Unajua tatizo tukianza elimu ya sekondari mambo yote ni kwa ngeli, ungeeleza kwa ngeli kidogo tungekusoma vizuri maana unavosema DHCS na terms kama UFO, kirefu chake ni kingereza ila unavozichanganya na kiswahili na hizo term nyingine za kisayansi unavoweka kwa kiswahili unatumaliza kabisa, mimi hata kiswahili cha acceleration mziki.... Japo nimekupata kiac flani, haya mataifa bna mi naona kilichobaki ni kukaa na kusubiri tuone fate ya human race itaishia wapi maana sawa wanatumia sayansi kujihami lakini still wapo wanaotumia sayansi kufanya mazuri, kama 0.6g peke yake ya mass ilikua converted into energy Heroshima n Nagasaki Japan, ikatoa historia duniani, je yaliyopo sasa hivi? In anyway ni kukaa na kuona mwisho wake ni upi, maana nchi moja kama marekani kwa sasa inauwezo wa kusambaratisha nchi zote dunia nzima within 48hrs kama itatumia atomic bombs, ya nini kukaa na kuwatafuta kesi watu kama hao, kama huwezi shindana nao ungana nao... North Korea hua wanawachimba beat lakini ukweli ni kua wamelala wanawacheki tu wakiwaamulia haichukui hata siku moja nchi itakua jangwa ile