Are spies made or born?

Are spies made or born?

Kuna thread itafute humu jf yaericko aliisnzisha na kueleza mambo kadha wa kadha juu ya jasusi alivyo kiuwezo, kimbinu na majukumu yake asilia na changamoto zinazomkumba katka kuushikilia msimamo wake ktk utendaji
 
Challenges kubwa ni Tech tu wakuu mana huwezi sema unatoa hard disc katika Mashine yako kila ukitoka unajuaje huyo manufacture hajapandikiza Chip umo? palikuwa na kesi marekani akilaumiwa kuweka firmware ktk hard disc kwa ajili ya kudukua wenzie Nadhani kama tunajilinda tunajilind ndani tu ila kwa kenya alivyo advance anaweza ata kutuingilia kimawasiliano Serikali ijikite kufundisha watu technology Hii itasaidia kusuka vifaa vya mawasiliano wenyewe ...C.I.A wapo top kwa vile ya Tech tu not man power All in all mbabe wa technology ndio mbabe wa dunia
kaka upo sahihi kabisa ndugu yangu, lakini licha ya ukweli kwamba mapinduzi makubwa sana ya sayansi na teknolojia yameleta mabadiliko makubwa sana katika tasnia hii ya ujasusi, human gathered intelligence remains the most accurate, indispensable and reliable means of fighting one's rivals.

With reference to the assassination of the top Hamas commander Mahmoud Al-Mabhouh in Dubai, how were the alleged killers capable of knowing in advance where their prey would be planning to go, without maintaining a human contact within the Hamas top cycle?????!!!!!!!!
 
kaka upo sahihi kabisa ndugu yangu, lakini licha ya ukweli kwamba mapinduzi makubwa sana ya sayansi na teknolojia yameleta mabadiliko makubwa sana katika tasnia hii ya ujasusi, human gathered intelligence remains the most accurate, indispensable and reliable means of fighting one's rivals.

With reference to the assassination of the top Hamas commander Mahmoud Al-Mabhouh in Dubai, how were the alleged killers capable of knowing in advance where their prey would be planning to go, without maintaining a human contact within the Hamas top cycle?????!!!!!!!!


jaribio la kuumua mahmoud lilifanyika mara mbili...jaribio la kwanza halikufanikiwa na la pili lilifanikiwa..mara ya kwanza alipewa sumu lakini aliweza kupona...na huyu bwana ilichukua miaka 20 mpaka anauwawa...mwaka 1989 nafikiri huyu mahmoud akiw ana mwenzake wakiwa wamejifanya kuwa ni viongozi wa dini waliwaua askari wawili wa kiisrael. walivalia mavazi ya kitumishi kama watumishi wa mungu na kuwabeba askari wale wawili na walipofika umbali wa km 3 toka walipowachukua mahmoud alitoa ishara kwa mwenzake na hivyo kufyatua risas zilizowaua....wakawazika vichakani..maisti ya askari mmoja ilionekana baadaya siku 3 na ya mwingine ilionekana baada ya miaka 7...
Mahmoud alikuwa top official katika kundi la hamas..huyu bwana alishughulika na uagizaji na ununua wa silaha toka mataifa ya nje...tukio la kuwaua wale askari wawili wa israel ndilo lilifanya uongozi wa israel ukamuweka kwenye list ya kuuwawa...
kumuua mtu hasa ambae nae anajua kuwa mda wote yuko kwenye hatari kuna taratibu zake...mkikurupuka hamuwezi kutekeleza jambo hilo...kitengo kilichohusika na mauaji hayo ni moja ya kitengo maalumu kilichoko ndani ya Mossad..na hawa jamaa wanajulikana kama ''ceaseria'' kama sijakosea hawachangamani na agent wengine wa kawaida...yaani kwa kifupi kama mossad ingekuwa ni dhehebu la dini basi kitengo cha hawa jamaa ungekiita ''patakatifu pa watakatifu''

Mahmoud aliftiliwa kwa mda mrefu..on the ground and online...na online walipachika trojan horse kwenye komputa yake na hivyo kujua nini kinaendelea juu ya akifanyacho...baada ya kujiridhisha kuwa nchi anazopenda kutembelea kuw ani pamoja syria, sudan na china..mossad walitafuta ni wapi wanaweza kumpata katika maeneo hayo..kwa kuwa walikuwa wakimfatilia hasa online na baada ya kujua kuwa ana safari ya china kwa kupitia dubai waliona dubai ni sehem mwafaya ya kutekeleza mauaji hayo ..
walikiwshapanga namna gani watamuua na kwa njia zipi bila kuacha alama....kabla ya kutekeleza mauaji hayo..mossad walikuwa wakumfatilia jamaa hasa alipokuwa akizuru dubai..walitaka kjua ni hotel gani huwa anafikia ..jamaa alikuwa hafikii hotel moja siku zote..alikuwa akihama hama...so jambo la walilofanya ilikuwa ni kujifunza aina zote za tech zilizokuwa installed kwenye milango katika hotel zote mashuhuri... walilifanya hili vyema sana ...

