kufit kwa kazi maalum hapo baadae bila yeye kujua Ila akionyesha kukengeuka au tabia ambayo ni mwiko kwa kitengo atakuwa disqualified watampotezea naitabaki stori nyumba ya njaa HIYO NILIKUWA NAWAZA TU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…