Are Unidentified Flying Objects (UFOs) and Aliens Real? How safe is Planet Earth?

Are Unidentified Flying Objects (UFOs) and Aliens Real? How safe is Planet Earth?

Hao si ndio kama wale tuliokuwa tukiwaona kwenye ile series ya world final conflict?
Kuhusu hoja ya kaini kuoa mke asiyejulikana chanzo chake,nilimuuliza kiongozi mmoja wa dini na akadai kuwa Kuna uwezekano mkubwa kuwa kaini alimuoa dada/mdogo wake,kwani watoto wa kike hawakuwa wakihesabiwa nyakati hizo,sikuamini jibu hilo moja kwa moja ila pia sikuwa na uwezo wa kulipinga kwani ni suala lisiloweza kupata ushahidi kiurahisi.
 
Mkuu! Hebu jaribu kufuata kanuni za uandikaji. Kama ni haraka au utamu wa kubofya, bofya na nukta, kituo nk... Nazo zipitie!
Kweli mkuu! Kama hapa nimeshindwa kabisa kumwelewa,»»By major mwendwa:
wanazana ambayo leo ndo bango haki sawa kwa wote are men a free to do everything they want are people a are equal
 
mi ni mkristo kuna fungu ambalo huwa nikilitafakari linanipa utata kwamba sisi wanadamu hatukuwa viumbe wa kwanza kuumbwa pale mwanzo adamu alipata watoto wawili wakiume kaini na mdogo wake kaini akamuua nguguye akakimbia kwao akaenda sehemu za mbali uko akapata mke akawa na kizazi sasa huyo mke alitoka wapi wakati kipindi hicho tunaweza kusema dunia ilikuwa na watu wanne tu sasa hao wengine je ni mwanzo 3 kwenye biblia.vilevile inawezekana hivi viumbe vikawa ni matokeo ya tafiti za wanadamu

Umesahau kuwa biblia inasema kuwa wakati huo wanefeili walikuwepo tayari duniani. who is wanefili? lakini pia katika sala ya imani ya mitume kwa baadhi ya madhehebu ya kikristo inasema kwa viumbe vinavyoonekana na visivyoonekana, viumbe visivyoonekana ni viumbe gani?
 
Leo nimetumiwa makala narafiki yangu ikiwa imechapishwa katika mtandao mmoja wa kijamii hapa tanzania,ukielezea kuwapo kwa viumbe hawa waliopewa jina la Aliens.

Stori kama hii ya kuwepo viumbe kama hawa nilisha wahi kudokezewa kwa kuwa mimi huwa mgumu wa kukubali mpaka uthibisho nipatiwe ndio itakuwa rahisi kunibadili mawazo kwajambo au mada utayoleta,kiujumla sikubaliani kuwepo na viumbe kama hawa walio umbwa na Mungu na kuishi katika sayari tofauti na hii,mimi na choamini nikuwa eneo salama kwa viumbe hai ni duniani pekee,baadhi ya taarifa nilizowahi kupewa nikuwa hawaviumbe ni hodari kitechnologia kuliko sisi,pia eti wanaakili kutushinda nawao hutushangaa kama baadhi yetu waliowahi kuwaona nakuwashangaa..Sasa basi ningependa tujuzane ukweli wa hivi viumbe kama kweli vipo au niuzushi wabaadhi ya watu kujitengenezea pesa,kwamfano kuna film ilitoka miaka ya 90 au 2000 hivi ilikuwa inawahusisha viumbe kama hawa...

View attachment 104680View attachment 104681View attachment 104682View attachment 104683
SHUKRANI

mbona tunaishi nao kila siku? WANASIASA wetu wadanganayaji, walafi, waongo, nk unadhania kweli wanatpkea DUNIA HII YETU?
 
Americans wanaongoza kwa ku'brain wash watu hasa sisi waafrica.
Movies zao ndizo zimesababisha mpaka mdau ameanzisha hii mada kuhusu 'viumbe' wa kusadikika.
 
Umesahau kuwa biblia inasema kuwa wakati huo wanefeili walikuwepo tayari duniani. who is wanefili? lakini pia katika sala ya imani ya mitume kwa baadhi ya madhehebu ya kikristo inasema kwa viumbe vinavyoonekana na visivyoonekana, viumbe visivyoonekana ni viumbe gani?

Lakini inasema kuwa viumbe hao wa roho waliwaona binti za wanaadamu na kuwatamani na hivyo wakawachagua wale waliowapenda na kuwafanya kuwa wake zao,hii inaonyesha kuwa binaadamu walikuwepo duniani tayari,na viumbe hao wa roho walikuwepo mbinguni na si duniani,ila tamaa ya ngono na kule kuvutiwa na maumbile ya mabinti wa kibinaadamu ndiko kulikowafanya washuke duniani.
 
