Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa kaileta topic akidhani kila mtu anafuatilia technological changes au kila mtu ni Engineer wa kuweza kuelewa maana ya UFO or DCHS.
Ili uweze kumuelewa mtoa mada inabidi uwe current sana na issue za technology, visit NASA website and other Science journals. Yani uwe mtu unayependa kufuatilia mabadiliko ya technojia katika Dunia hii kila mara.
Jamaa kaileta
topic akidhani kila mtu anafuatilia technological changes au kila mtu ni
Engineer wa kuweza kuelewa maana ya UFO or DCHS.
Ili uweze kumuelewa mtoa mada inabidi uwe current sana na issue za
technology, visit NASA website and other Science journals. Yani uwe mtu
unayependa kufuatilia mabadiliko ya technojia katika Dunia hii kila
mara.
Weka picha tuone:
Nawewe umezidi kila mada weka picha! khaaa! uwe unachangia mara moja moja!
Nikirudi kwenye mada..Engeneer una kitu kizuri cha kushea nasi,tatizo umeshindwa kubreak topic toka complex kuwa simple..wengi wetu ni ma slow learners..
Kumbuka aman ili iwepo
lazima kuwe na shibe.Na shibe ili iwepo basi tuitoe CCM madarakani
maana wakiondoka angalau ugumu wa maisha utapungua.vijana wa lumumba ni
vilaza hawatakuelewa kamwe ila hii kitu inawagusa moja kwa moja.
Hebu malizia mpaka mwisho utaelewa tu.Hata sipati picha hapa!
Wewe binafsi umeelewa nini?
Jamaa point yake kubwa
ni kuwa mataifa makubwa yametuzidi kwa tech ingawa yeye kabase sana
kwenye tech ya anga na ambapo sisi hata tufanyeje hatutowaweza kamwe
mfano hapo juukasema hiyo kitu hata chuo kikuu haijanza kufundishwa.sasa
basi kasema tuwe na kitu chetu ambacho tutajivunia ambacho ni aman.thus
is why umeona mi nimeanzia hapo kuchangia hoja.
Gracias.....Poor explanation on an extremely complex topic! Thank you.