siku ya siku ilipofika...jumla wa watu 27 wote wakiwa ni kitengo cha mossad walitangulia kufika dubai na wakagawanyika kwenye mahotel tofauti tofauti maana wlaikuwa hawajui ni hotel gani atafikia...waligawana majukumu ipasavyo.na walifika dubai wakitokea nchi tofauti tofaut(rome, german,austria nk) kila mmoja wao alikuwa na jukumu lake.. mahmound alipofika airport jamaa walikuwa wameacha mtu wao pale ...akamfatili mpaka kwenye hotel aliyofikia..mossad wote wlaikuwa wakitumia mawasiliano amabyo ni encripted...so haikuwa rahisi kufahamika...

Mahmoud alifika chumba namba 230 katika hotel hiyo baada a mda akatoka kwenda kwenye mall japo riport haionyeshi alikwenda kufanya nini wala kukutana na nani maana alikaa huko kwa masaa 4 na usiku akarudi hotelini bila kujua hili wala lile...Mossad walishajipanga siku nyingi...wengine kati ya hao 27 walikuwa wameshamaliza majukumu yao na kuondoka nchini huku wakiwaacha wezao wapatao 6...4 walikuw ndani ya chumba cha mahmound na wengine wawili wlaikuwa chumba namba 237..hawa wawili walikuwa wakifanya doria eneo hilo....
kwa utaalamu mkubwa mossad waliprogram upya mlango wa chumba namba 230 in such a way that hata mahmoud aliporudi na weka funguo wake mlango ulikubali kufunguka na akaingia ndani .......ndani ya dakika 20 mossad kumaliza kazi ya miaka 20...Mahmoud akalala milele....
baada ya hapo jamaa wakatokomea kwa kupanda ndege usiku ule ule..na kesho yake mchana majira ya saa 7:30 mhudumu alifika katika chuma kwa ajili ya usafi lakini cha kushangaza alikuta mlango umejifunga kwa ndani na alipota taarifa kwa wahusikana na mlango kufunguliwa walikuta mtu amelala kitandani na pembeni yake kuna kichupa kidogo...
mahmoud alikuwa akitumia passport bandia ya kusafiria...asubuhi ilipofika wakuu wake kule hamasi wlaipatwa mashaka kwa ukimya maana waltegemea atoe taarifa lakini kimya...taarifa zilikuwa zimeanza kuzagaa kuwa kuna mtu amekutwa amekfa ndan ya hotel..hamas wakatuma mtu mwingine kwenda dubai kuhakiki na alipfka alikta kweli ule mwili ni wa mahamoud..na hapo ndipo hamass wakasema mwenzao ameuwawa na mossad....jambo lilimfanya mkuu wa upepelezi wa dubai kuanya uchunguzi wa kina na kutoa repot yake na cctv footeg zilizoonyesha namna gani timu ile ya watu 27 ilivyojipanga kwa ustad mkubwa kutekeleza jambo hilo ....
 
jaribio la kuumua mahmoud lilifanyika mara mbili...jaribio la kwanza halikufanikiwa na la pili lilifanikiwa..mara ya kwanza alipewa sumu lakini aliweza kupona...na huyu bwana ilichukua miaka 20 mpaka anauwawa...mwaka 1989 nafikiri huyu mahmoud akiw ana mwenzake wakiwa wamejifanya kuwa ni viongozi wa dini waliwaua askari wawili wa kiisrael. walivalia mavazi ya kitumishi kama watumishi wa mungu na kuwabeba askari wale wawili na walipofika umbali wa km 3 toka walipowachukua mahmoud alitoa ishara kwa mwenzake na hivyo kufyatua risas zilizowaua....wakawazika vichakani..maisti ya askari mmoja ilionekana baadaya siku 3 na ya mwingine ilionekana baada ya miaka 7...
Mahmoud alikuwa top official katika kundi la hamas..huyu bwana alishughulika na uagizaji na ununua wa silaha toka mataifa ya nje...tukio la kuwaua wale askari wawili wa israel ndilo lilifanya uongozi wa israel ukamuweka kwenye list ya kuuwawa...
kumuua mtu hasa ambae nae anajua kuwa mda wote yuko kwenye hatari kuna taratibu zake...mkikurupuka hamuwezi kutekeleza jambo hilo...kitengo kilichohusika na mauaji hayo ni moja ya kitengo maalumu kilichoko ndani ya Mossad..na hawa jamaa wanajulikana kama ''ceaseria'' kama sijakosea hawachangamani na agent wengine wa kawaida...yaani kwa kifupi kama mossad ingekuwa ni dhehebu la dini basi kitengo cha hawa jamaa ungekiita ''patakatifu pa watakatifu''

