Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
seriously ulikuwa unasoma kila kurasa mkuu?Hatimaye nimemaliza page zotee..
Shukrani ziende kwaa..
De'levis
Freelancer
Sulphur nini lijina ligumu..
Olesaidimu
Ramark
Infatry soldier
Na baadhi nimewasahau majina..
Yeeeah kila kurasa nimeanza jana saa kumi jioni ndo nimemaliza muda huu..seriously ulikuwa unasoma kila kurasa mkuu?
Girl Next-door ni shogaa yangu wa karibu sana. Unampenda sana?Yeeeah kila kurasa nimeanza jana saa kumi jioni ndo nimemaliza muda huu..
Mpe hai mpenz angu girl next-door
Nampenda sana she is GT hafu anapenda vitu navyopendaGirl Next-door ni shogaa yangu wa karibu sana. Unampenda sana?
Infantry Soldier anaweza kuniua kwa maana na yeye anampenda sana Girl Next-door (GND)Nampenda sana she is GT hafu anapenda vitu navyopenda
Basi nitajisogeza kwako beautiful Nk..Infantry Soldier anaweza kuniua kwa maana na yeye anampenda sana Girl Next-door (GND)
weweeeeee mimi mwenzako bado mdogo halafu hayo mambo sifanyagi. sipendi kufanya matusiBasi nitajisogeza kwako beautiful Nk..
Au wasemaje.
Mm mwenyewe kama ww hatutafanya matusi tutakua tunaangaliana tuuweweeeeee mimi mwenzako bado mdogo halafu hayo mambo sifanyagi. sipendi kufanya matusi
Ni mwanahabariHIVI MURO NI SPY!
Mambo yote yamo huku....Mkuu Yericko Nyerere kuna uzi fulanii ulielezea kuhusu mambo ya ujasusi please naomba link..
STILL am unemployedMambo yote yamo huku....
Vitabu vya Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi, na Strategy: The Road to Power, sasa vinapatikana kwa Dar es Saalam duka la House Of Wisdom, Posta, Samora, NHC House.
STRATEGY: Kitabu maalumu kwa wagombea wa urais, ubunge na udiwani, ni shilingi laki saba (700,000/=)
UJASUSI: Kitabu cha watu wote waliopevuka kiakili ni shilingi elfu themanini (80,000/=)
Nunua pia kupitia mitandao ya amazon.com, ebay.com au simgazeti.com
Piga simu sasa popote ulipo utaletewa...
Mawasiliano +255715865544
View attachment 623113
It's always "GOOD" with you!GOOD
Nadhani habari hii yote.ipo YouTubeaiseeeee, hawa jamaa wa mossad ni hatari sana kaka
Snowden is a fugitive. He never had a chance to meet with any foreign intelligence agencies. His life was in Hotels before he disappeared into RussiaMkuu Infantry Soldier mi naweza kidogo nikazungumzia suala la Edward snowden na U.S,binafsi naona U.S wametumia mbinu ya tujidhalilishe kwa hiki kitu kidogo ili tupate kitu kikubwa,kwa maana hiyo snowden kuondoka na kuachia siri ambazo wengi wakidhani ni jinsi gani zile taarifa zinaweza kuathiri taifa hilo kubwa lakini kumbe U.S ndo wamepanga iwe hivyo kwa mtizamo wangu snowden kutangaza vile ni kuteka concetration za mataifa yaliyokua yamekusudiwa ikiwa ni china,Russia,North korea,iran...ili atakapoingia nchi kati ya hizo awape zile taarifa ambazo U.S wamedhamilia na hazina madhara makubwa kwao kisha snowden achukue taarifa ambazo zimekusudiwa kisha aondoke mara1 au kuwatumia haraka,kwahiyo U.S walifahamu na walipanga mchezo mzima wa Snowden ili wapate wanachokihitaji,SO
IN THE EYES OF U.S SNOWDEN IS NOT ATRAITOR BUT THROUGH MEDIA SNOWDEN IS A TRAITOR.