tumedanganywa nini katika Titanic? na ukweli ni upi?
Wakiisha wanaume wanabaki nani?
Sawa kabisa nimezidi kukuelewa vizuri, kwamba ukikosa mwanaume wa kukutimizia haja yako unageuka kuwa dume ili uwatimizie wanawake wenzio haja zao.
Mkuu mbona inasemekana Diana aliuwawa kwa sababu alibeba mimba ya yule Dodi ambaye siyo mzungu na ikaonekana ni kashfa kwa Royal Family kuzaliwa Muhindi?
tumedanganywa nini katika Titanic? na ukweli ni upi?
wakuu nawasalimu wote!
Kuna uvumi na tetesi katika vyombo mbalimbali vya habari kuwa aliens wapo na wanaishi.
Wana jamvi kuna ukweli juu ya hili unaothibitisha hili...