Are Unidentified Flying Objects (UFOs) and Aliens Real? How safe is Planet Earth?

Are Unidentified Flying Objects (UFOs) and Aliens Real? How safe is Planet Earth?

jamaa yuko very clear endapo utakuwa na idea kidogo,japo amemix anachozungumzia ni juu ya "future tech"the way tech itakavyokuwa mf.kufahamu sauti ya mtu fulani,ikaingizwa ktk special device,device ikafeed mitetemo ya sauti ktk "flying object",then flying object ikaanza kusearch the same feeded sound around the world,akimaanisha watu jamii ya osama by future kuwapata na kuwashambulia litakwa ni jambo dogo sana,kwa maficho yoyote duniani
 
Jamaa kaileta topic akidhani kila mtu anafuatilia technological changes au kila mtu ni Engineer wa kuweza kuelewa maana ya UFO or DCHS.

Ili uweze kumuelewa mtoa mada inabidi uwe current sana na issue za technology, visit NASA website and other Science journals. Yani uwe mtu unayependa kufuatilia mabadiliko ya technojia katika Dunia hii kila mara.

Kaka, Technology na mabadiriko ina uwanja mpana sana. Na wengi sana tunafuatilia, sema tofauti ni categories tu. Mwingine anafuatilia mambo ya space, mwingine za communication, mwingine za silaha, mwingine za motor cars etc. Huwezi kua competent kwote aisee.
Tatizo jamaa kaleta topic ova woote tuko familiar na anachokiongea au as if tulikua tunakijadili sasa leo tunaendelea. Mie hapo nimerudia mara tatu hfu sijaelewa, ingawa am sure kuna watu wanaelewa. Jamaa angeanza kutuelewesha hizo DHCS ndio nini? Zina uhusiano gani na UFO? Nani kaziweka, Wamarekani au Alliens etc. Hapo tungemuuliza maswali na angejitahidi kijibu tungepata somo.

Usikute hao DHCS ni viumbe hai.
 
Jamaa kaileta
topic akidhani kila mtu anafuatilia technological changes au kila mtu ni
Engineer wa kuweza kuelewa maana ya UFO or DCHS.

Ili uweze kumuelewa mtoa mada inabidi uwe current sana na issue za
technology, visit NASA website and other Science journals. Yani uwe mtu
unayependa kufuatilia mabadiliko ya technojia katika Dunia hii kila
mara.

Yeah Steve, kumbe si kila mtu anaweza kuwa mwalimu mzuri.
 
injinia watu wametoka kapa.

shule za lowasa hizi tabu kweli vijana kunyambua issues.
 
Weka picha tuone:

Nawewe umezidi kila mada weka picha! khaaa! uwe unachangia mara moja moja!
Nikirudi kwenye mada..Engeneer una kitu kizuri cha kushea nasi,tatizo umeshindwa kubreak topic toka complex kuwa simple..wengi wetu ni ma slow learners..
 
Kumbuka aman ili iwepo lazima kuwe na shibe.Na shibe ili iwepo basi tuitoe CCM madarakani maana wakiondoka angalau ugumu wa maisha utapungua.vijana wa lumumba ni vilaza hawatakuelewa kamwe ila hii kitu inawagusa moja kwa moja.
 
Nawewe umezidi kila mada weka picha! khaaa! uwe unachangia mara moja moja!
Nikirudi kwenye mada..Engeneer una kitu kizuri cha kushea nasi,tatizo umeshindwa kubreak topic toka complex kuwa simple..wengi wetu ni ma slow learners..

Soma tena hiyo kitu huko mwishoni mwishoni huko utagundua jamaa point yake ni nini,ni dhahili kuwa mataifa makubwa kwa utaalam wa anga yametuzidi pakubwa, ila anasistiza basi tuwe na chetu ambacho tutajivunia.
 
Kumbuka aman ili iwepo
lazima kuwe na shibe.Na shibe ili iwepo basi tuitoe CCM madarakani
maana wakiondoka angalau ugumu wa maisha utapungua.vijana wa lumumba ni
vilaza hawatakuelewa kamwe ila hii kitu inawagusa moja kwa moja.

Wewe binafsi umeelewa nini?
 
Wewe binafsi umeelewa nini?

Jamaa point yake kubwa ni kuwa mataifa makubwa yametuzidi kwa tech ingawa yeye kabase sana kwenye tech ya anga na ambapo sisi hata tufanyeje hatutowaweza kamwe mfano hapo juukasema hiyo kitu hata chuo kikuu haijanza kufundishwa.sasa basi kasema tuwe na kitu chetu ambacho tutajivunia ambacho ni aman.thus is why umeona mi nimeanzia hapo kuchangia hoja.
 
duh... sisi huku tumebaki na siasa chafu nakuiba kula...
 
Jamaa point yake kubwa
ni kuwa mataifa makubwa yametuzidi kwa tech ingawa yeye kabase sana
kwenye tech ya anga na ambapo sisi hata tufanyeje hatutowaweza kamwe
mfano hapo juukasema hiyo kitu hata chuo kikuu haijanza kufundishwa.sasa
basi kasema tuwe na kitu chetu ambacho tutajivunia ambacho ni aman.thus
is why umeona mi nimeanzia hapo kuchangia hoja.

Poor explanation on an extremely complex topic! Thank you.
 
nimeseach google maana ya DHCS lakini sijaambua chochote wakuu.
 
Kama umetupia kuku chakula wanavyogombania na kupigana sarakasi ndivyo mleta uzi alichofanya, ha haaaa! Maana sijamuona sehem amerudi walau kudadavua zaidi tumebaki kucrashiana na sarakasi tupu.
Hebu engineer rudi huku bana dadavua.

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Unajua tatizo tukianza elimu ya sekondari mambo yote ni kwa ngeli, ungeeleza kwa ngeli kidogo tungekusoma vizuri maana unavosema DHCS na terms kama UFO, kirefu chake ni kingereza ila unavozichanganya na kiswahili na hizo term nyingine za kisayansi unavoweka kwa kiswahili unatumaliza kabisa, mimi hata kiswahili cha acceleration mziki.... Japo nimekupata kiac flani, haya mataifa bna mi naona kilichobaki ni kukaa na kusubiri tuone fate ya human race itaishia wapi maana sawa wanatumia sayansi kujihami lakini still wapo wanaotumia sayansi kufanya mazuri, kama 0.6g peke yake ya mass ilikua converted into energy Heroshima n Nagasaki Japan, ikatoa historia duniani, je yaliyopo sasa hivi? In anyway ni kukaa na kuona mwisho wake ni upi, maana nchi moja kama marekani kwa sasa inauwezo wa kusambaratisha nchi zote dunia nzima within 48hrs kama itatumia atomic bombs, ya nini kukaa na kuwatafuta kesi watu kama hao, kama huwezi shindana nao ungana nao... North Korea hua wanawachimba beat lakini ukweli ni kua wamelala wanawacheki tu wakiwaamulia haichukui hata siku moja nchi itakua jangwa ile
 
Back
Top Bottom