Mahmoud aliftiliwa kwa mda mrefu..on the ground and online...na online walipachika trojan horse kwenye komputa yake na hivyo kujua nini kinaendelea juu ya akifanyacho...baada ya kujiridhisha kuwa nchi anazopenda kutembelea kuw ani pamoja syria, sudan na china..mossad walitafuta ni wapi wanaweza kumpata katika maeneo hayo..kwa kuwa walikuwa wakimfatilia hasa online na baada ya kujua kuwa ana safari ya china kwa kupitia dubai waliona dubai ni sehem mwafaya ya kutekeleza mauaji hayo ..
walikiwshapanga namna gani watamuua na kwa njia zipi bila kuacha alama....kabla ya kutekeleza mauaji hayo..mossad walikuwa wakumfatilia jamaa hasa alipokuwa akizuru dubai..walitaka kjua ni hotel gani huwa anafikia ..jamaa alikuwa hafikii hotel moja siku zote..alikuwa akihama hama...so jambo la walilofanya ilikuwa ni kujifunza aina zote za tech zilizokuwa installed kwenye milango katika hotel zote mashuhuri... walilifanya hili vyema sana ...

siku ya siku ilipofika...jumla wa watu 27 wote wakiwa ni kitengo cha mossad walitangulia kufika dubai na wakagawanyika kwenye mahotel tofauti tofauti maana wlaikuwa hawajui ni hotel gani atafikia...waligawana majukumu ipasavyo.na walifika dubai wakitokea nchi tofauti tofaut(rome, german,austria nk) kila mmoja wao alikuwa na jukumu lake.. mahmound alipofika airport jamaa walikuwa wameacha mtu wao pale ...akamfatili mpaka kwenye hotel aliyofikia..mossad wote wlaikuwa wakitumia mawasiliano amabyo ni encripted...so haikuwa rahisi kufahamika...

Mahmoud alifika chumba namba 230 katika hotel hiyo baada a mda akatoka kwenda kwenye mall japo riport haionyeshi alikwenda kufanya nini wala kukutana na nani maana alikaa huko kwa masaa 4 na usiku akarudi hotelini bila kujua hili wala lile...Mossad walishajipanga siku nyingi...wengine kati ya hao 27 walikuwa wameshamaliza majukumu yao na kuondoka nchini huku wakiwaacha wezao wapatao 6...4 walikuw ndani ya chumba cha mahmound na wengine wawili wlaikuwa chumba namba 237..hawa wawili walikuwa wakifanya doria eneo hilo....
kwa utaalamu mkubwa mossad waliprogram upya mlango wa chumba namba 230 in such a way that hata mahmoud aliporudi na weka funguo wake mlango ulikubali kufunguka na akaingia ndani .......ndani ya dakika 20 mossad kumaliza kazi ya miaka 20...Mahmoud akalala milele....
baada ya hapo jamaa wakatokomea kwa kupanda ndege usiku ule ule..na kesho yake mchana majira ya saa 7:30 mhudumu alifika katika chuma kwa ajili ya usafi lakini cha kushangaza alikuta mlango umejifunga kwa ndani na alipota taarifa kwa wahusikana na mlango kufunguliwa walikuta mtu amelala kitandani na pembeni yake kuna kichupa kidogo...
mahmoud alikuwa akitumia passport bandia ya kusafiria...asubuhi ilipofika wakuu wake kule hamasi wlaipatwa mashaka kwa ukimya maana waltegemea atoe taarifa lakini kimya...taarifa zilikuwa zimeanza kuzagaa kuwa kuna mtu amekutwa amekfa ndan ya hotel..hamas wakatuma mtu mwingine kwenda dubai kuhakiki na alipfka alikta kweli ule mwili ni wa mahamoud..na hapo ndipo hamass wakasema mwenzao ameuwawa na mossad....jambo lilimfanya mkuu wa upepelezi wa dubai kuanya uchunguzi wa kina na kutoa repot yake na cctv footeg zilizoonyesha namna gani timu ile ya watu 27 ilivyojipanga kwa ustad mkubwa kutekeleza jambo hilo ....
Mkuu mchango wako ni muhimu sana .tafadhali ukipata muda naomba uendelee kusan uya technic mbali mbali za spies na historia zao.
 