Umesahau kuwa biblia inasema kuwa wakati huo wanefeili walikuwepo tayari duniani. who is wanefili? lakini pia katika sala ya imani ya mitume kwa baadhi ya madhehebu ya kikristo inasema kwa viumbe vinavyoonekana na visivyoonekana, viumbe visivyoonekana ni viumbe gani?

Mkuu viumbe wasioonekana wapo wengi mno(kutoa majini),bado kuna jamii kubwa sana ya bacteria na viruses ambao bado hawajakuwa established,labda kutokana na uchanga wa utafiti wa kibinaadamu,hata kwenye hewa hii tunayoivuta tunaambiwa pana idadi kubwa ya viumbe vidogo mno ambavyo si rahisi kuviona kwa macho.
 
tunakoenda tutafikia stage ya kuutamani utumwa wa fimbo.just imagine unavyoweza kupata shida ya kupata pesa kisa tu network inazingua na una shida hasa si utumwa.na sio siri agenda yao is to eradecate the use of paper money by using technology and we shall control the whole world na wanaitangaza na kuipa promo na sisi tunashangilia maendeleo subilieni tuje tuyashuhudie maendeleo ndugu zangu hii teknolojia ndio itakayo tumaliza tena vizuri

Angalia Ufunuo 13:17 - 18.

Amschel Mayer Rothschild aliwahi kusema "Permit me to issue and control the money of a nation, and I care not who makes the laws."

Na ndugu yake aitwaye Nathan Mayer Rothschild aliwahi kusema "I care not what puppet is placed upon the throne of England to rule the Empire on which the sun never sets. The man who controls Britain's money supply controls the British Empire, and I control the British money supply."
 
Nna mashaka,huenda viumbe hivi ndio vilee ambavyo vimepewa jina la Unidentified Flying Object (UFO).kama ndio hivi basi serikali ya Marekani iliwahi kutenga trilions of money kwa ajili ya utafiti wake ila ilishindwa kupata jibu kamili la viumbe hivi na ikasitisha utafiti wake
 
Leo nimetumiwa makala narafiki yangu ikiwa imechapishwa katika mtandao mmoja wa kijamii hapa tanzania,ukielezea kuwapo kwa viumbe hawa waliopewa jina la Aliens.

Stori kama hii ya kuwepo viumbe kama hawa nilisha wahi kudokezewa kwa kuwa mimi huwa mgumu wa kukubali mpaka uthibisho nipatiwe ndio itakuwa rahisi kunibadili mawazo kwajambo au mada utayoleta,kiujumla sikubaliani kuwepo na viumbe kama hawa walio umbwa na Mungu na kuishi katika sayari tofauti na hii,mimi na choamini nikuwa eneo salama kwa viumbe hai ni duniani pekee,baadhi ya taarifa nilizowahi kupewa nikuwa hawaviumbe ni hodari kitechnologia kuliko sisi,pia eti wanaakili kutushinda nawao hutushangaa kama baadhi yetu waliowahi kuwaona nakuwashangaa..Sasa basi ningependa tujuzane ukweli wa hivi viumbe kama kweli vipo au niuzushi wabaadhi ya watu kujitengenezea pesa,kwamfano kuna film ilitoka miaka ya 90 au 2000 hivi ilikuwa inawahusisha viumbe kama hawa...

View attachment 104680View attachment 104681View attachment 104682View attachment 104683
SHUKRANI

Yes wapo, ukifika eneo la Alice Spring katika Northen Territory ya Australia kuna picha za hawa Allien walioonekna siku nyingi, binafsi nimeshuhudia ingawa sio kama hizo picha zako hapo juuu.. Ngoja nilete picha
 
Kuna Uwezekano wa Uwepo wa Alliens. mfano michoro ya kwny PYRAMID HESABU WALZOTUMIA KUJENGA ni hesabu zilizoenda shule. unajua kila ANGLE KWNY PYRAMID IPO SAWA UPANDE WA PILI pyramid ipo fixed na yale masanamu ya nje ni makubwa ila cha kushangaza imepimwa kwa COMPTURE imekutwa technologia ya kuweza kuchora kwa usawa Ndio ipo sahv hao zaman waliwezaje tena ipo calculated ilivochorwa.

MICHORO iliyopo PWANI YA CHILE ambayo ukipita kwa ndege juu ndo unaweza ona na kuitambua Ila ukiwa kwa chini hata ufanyeje huwez jua km ni mchoro coz mchoro mmoja umechukua ukubwa wa TABATA mfano.
MASANAMU YA VICHWA kwny kisiwa katikati ya PASIFIC INA TAKRIBANI MIAKA 3000BC .

na majengo yote ya zaman km pyramid ya EGYPT,MEXICO,CHINA n.k yote yamejengwa kwa hesabu sawa hata matofari yake yalivofixiwa.
Je ZAIDI YA MIAKA 1500BC PALIKUWEPO TECHNOLOJIA HYO KWA BINADAMU HAWA AU ALLIENS WALIKUJA MIAKA HYO, KUMBUKA HUKO CHILE KUNA LUGHA IMEANDKWA ila bnadamu wameshndwa kuielewa Lugha km inayotaka kufanana nayo ipo PAKISTAN KWNY HSTORICAL SITE ila hakuna alieweza kuielewa.
 
