papa ya bana
Member
- Aug 7, 2015
- 11
- 1
du...nimeelimika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila shaka wote mu wazima wa afya. kama heading inavyojielezea hapo juu ni swali nililokuwa nikijiuliza kwa muda mrefu sasa kama uwezo wa hawa watu huwa ni wa mafunzo au wanazaliwa wakiwa tayari na hizi attributes?
Ninawasilisha.
Huu uzi kiboko
Huu uzi kiboko
Tafuta movie ya SALT ya Angeline Jolie uanzie hapo!!!!!
mossad na CIA na M16 movies ztakupa knowledge
MTU Wa itikadi tofauti ya chama wanarecuit hapa kwetu?
Kwa sababu hamna asiye na itikadi ya chama kwa kipind hichi
Kwa namna nyingine hapa unauliza kama hawa jamaa huwa wanapiga kura ama la???
Kura najua wana haki kama raia mwengine..
Nachotaka kujua japo recruitment yao inabase kwa mwanachama aliye mlengo Wa chama kilicho madarakani?
Kwa hali ya kawaida kama watamrectuit (MTU aliye mlengo hasi na chama kilicho madarakani) huoni kama atavujisha baadhi za siri?
Just swali as layman tu
Tafuta movie ya SALT ya Angeline Jolie uanzie hapo!!!!!
Mkuu habari yako kwanza. Naomba nikujulishe kitu kimoja hapa ya kuwa kuna baadhi ya watu wamezaliwa na uwezo na tabia ya UDADISI WA MAMBO. Si kitu walichokuwa inspired upon bali ni their innate nature. Those guys are BORN SPIES and once they are discovered and well trained, they become so so so TERRIBLE.
Challenges kubwa ni Tech tu wakuu mana huwezi sema unatoa hard disc katika Mashine yako kila ukitoka unajuaje huyo manufacture hajapandikiza Chip umo? palikuwa na kesi marekani akilaumiwa kuweka firmware ktk hard disc kwa ajili ya kudukua wenzie Nadhani kama tunajilinda tunajilind ndani tu ila kwa kenya alivyo advance anaweza ata kutuingilia kimawasiliano Serikali ijikite kufundisha watu technology Hii itasaidia kusuka vifaa vya mawasiliano wenyewe ...C.I.A wapo top kwa vile ya Tech tu not man power All in all mbabe wa technology ndio mbabe wa dunia
"All in all mbabe wa technology ndio mbabe wa dunia"
Umeitimisha vizuri sana mkuu.
Tunapaswa tuwekeze kwenye technology.
Uzi huu bado unaendelea?
If intelligent are born, then spies are born and made but if intelligent are made, then you don't need to born a spy to be a good spy coz' you'll be made, first to be intelligent and second to be spy!