yaani kwa kifupi kama mossad ingekuwa ni dhehebu la dini basi kitengo cha hawa jamaa ungekiita ''patakatifu pa watakatifu''
hahahahaaaaaaaaaaa............hapa umenichekesha kidogo kaka mkubwa!!!!!!!!!!
 
jaribio la kuumua mahmoud lilifanyika mara mbili...jaribio la kwanza halikufanikiwa na la pili lilifanikiwa..mara ya kwanza alipewa sumu lakini aliweza kupona...na huyu bwana ilichukua miaka 20 mpaka anauwawa...mwaka 1989 nafikiri huyu mahmoud akiw ana mwenzake wakiwa wamejifanya kuwa ni viongozi wa dini waliwaua askari wawili wa kiisrael. walivalia mavazi ya kitumishi kama watumishi wa mungu na kuwabeba askari wale wawili na walipofika umbali wa km 3 toka walipowachukua mahmoud alitoa ishara kwa mwenzake na hivyo kufyatua risas zilizowaua....wakawazika vichakani..maisti ya askari mmoja ilionekana baadaya siku 3 na ya mwingine ilionekana baada ya miaka 7...
Mahmoud alikuwa top official katika kundi la hamas..huyu bwana alishughulika na uagizaji na ununua wa silaha toka mataifa ya nje...tukio la kuwaua wale askari wawili wa israel ndilo lilifanya uongozi wa israel ukamuweka kwenye list ya kuuwawa...
kumuua mtu hasa ambae nae anajua kuwa mda wote yuko kwenye hatari kuna taratibu zake...mkikurupuka hamuwezi kutekeleza jambo hilo...kitengo kilichohusika na mauaji hayo ni moja ya kitengo maalumu kilichoko ndani ya Mossad..na hawa jamaa wanajulikana kama ''ceaseria'' kama sijakosea hawachangamani na agent wengine wa kawaida...yaani kwa kifupi kama mossad ingekuwa ni dhehebu la dini basi kitengo cha hawa jamaa ungekiita ''patakatifu pa watakatifu''

Mahmoud aliftiliwa kwa mda mrefu..on the ground and online...na online walipachika trojan horse kwenye komputa yake na hivyo kujua nini kinaendelea juu ya akifanyacho...baada ya kujiridhisha kuwa nchi anazopenda kutembelea kuw ani pamoja syria, sudan na china..mossad walitafuta ni wapi wanaweza kumpata katika maeneo hayo..kwa kuwa walikuwa wakimfatilia hasa online na baada ya kujua kuwa ana safari ya china kwa kupitia dubai waliona dubai ni sehem mwafaya ya kutekeleza mauaji hayo ..
walikiwshapanga namna gani watamuua na kwa njia zipi bila kuacha alama....kabla ya kutekeleza mauaji hayo..mossad walikuwa wakumfatilia jamaa hasa alipokuwa akizuru dubai..walitaka kjua ni hotel gani huwa anafikia ..jamaa alikuwa hafikii hotel moja siku zote..alikuwa akihama hama...so jambo la walilofanya ilikuwa ni kujifunza aina zote za tech zilizokuwa installed kwenye milango katika hotel zote mashuhuri... walilifanya hili vyema sana ...

siku ya siku ilipofika...jumla wa watu 27 wote wakiwa ni kitengo cha mossad walitangulia kufika dubai na wakagawanyika kwenye mahotel tofauti tofauti maana wlaikuwa hawajui ni hotel gani atafikia...waligawana majukumu ipasavyo.na walifika dubai wakitokea nchi tofauti tofaut(rome, german,austria nk) kila mmoja wao alikuwa na jukumu lake.. mahmound alipofika airport jamaa walikuwa wameacha mtu wao pale ...akamfatili mpaka kwenye hotel aliyofikia..mossad wote wlaikuwa wakitumia mawasiliano amabyo ni encripted...so haikuwa rahisi kufahamika...

