Are spies made or born?

Are spies made or born?

Special thread for discussing espionage business and other closely related issues:

Bila shaka wote mu wazima wa afya humu JF.

Kama ambavyo heading inavyojielezea hapo juu ni swali nililokuwa nikijiuliza kwa muda mrefu sasa kama uwezo wa hawa watu (spies/intelligence officers) huwa ni wa mafunzo au wanazaliwa wakiwa tayari ni spies?

Ninawasilisha mjadala.
==========

Mchango kutoka kwa mdau
Wanakuwa trained, but talent nayo ni added advantages
 
Utulivu (wa akili) ni muhimu sana, maana humpa mtu uwezo wa kuchakata taarifa (kuunganisha dots, nk.). Lengo kuu la ujasusi ni kuzuia jambo hasi/hatari isitokee na/au kupunguza madhara.
 
Utulivu (wa akili) ni muhimu sana, maana humpa mtu uwezo wa kuchakata taarifa (kuunganisha dots, nk.). Lengo kuu la ujasusi ni kuzuia jambo hasi/hatari isitokee na/au kupunguza madhara.
Bila shaka wewe pia ni jasusi..
 
Wanakuwa trained, but talent nayo ni added advantages
Nini hatma ya maafisa usalama wa Syria waliokuwa kwenye undercover missions nje ya nchi pamoja na nchi jirani??

Je, utawala mpya wa Syria utaanza tena kutengeneza network mpya ya Intelligence Officers katika nchi jirani??

....and how costful will it be??
 
Uzi uko very shalow sana kuhusu hiyo mada. Spies wapi?
 
Nini hatma ya maafisa usalama wa Syria waliokuwa kwenye undercover missions nje ya nchi pamoja na nchi jirani??

Je, utawala mpya wa Syria utaanza tena kutengeneza network mpya ya Intelligence Officers katika nchi jirani??

....and how costful will it be??
Unaelewa maana ya mapinduzi?
Litafakari hilo neno kwa utulivu alafu jibu utalipata.
 
Mkuu wale jamaa kwa nchi za wenzetu huwa wanazaliwa wakiwa na baadhi ya attributes/tabia fulani hivi kisha wanaongezewa tradecraft/ujuzi wa kimafunzo...baada ya hapo weeee wanakuwa ni moto wa kuotea mbali...!
Hapa Tanzania ukiwa mbea tu na punguani kama Steve Nyerere CCM inakupa mafunzo ya ukuwadi ili unadi wake za watu mitandaoni na wakihitaji mademu unawapelekea wabunge machangu Dodoma.
 
Mimi Nina hizi attributes

Namjua mtu mbaya Kwa kumsikiliza tu.

Nina hiyo inaitwa machale

Nina uwezo wa kumuelewa mtu nia yake kwangu .

N.k
 
Special thread for discussing espionage business and other closely related issues:

Bila shaka wote mu wazima wa afya humu JF.

Kama ambavyo heading inavyojielezea hapo juu ni swali nililokuwa nikijiuliza kwa muda mrefu sasa kama uwezo wa hawa watu (spies/intelligence officers) huwa ni wa mafunzo au wanazaliwa wakiwa tayari ni spies?

Ninawasilisha mjadala.
==========

Mchango kutoka kwa mdau
Wengi ni wanafiki tu, wanazaliwa hivyo kuwa wanafiki na ndiyo maana inakuwa rahisi kwao kuwa majasusi
 
Back
Top Bottom