Are spies made or born?

Are spies made or born?

Irrelevant post samahanini kidogo:

Nikiwa ninasafiri kwa safari ya siku kama 4 I left my laptop with Barack and his wife nikiwa nimeizima nikiamini they are good family friend kumbe nilikosea sana aisee.

Lakini wao waliiwasha wakaangalia na ku copy documents na picha zangu zote, wakasoma posts na username yangu ya JF pamoja na Facebook kisha wanaanza kunitukana na kunisimulia kwa watu.

On top of that this man works for the telecom company so anasoma sms zangu na kusikiliza all my calls.

Ninafikiria kuitelekeza hii account.
Pole sana.
 
Nimemaliza kupitia uzi wote muda huu. Well done kwa wale waliochangia nakutoa elimu ya ziada.

Ila kuna jamaa alisema ataelezea jinsi alivyodakwa akidhaniwa ni jasusi. Aliingia kwa mbwembwe ila mpaka sasa ni kimya
 
dah!

mara nyingi kunakuwepo na viashiria ambavyo vinaweza onekana tangu udogoni.
viashiria hivi vinaweza kuwa kutambuliwa na mtu wa familia ambaye tayari yuko kwenye system. ikitokea hivi na huyo mtu wa familia akaona utafaa basi anaweza akawa "anakulea" na kukujenga ili baadae iwe rahisi kukushawishi kuingia huko.

aidha viashiria hivi vinaweza kuonekana katika mfumo wa makuzi na elimu, mfano mwalimu wako, jirani yako, ndugu wa rafiki yako n.k.

pia wapo wataalamu kutoka ofisi kuu ambao nao wanajukumu la kutambua vipaji (potential candidates).

baada ya "kuonekana" unafaa inakuja ushawishi na kukujengea mazingira ya utakapo fuatwa na kuombwa kujiunga usisite kukubali. miaka ya awali chuo kikuu na jkt vilikuwa viwanja vya mawindo kwa watu wa "taaluma". mkufunzi kutoka makao makuu alikuwa na "warsha" ya siku moja na wanafunzi wa mwaka wa kwanza kuwaelezea umuhimu wa usalama hii ilikuwa ni mbinu ya kuwatayarisha wanafunzi kifikra ili wanapofuatwa wasisite kujiunga (ikumbukwe wakati huo chuo kikuu kilikuwa kimoja tu, hivyo hapo ndio palikuwa na jumuiko la wasomi wetu). idm mzumbe pia ulikuwa uwanja wa ajira(ingawa wakati huo haikuwa chuo kikuu)

kwa maneno mengine mtu anazaliwa na viashiria lakini viashiria hivyo lazima viboreshwe. usisahau kila sehemu hawa watu wapo kuanzia walimu, madaktari, wahandisi, wachumi, wahasibu, viongozi wa dini, wanasiasa nk. hata watu wasio na taaluma mahususi pia wapo. japokuwa kama alivyosema mchangiaji moja hapo juu sio kila mwenye viashiria ameajiriwa au ameonwa. wengine wanaviashiria husika lakini mazingira ya malezi/makuzi yao yamefanya wawe na viashiria vingine vyenye nguvu zaidi hivyo kuwa disqualify.

naamini nimekusaidia kidogo
Mkuu nakumbuka mwaka flani niliwahi KUFANYA online scheme ya uandishi wa habari ' online newspapers " na academy moja ya South London wakati ule nilikua kidato cha tatu.Nakumbuka nilipata nafasi ya kukutana na Mchungaji mmoja ambaye alinambia alikua mhandisi huko UN ila akawwa na wito wa kuwa mchungaji akanambia nchague zawadi nkamwambia laptop akaniletea Lenovo mpyaa ndani ya siku tatu mbele ikapta miaka kama miwili tunawasiliana Kwa simu tuu nakumbuka nilifatwa na watu watatu ambao umri wao ni mkubwa wakanipigia simu nionane nao nikakubali wakaja hadi sehemu nilipokua wakanambia kuna MTU wanamtafuta



Nikawauliza Kwa ujasiri nani? Wakanipa namba ya simu wanasema tunamtafuta huyo MTU nikashtuka nikawambia simfahamu baada yakuweka namba ktk simu na kukutana haipo kwenye phonebook yangu wanasema asante wakaondoka ila ajabu mwaka huu nmekutana na yule Mchungaji akaniuliza chuo naenda kusomea nini. Nikamjibu faculty ya Engineering sita itaja tafadhali ila akanambia "mbonaa unaenda nje ya malengo unakumbuka ile CV ya uandishi ulioipata kutoka Kwa wale wazungu wa south London ?" Mh nkashangaa sana kwamba hadi leo anakumbuka nikamjibu ila akawwa ajarzika na majibu.
 