Mahmoud alifika chumba namba 230 katika hotel hiyo baada a mda akatoka kwenda kwenye mall japo riport haionyeshi alikwenda kufanya nini wala kukutana na nani maana alikaa huko kwa masaa 4 na usiku akarudi hotelini bila kujua hili wala lile...Mossad walishajipanga siku nyingi...wengine kati ya hao 27 walikuwa wameshamaliza majukumu yao na kuondoka nchini huku wakiwaacha wezao wapatao 6...4 walikuw ndani ya chumba cha mahmound na wengine wawili wlaikuwa chumba namba 237..hawa wawili walikuwa wakifanya doria eneo hilo....
kwa utaalamu mkubwa mossad waliprogram upya mlango wa chumba namba 230 in such a way that hata mahmoud aliporudi na weka funguo wake mlango ulikubali kufunguka na akaingia ndani .......ndani ya dakika 20 mossad kumaliza kazi ya miaka 20...Mahmoud akalala milele....
baada ya hapo jamaa wakatokomea kwa kupanda ndege usiku ule ule..na kesho yake mchana majira ya saa 7:30 mhudumu alifika katika chuma kwa ajili ya usafi lakini cha kushangaza alikuta mlango umejifunga kwa ndani na alipota taarifa kwa wahusikana na mlango kufunguliwa walikuta mtu amelala kitandani na pembeni yake kuna kichupa kidogo...
mahmoud alikuwa akitumia passport bandia ya kusafiria...asubuhi ilipofika wakuu wake kule hamasi wlaipatwa mashaka kwa ukimya maana waltegemea atoe taarifa lakini kimya...taarifa zilikuwa zimeanza kuzagaa kuwa kuna mtu amekutwa amekfa ndan ya hotel..hamas wakatuma mtu mwingine kwenda dubai kuhakiki na alipfka alikta kweli ule mwili ni wa mahamoud..na hapo ndipo hamass wakasema mwenzao ameuwawa na mossad....jambo lilimfanya mkuu wa upepelezi wa dubai kuanya uchunguzi wa kina na kutoa repot yake na cctv footeg zilizoonyesha namna gani timu ile ya watu 27 ilivyojipanga kwa ustad mkubwa kutekeleza jambo hilo ....
aiseeeee, hawa jamaa wa mossad ni hatari sana kaka
 
nawezakusema mara nyingi kuwa hilo linatokea kuwa waliomo ndani basi iwappo wameona anayefaa wanaweza kupendekeza kulingana na mahitaji ukizingatia kuwa kazi hizi huwa hazitangazwi kwenye magaeti wala redio au humu mitandaoni.....wanaweza kutumia njia hiyo ya one brings one au njia nyingine kabisa toafuti zipo nyingi... lakini pia mtu si kwamba wa ndnai akipendekekeza jina basi amepita..hapana... kuna uchunguzi wa kina sana unafanyika kuona kweli huyu mtu anao uwezo wataangalia vitu vingi personality,psychology na vingine vingi kwa kina kabisa...watakuchunguza unatembeaje, nywele zako unazichana vipi au kunyoa vipi (hii ina maana kubwa ktk kujua tabia ya mtu), ukitembea unatangulia mguu gani, macho yana rangi, ukilala unalala vipi kumbuka namna unavyolala huwa kwa kiasi kikubwa ina reflect tabia yako..kuna wengien wanalala chali, kifudifudi, ubavu huku wamekunja mikono na kuwa kama ndio mito ya kulalia nk nk.. unapendelea nini, na hata wanawake unaopenda ni wa aina ipi, wanene, weusi , warefu ,wembamba nk ..kama umeoa lazima mkeo achunguzwe na kama una mchumba lazima achunguzwe kama wewe umeonekana unafaa lakini mchumba hafai unawe shauriwa kuachana nae...hili linatokea tena sana tu..


hao wamarekani wanaweza kuwa na hiyo policy uliyosema lakini pia unaweza kumchunguza mtu kwa jujuu tu usijui dhamira yake ya dhati ..ukapendekeza na akaingia halafu huko mbele akawageuka..maana yake akawa double agent au triple agent..hao wamarekani kuna mahali walinufaika na hao double agent lakini pia kuna mahali walilia sana.
ngoja nikupe mfano mmoja.Issue ya doble agent inatumika sana katika hizimission ili ku-infiltrate enemy territory
ingawa sometimes inback-fire.Successful mission mojawapo iliyotumia double agent ni ile iliyomuua yule imam wa yemen mzaliwa wa marekani Anwar Al Awlaki. Huyu alikuwa anatafutwa na marekani kwa kuhusika kwake na 9/11 ambapo ilikuja kujulikana kuwa hijackers watatu wa 9/11 walikuwa wanasali kwenye msikiti wake. Vilevile moja wao alieongoza flight 77 alikuwa na namba yake kwenye diary yake. Huyu imam alikimbilia yemen akajificha huko. Kilichomponza ni kuwa mahubiri yake mengi alikuwa anayapost kwenye U-tube mpaka kuna wakati CIA waliomba kibali congress ili waondoe baadhi ya
mahubiri yake yaliyokuwa yana-incite jihad kwenye utube.

