nadhani ni katik thread hii niliwahi kutaja sifa za mtu anaefaa kuwa jasusi..nitazirejea kwa kifupi..
1. jasusi lazima awe na kumbu kumbu..hii ni sifa muhimu sana lazima akili yake iwe ina rekodi kila jambo na kila hatua anayopitia na kwa usahihi..kuanzia asubuhi ambo yoote unayofanya/unakpita unarekodi kisha jioni unaandika report ya kika kitu bila kuacha..na pia ukiulizw ajambo lililotokea wiki mbili zilizopita ulikumbuke kwa usahihi na kwa mapaa yake..kuna watu hawana kumbu kumbu yaani hat kushika namba5 za simu hawezi..binafsi sina jina la mtu yeyote kwene simu yangu bali namba tu na ninajua namba hii ni ya nani na hata kuitaja..niliifundisha akili katika hilo..so kumbu kumbu ni sifa muhimu
2.. lazima jasusi afikiri kuwa mantiki (logic)...lazima ujiulize kwa nini hik kiko hivi na ninaweza vipi kukibadilisha katika muonekano huu na kikawa kitu kingine, kufikiri kwa logic ni muhimu sana, na katika kufikiri lazima ujiulize , why, who, where, what etc...ukiwa mtu wa kukurupuka lazima uumie..
3.lazima awe mtu wa kuchunguza (observation)..haijalishi mahali alipo lazima achunguze mazingira na nini kinaendelea..ukiingia ndani ya nyumba lazima uichunguze kwa mda mfupi na kwa umahiri mkubwa ujue ina milango migapi, madirisha, nk nk..akili lazima iwe inarekodi..na lazima uangalie escape route iwapo kutatokea shida..mlango lioingia sio wa kuutegema sana..
4..jasusi lazima ajue kubadilika kulingana na mazingira au eneo alilopo..awajue watu wanaomzunguka wanataka nini na ni wa aina gani..jasusi laizma ajue kucheza na hisia za watu(sifa muhimu sana hii)
5..jasusi lazima ajue kusikiliza milango yote 7 ya fahamu(sio 5 ni 7)..katika ubongo wa mwanandam kuna maelekezo mengisana yanayomuonya mtu juu ya jambo flan.(wengine wanaita machale) machale haya humuonya mtu juu ya hatari iliyo mbele so ni lazima jasusi ajue namna ya kusukiliz amilango yake yote na kuchukua hata inayostahili kama yu katika hatari
hapo ni baadhi ya sifa anazopaswa kuwa nazo jasusi..sasa ukiangalia sifa hizo hakuna hata moja hapo ianayofundishwa darasani zote ni za kuzaliwa...na kwa kweli wote tunazaliwa tukiwa pure isipokuwa tunajaza uchafu mwingi kwenye ubongo na kuharibu nguvu ya akili...hata katika maisha ya mtu wa kawaida tu sifa hizo hapo juu ni muhimu sana..huwezi kuyatawala mazingira kama huna utulivu wa akali.... The mind is a good servant but a terrible master...lazim akili yako uitawala na uitume ifanya jemabo flani sio yenyewe ikutme wewe kufanya jambo flani..
sasa ukiw ana sifa hizo hapo juu na zingine ambazo sijazitaja kisha ukaingizwa darasana na kunolewa sawa sawa lazima ufnay mambo makubwa..
ndugu zangu mambo haya huwa hayaji hivi hivi ni lazima ujitume katika kuhakikisha akili yako inakuwa sawa mda wote na u-keep low profile,upayukaji hauhusiki, majigambo,nk...ukiishi kama mastaa wa movie hwezi chukua round ktik game hii...
kwenda kwenye vyuo vya mafunzo haya ,,,huko unaongezewa mbinu mfano za kutumia silaha za aina zote, namna ya kujihami, namna ya kugoma kuhojiwa iwapo utakamatwa....
mazingira ya ujasusi yamezungukwa na hatari, ukiwa, upweke na kivuli so nilazima jasusi ajifunze mbinu zoe za awali za kazi hii (tradecraft)...
kwa hiyo naweza kusema kuwa watu hawa sifa kubwa ni zile za kuzaliwa kisha wanaingizwa darasan/vyuoni ili kupewa mafunzo kufit mahitaji yaliyopo...
nimalize kwa kunukuu maneno ya mwalimu wangu:
1 when you control your thoughts, you control your mind, when you cotrol your mind you control your life; and once you reach a stage of being in total contolof your life you become the master f your own destine.
2..Alwys life favors the prepared mind
3.. in life there is no mistakes but lessons...sometime pain can be a good teacher
NB: mwambieni
Invisible auweke uzii huu sticky maana kuna mda nautafuta siupati