Mkuu nakumbuka mwaka flani niliwahi KUFANYA online scheme ya uandishi wa habari ' online newspapers " na academy moja ya South London wakati ule nilikua kidato cha tatu.Nakumbuka nilipata nafasi ya kukutana na Mchungaji mmoja ambaye alinambia alikua mhandisi huko UN ila akawwa na wito wa kuwa mchungaji akanambia nchague zawadi nkamwambia laptop akaniletea Lenovo mpyaa ndani ya siku tatu mbele ikapta miaka kama miwili tunawasiliana Kwa simu tuu nakumbuka nilifatwa na watu watatu ambao umri wao ni mkubwa wakanipigia simu nionane nao nikakubali wakaja hadi sehemu nilipokua wakanambia kuna MTU wanamtafuta



Nikawauliza Kwa ujasiri nani? Wakanipa namba ya simu wanasema tunamtafuta huyo MTU nikashtuka nikawambia simfahamu baada yakuweka namba ktk simu na kukutana haipo kwenye phonebook yangu wanasema asante wakaondoka ila ajabu mwaka huu nmekutana na yule Mchungaji akaniuliza chuo naenda kusomea nini. Nikamjibu faculty ya Engineering sita itaja tafadhali ila akanambia "mbonaa unaenda nje ya malengo unakumbuka ile CV ya uandishi ulioipata kutoka Kwa wale wazungu wa south London ?" Mh nkashangaa sana kwamba hadi leo anakumbuka nikamjibu ila akawwa ajarzika na majibu.
Mimi mwenyewe ni meshawahi kutokewa na tukio kama hilo mkuu lakini nothing went on.
Unafikiria nini baada ya ushauri (kutoridhia taaluma hiyo)wa mchungaji?
 
Mimi mwenyewe ni meshawahi kutokewa na tukio kama hilo mkuu lakini nothing went on.
Unafikiria nini baada ya ushauri (kutoridhia taaluma hiyo)wa mchungaji?
Mkuu mimi nilitaka nisomee IT mana nilikua PCM na yeye alishawahi kuniuliza nataka nisomee nini nikamjibu Telecom engineering akashangaa sana.Hivi juzi adi akalalamika sana ila nidhafanya chaguo tayari na nimeipenda,aliuliza maswali mengi sana kabla sijaondoka likiwemo "unaonaje ukajakuwa na charity yako?" Na mengine magumu tuu.Huwa amekua akifatilia sana progress yangu hata Nilipopangwa JKT mujibu alifurahi sana akaniadisia hata experience yake wakat alipppita huko miaka ya 80's
 
Mkuu mimi nilitaka nisomee IT mana nilikua PCM na yeye alishawahi kuniuliza nataka nisomee nini nikamjibu Telecom engineering akashangaa sana.Hivi juzi adi akalalamika sana ila nidhafanya chaguo tayari na nimeipenda,aliuliza maswali mengi sana kabla sijaondoka likiwemo "unaonaje ukajakuwa na charity yako?" Na mengine magumu tuu.Huwa amekua akifatilia sana progress yangu hata Nilipopangwa JKT mujibu alifurahi sana akaniadisia hata experience yake wakat alipppita huko miaka ya 80's
Mkuu, unahisi unachakupoteza kutoka kwenye chaguo lako (Telecom engineering)
Hiyo 'charity' ulielewa kamaanisha nini mkuu,
 
Mkuu, unahisi unachakupoteza kutoka kwenye chaguo lako (Telecom engineering)
Hiyo 'charity' ulielewa kamaanisha nini mkuu,
Apana Mkuu Kwa sasa akili imesha tune huku nilipo kaka hivyo sitaweza kuchange tena,ila kuhusu charity Kwa kweli sikuelewa aliwaza nini mpaka akaniuliza hilo swali tena akitaka majibu ya hapo hapo huku akiisoma saikolojia yangu nikamchomolea akuamini.
 
Apana Mkuu Kwa sasa akili imesha tune huku nilipo kaka hivyo sitaweza kuchange tena,ila kuhusu charity Kwa kweli sikuelewa aliwaza nini mpaka akaniuliza hilo swali tena akitaka majibu ya hapo hapo huku akiisoma saikolojia yangu nikamchomolea akuamini.
Mimi nilipo kuwa nashindwa kujibu alikua akiniambia "you are too young to understand"
 
kwa hiyo napenda nikwambie kuwa mabadiliko ya globalization hayaathiri upatikanaji wa watu hawa bali kwa namna flani yanasaidia kuweza kupata vijana wanaofaa..chini ya mchango wangu pale juu nimesema wanaochaguliwa ni the right person note necessarily the best one.....

nimalize kwa kuukuuliza swali hivi unadhani kusema uongo ni dhambi?..
Nimeelewa vitu hapa............ Dhambi ya uongo hutegemea na sababu iliopelekea uongo kutendeka (imani yangu)
 
Sasa nimeanza kupata picha kwa mbaaaali lakini bado ninajiuliza how do they get to train teenagers? Au hawa wanafunzi wanakuwa recruited unknowingly?
Saikolojia ni pana sana mkuu.
Jua kwamba,kila mtu au akili ya mtu ni kifaa,kibaweza kutumika vyovyote.

Iwe kwanzia una umri wa miaka sita au ishirini kuendelea.

UNAFIKIRI NINI LENGO LA SCOUT?
UNAFIKIRI NINI MALENGO YA MAFUNZO YA WATOTO YA HALAIKI?
 
Spies si lazima awe ni spies in nature ila wanaofit vzur niwale ambao ni born in nature kwamba wana element izo damuni na hii si kwa spies tu bali specilization zote zina watu ambao ni born in nature na wapo wazamiaji pia.
 
Back
Top Bottom