Sasa alipokuwa yemen CIA kwa kushirikiana na Danish Intelligence Agency PETwakam-recruit kijana mmoja wa denmak
ajulikanaye kama Storm aende akazoeane naye. Yule kijana akajifanya naye ni sympathizer wa jihadi akawa naye anachangiakwenye mahubiri anayotoa Anwar kwenye internet mwishowe akaenda yemen kukutana na Anwar. Anwar akamweleza kuwa anapanga kushambulia kwenye ma-supermarket makubwa marekani kwa kutumia biological weapons.
Baada ya mahusiano ya mudamrefu Anwar akamwomba amnunulie Flash am-downloadie magazeti ya marekani ili ajue wanamwandikaje kwa kuwa yeye alikuwa mafichoni. Hapo ndipo CIA wakampa Storm flash disc yenye tracking micro-chip. Wiki moja tokea ampe ile flash CIAwalituma drone ikamuua akiwa kwenye gari na wenzake watatu baadae wakamuua
na mtoto wake hii ni moja ya faida ya double agent. Lakini hii technique yaku-recruit doble agent huwasometimes inaback-fire kwa sababu huwa subjected to loyality. Si unakumbukakule Afghanstani kwenye base ya marekani ya kupambana na mitandao ya kigaidi yaalqaeda, Haqqan na talebani inayojulikana kama CAMP CHAPMAN kilinuka mwaka2009.

CIA na Jordanian Intelligency walim-recruit Jordanian doctor aliyekuwaanasympathize na Alqaeda aliyejulikana kama Humam Khalil Abu-Mulal al- Balawiakawa "TRIPLE AGENT", Huyu anatoka kijiji kimoja na Alqaeda leader in Mesopotamia
Abu Musab Al Zarqawi. Sasa Al Balawi alifanya kazi na CIA na kuwapataarifa za ukweli walipo wapiganaji wa Alqaeda na ikawa ni kweli CIA wakituma drone inawaua. Si wakamwamini, akawaambia yeye atawafanikishia CIA kumuua aukumkamata Ayman Al Zawahil, CIA wakaingia mkenge akawa akiingia kwenye base yao ya chapman hawamsachi. Siku
akawadanganya anataarifa muhimu sana kuhusiana na Al Zawahil hivyo anahitaji kuonana na top officials wa CIA, Basi yule mama ambaye alikuwa Chief of operation katika ile base anaitwa Jennifer Lynne Matthews akawaita hadi maafisa wengine wa CIA kutoka Kabul, alipofika getini hakusachiwa ingawa kunamageti matatu, maofisa wote wakatoka kumpokea nje, kumbe kajifunga bomu la kilo15 akalilipua aliua watu 9 palepale na wengine kadhaa kujeruhiwa.

Hii ndio risk ya ku-recruit double agent hauwezi kujua loyality yake ipo kwa nani. Mara baadaya kujitoa muhanga na kuuwa maofisa wa CIA, kiongozi mmoja nduguye Baitullah alionekana kwenye videofootage iliyorushwa kwenye channel za TV Pakistani akiongea kuwa amefanya liletukioa kama kulipiza kisasi cha kiongozi wa Alqaeda Pakistani Baitullah Mehsud aliyeuwawa na CIA kwa drone.

kwa hiyo unapoepndekeza jina la ltu lazima uchunguze mambo mengi na kwenye kazi hizi kuna ku-trust mtu hata kama ni mkeo au mwanao..watu wanageukana sana na kuuwana vibaya mno na kwa kiasi kikubwa mtu wako kwa karibu ndiye adui yako namba moja..maana yake lazima uishi kwa tahadhari mda wote na kila mtu umchukulie kwa tahadhali...kumbuka wasiwasi siku zote ndio akili..
so nimalizie kwa kusema kuwa kila nchi ina sera zake na upatikanaji wa watu hawa ila kila anayepatikana lazima afinyangwe upya ili kukidhi haja ya kile alichokusudiwa kufanya...