Hii kitu inakuaje Kiranga anaiogopa?

Kiranga requires a certain level of sophistication to be drawn, talk about SETI research and potential improvisation on the Arecibo you will see him there.

Talk about grammar school level discussion of "alliens" and you might see him there out of a sense of charity.

But otherwise, like 'Kiss, "I send my ni**as to do it, in a black Buick".
 
Hii kitu inakuaje Kiranga anaiogopa?

Kiranga requires a certain level of sophistication to be drawn, talk about SETI research and potential radiotelescopic improvisation on the Arecibo you will see him there.

Talk about grammar school level discussion of "alliens" and you might see him there out of a sense of charity.

Talk about the veracity of Drake's equation and you will see me there.

But otherwise, like 'Kiss, "I send my ni**as to do it, in a black Buick".
 
hawa Alien mh mie nadhani ni stori tu za miaka ya 90 na zilitungwa na US ilikutaka kujipaisha! but what i know kuna hawa viumbe au vitu vya ajabu ambavyo vimewahi na vinatokea visivyojulikana vinaitwa UNIDENTIFIED FLYING OBJECTS (UFO) hivi watu mbalimbali wameviona ata kwetu Tanzania naamini kuna watu wameshaviona sema tu tech yetu ipo chini na mara nyingi havionekan kwa majority ni watu au mtu mmoja ndo anaweza kusema leo nimekutana au nimeona kiume cha ajabu...nenden google then type hiyo UFO

Kuna maelezo kuwa Alliens/UFO ni viumbe wasiojulikana, ambao huwapa wanadamu wamuabuduo shetani nguvu kwa kiwango cha juu.
Hii inawezekana kama alivyosema mchangia m1 kuwa kifo cha Princess Diana ni matokeo ya kutoa siri baada ya kuoneshwa jinc familia inavyobadilika kuwa reptile! Na ikumbukwe kuwa familia hiyo inaabudu kile wanachokiita REPTILIAN EYE.
Ktk kitabu cha Ufunuo tunaelezwa kuwa itakuwepo sheria ya kupigwa chapa ya mnyama kwenye paji la uso so, Alliens/UFO wamekuwa wakifanya kazi hiyo hata kuweza kubadili sura ya mhanga husika. (Kama ilivyoelezwa juu ya hyo familia ya Malkia)
 
sayansi yetu bado mfano kitu kinaitwa DARK MATTERS kuna maada nyng hazionekan kwa sayans yetu. Pia asilimia kubwa katika universe ni dark matterz
 
Unajua hakuna watu wajinga kama watu tunaojiita wasome. Tukishapata diploma,BA/B Com au Ph D we think we know every thing.The truth is that we know very little.Ni kwamba hiki ulicho ambiwa kuhusu Aliens ni kweli and there is nothing knew about it.Kwa bahati mbaya wewe ni Tomaso.Ila nikukatie kidogo tu.Mikataba mingi inayohusu tekinolojia imesaniwa kati yao na Wamarekani na technologies nyingi tunazotumia ni as a result of collaborative work between them and the Americans.Kwa bahati mbaya ni kwamba mikataba híi ina masharti mengi mabaya ambaya yameshatuathiri sana and the worst is still to come. Unaweza kuamua kuamini au kutoamini,lakini huo ndio ukweli.
Leo nimetumiwa makala narafiki yangu ikiwa imechapishwa katika mtandao mmoja wa kijamii hapa tanzania,ukielezea kuwapo kwa viumbe hawa waliopewa jina la Aliens.

Stori kama hii ya kuwepo viumbe kama hawa nilisha wahi kudokezewa kwa kuwa mimi huwa mgumu wa kukubali mpaka uthibisho nipatiwe ndio itakuwa rahisi kunibadili mawazo kwajambo au mada utayoleta,kiujumla sikubaliani kuwepo na viumbe kama hawa walio umbwa na Mungu na kuishi katika sayari tofauti na hii,mimi na choamini nikuwa eneo salama kwa viumbe hai ni duniani pekee,baadhi ya taarifa nilizowahi kupewa nikuwa hawaviumbe ni hodari kitechnologia kuliko sisi,pia eti wanaakili kutushinda nawao hutushangaa kama baadhi yetu waliowahi kuwaona nakuwashangaa..Sasa basi ningependa tujuzane ukweli wa hivi viumbe kama kweli vipo au niuzushi wabaadhi ya watu kujitengenezea pesa,kwamfano kuna film ilitoka miaka ya 90 au 2000 hivi ilikuwa inawahusisha viumbe kama hawa...

View attachment 104680View attachment 104681View attachment 104682View attachment 104683
SHUKRANI
 
Back
Top Bottom