Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe jasiri mbona haumwagi points zako kaka?Watu waoga sana humu
Zungumza unacho kifahamu mkuu tupate knowledge kama hakuna unalo fahamu basi ukae kimya wenye kufahamu mambo watupe elimu.Watu waoga sana humu
Sky chief wetu ni sawa na sheikh mbukuziwewe jasiri mbona haumwagi points zako kaka?
wakuu wa kambi Infantry Soldier na de'levis where are you brothers? you guys still have a lot to tell us
Aqua the big boss, spies are made after being closed monitored na kuonekana kuwa wanakeri some crucial attributes kwenye tabia zao na genetic makeup kwa ujumla. if spies were only to be made nadhani T.I.S.S ama idara nyingine ile ya ujasusi wangekuwa wanaokota watu just randomly huko mitaani na pasingekuwa na ulazima wa kuwapeleka watu shule za boarding kama tabora boys ama girls au kilakala na kuwachunguza tabia zao huko kisha kuwaaprochi kwa kazi hii maalum...Spy are made that is why there are places they have to go to be made,if they were born spy already then there are would be no need for their schools or college.Do not mix someone's ability to influence others or creativity or being able to do extra ordinary things these things we are born with and they help make one trained spy or leader different from another though they have been trained together under the same environment.
wewe jamaa Weltmeisterschaftung ile issue ya coup de tat ya Turkey haikuwa intelligence failure but it was rather an intelligence success na vile ndio namna ilivyotekelezwamkuu de'levis naomba msaada kwa haya:
(1) inawezekana kwa mfano mossad ama CIA wakawa na recruitment school ndani ya nchi adui kama Iran pasipo idara za usalama za Iran kujua?
(2) pia, jaribio la mapinduzi ya kijeshi huko Turkey linaweza kuwa termed as "intelligence failure" i.e. kushindwa kwa idara ya ujasusi za Uturuki kuweza kunusa harufu za njama zozote za kupanga mapinduzi?
mmmhNadhani huwa kunakuwa na vyuo vya kuwasuka hawa jamaa..sasa kama hao wa secondary wanakuwa wapitaje katika hivi vyuo?
itara mmoja wao alikuwa burned ama banned?
Wanajua wao wanawatrain muda gani, mtu unaandaliwa kufanya kitu fulani mapema, ndio maana form three unachagua science, form five unachukua PCB ili Chuo ukasomee Udaktari, uwezi ukachukua HGL form five Chuo ukataka ukasomee Udaktari, maandalizi ni mapema, ingawa kwa hawa watu ni wao wanaokuappriciate na kukuingiza humo taratiibu mpaka unaiva na kuwafaa, sio unajiingiza mwenyewe, unaamua kusomea mwenyewe au kama unavyoenda kuomba kazi Bank, no, unaweza ukawa hata mtu mwenye Masters, wasikufagilie, kwa kuwa hauwafai, lakini wakamtrain form four leaver akawafaa, but unafuatiliwa muda sana mpaka kuingizwa huku, hawakurupuki, yawezekana anayekufuatilia ni mwanafunzi mwenzako ama Mwalimu wako ambaye naye yumo tayari