ukitaka suti nzuri lazima fundi aharibu kitambaa...
asante kwa ufafanuzi matata sana
 
nawezakusema mara nyingi kuwa hilo linatokea kuwa waliomo ndani basi iwappo wameona anayefaa wanaweza kupendekeza kulingana na mahitaji ukizingatia kuwa kazi hizi huwa hazitangazwi kwenye magaeti wala redio au humu mitandaoni.....wanaweza kutumia njia hiyo ya one brings one au njia nyingine kabisa toafuti zipo nyingi... lakini pia mtu si kwamba wa ndnai akipendekekeza jina basi amepita..hapana... kuna uchunguzi wa kina sana unafanyika kuona kweli huyu mtu anao uwezo wataangalia vitu vingi personality,psychology na vingine vingi kwa kina kabisa...watakuchunguza unatembeaje, nywele zako unazichana vipi au kunyoa vipi (hii ina maana kubwa ktk kujua tabia ya mtu), ukitembea unatangulia mguu gani, macho yana rangi, ukilala unalala vipi kumbuka namna unavyolala huwa kwa kiasi kikubwa ina reflect tabia yako..kuna wengien wanalala chali, kifudifudi, ubavu huku wamekunja mikono na kuwa kama ndio mito ya kulalia nk nk.. unapendelea nini, na hata wanawake unaopenda ni wa aina ipi, wanene, weusi , warefu ,wembamba nk ..kama umeoa lazima mkeo achunguzwe na kama una mchumba lazima achunguzwe kama wewe umeonekana unafaa lakini mchumba hafai unawe shauriwa kuachana nae...hili linatokea tena sana tu..


hao wamarekani wanaweza kuwa na hiyo policy uliyosema lakini pia unaweza kumchunguza mtu kwa jujuu tu usijui dhamira yake ya dhati ..ukapendekeza na akaingia halafu huko mbele akawageuka..maana yake akawa double agent au triple agent..hao wamarekani kuna mahali walinufaika na hao double agent lakini pia kuna mahali walilia sana.
ngoja nikupe mfano mmoja.Issue ya doble agent inatumika sana katika hizimission ili ku-infiltrate enemy territory
ingawa sometimes inback-fire.Successful mission mojawapo iliyotumia double agent ni ile iliyomuua yule imam wa yemen mzaliwa wa marekani Anwar Al Awlaki. Huyu alikuwa anatafutwa na marekani kwa kuhusika kwake na 9/11 ambapo ilikuja kujulikana kuwa hijackers watatu wa 9/11 walikuwa wanasali kwenye msikiti wake. Vilevile moja wao alieongoza flight 77 alikuwa na namba yake kwenye diary yake. Huyu imam alikimbilia yemen akajificha huko. Kilichomponza ni kuwa mahubiri yake mengi alikuwa anayapost kwenye U-tube mpaka kuna wakati CIA waliomba kibali congress ili waondoe baadhi ya
mahubiri yake yaliyokuwa yana-incite jihad kwenye utube.

Sasa alipokuwa yemen CIA kwa kushirikiana na Danish Intelligence Agency PETwakam-recruit kijana mmoja wa denmak
ajulikanaye kama Storm aende akazoeane naye. Yule kijana akajifanya naye ni sympathizer wa jihadi akawa naye anachangiakwenye mahubiri anayotoa Anwar kwenye internet mwishowe akaenda yemen kukutana na Anwar. Anwar akamweleza kuwa anapanga kushambulia kwenye ma-supermarket makubwa marekani kwa kutumia biological weapons.
Baada ya mahusiano ya mudamrefu Anwar akamwomba amnunulie Flash am-downloadie magazeti ya marekani ili ajue wanamwandikaje kwa kuwa yeye alikuwa mafichoni. Hapo ndipo CIA wakampa Storm flash disc yenye tracking micro-chip. Wiki moja tokea ampe ile flash CIAwalituma drone ikamuua akiwa kwenye gari na wenzake watatu baadae wakamuua
na mtoto wake hii ni moja ya faida ya double agent. Lakini hii technique yaku-recruit doble agent huwasometimes inaback-fire kwa sababu huwa subjected to loyality. Si unakumbukakule Afghanstani kwenye base ya marekani ya kupambana na mitandao ya kigaidi yaalqaeda, Haqqan na talebani inayojulikana kama CAMP CHAPMAN kilinuka mwaka2009.

CIA na Jordanian Intelligency walim-recruit Jordanian doctor aliyekuwaanasympathize na Alqaeda aliyejulikana kama Humam Khalil Abu-Mulal al- Balawiakawa "TRIPLE AGENT", Huyu anatoka kijiji kimoja na Alqaeda leader in Mesopotamia
Abu Musab Al Zarqawi. Sasa Al Balawi alifanya kazi na CIA na kuwapataarifa za ukweli walipo wapiganaji wa Alqaeda na ikawa ni kweli CIA wakituma drone inawaua. Si wakamwamini, akawaambia yeye atawafanikishia CIA kumuua aukumkamata Ayman Al Zawahil, CIA wakaingia mkenge akawa akiingia kwenye base yao ya chapman hawamsachi. Siku
akawadanganya anataarifa muhimu sana kuhusiana na Al Zawahil hivyo anahitaji kuonana na top officials wa CIA, Basi yule mama ambaye alikuwa Chief of operation katika ile base anaitwa Jennifer Lynne Matthews akawaita hadi maafisa wengine wa CIA kutoka Kabul, alipofika getini hakusachiwa ingawa kunamageti matatu, maofisa wote wakatoka kumpokea nje, kumbe kajifunga bomu la kilo15 akalilipua aliua watu 9 palepale na wengine kadhaa kujeruhiwa.

Hii ndio risk ya ku-recruit double agent hauwezi kujua loyality yake ipo kwa nani. Mara baadaya kujitoa muhanga na kuuwa maofisa wa CIA, kiongozi mmoja nduguye Baitullah alionekana kwenye videofootage iliyorushwa kwenye channel za TV Pakistani akiongea kuwa amefanya liletukioa kama kulipiza kisasi cha kiongozi wa Alqaeda Pakistani Baitullah Mehsud aliyeuwawa na CIA kwa drone.

kwa hiyo unapoepndekeza jina la ltu lazima uchunguze mambo mengi na kwenye kazi hizi kuna ku-trust mtu hata kama ni mkeo au mwanao..watu wanageukana sana na kuuwana vibaya mno na kwa kiasi kikubwa mtu wako kwa karibu ndiye adui yako namba moja..maana yake lazima uishi kwa tahadhari mda wote na kila mtu umchukulie kwa tahadhali...kumbuka wasiwasi siku zote ndio akili..
so nimalizie kwa kusema kuwa kila nchi ina sera zake na upatikanaji wa watu hawa ila kila anayepatikana lazima afinyangwe upya ili kukidhi haja ya kile alichokusudiwa kufanya...

ukitaka suti nzuri lazima fundi aharibu kitambaa...
sasa kwanini unafikiri jeshi la police halifanyi vetting/usahili wa kina sana kama idara za ujasusi ilhali na wao police pia wanahitaji askari wenye ubora wa hali ya juu sana kama vile integrity, confidentiality (usiri), umakini katika kazi badala yake wao police wanaajiri ajiri tu zigizaga zigizaga?
 
sasa kwanini unafikiri jeshi la police halifanyi vetting/usahili wa kina sana kama idara za ujasusi ilhali na wao police pia wanahitaji askari wenye ubora wa hali ya juu sana kama vile integrity, confidentiality (usiri), umakini katika kazi badala yake wao police wanaajiri ajiri tu zigizaga zigizaga?
kimyaaaaaaaaaaa........................
 
Kuna series inaitwa The American..ukifuatilia hii series inaonyesha spies are born and made...first their IQ are high also they want to save the world wakiwa wadogo kabisa ..so wakikuona hivyo wanakuchukua na kukuendeleza...km unataka kujua hayo mambo watch that series.
 
sasa kwanini unafikiri jeshi la police halifanyi vetting/usahili wa kina sana kama idara za ujasusi ilhali na wao police pia wanahitaji askari wenye ubora wa hali ya juu sana kama vile integrity, confidentiality (usiri), umakini katika kazi badala yake wao police wanaajiri ajiri tu zigizaga zigizaga?
..polisi wana utaratibu wao wa ajira..na wso wanapaswa kutafuta watu makini...shida moja kubwa ni rushwa..kuna mbinu chafu wanazitumia katika kuwapata watu sahihi...hili kiko maeneo mengi ya nchi na katik sekta nyingi...polisi wengi hawana weledi wa kazi...kuna mapendekezo yametolewa kama yakifanyiwa kazi tegemea mabadiliko makibwa katik jeshi la polisi...
Kumpata mtu sahihi kwa kazi flani kuna garama zake sasa wahusika wanatanguliza mbele maslaho yao binafsi na hivyo kupata watu wasiofaa kwa kiasi kikubwa...
Jeshi la polis ni sekta inayojihusisha na rushwa kuliko sekta yoyote tanzania...
 
Back
Top Bottom