Fyddell swali lako limenifanya niwaze mengi,
kuna watu katika imani huwa wanasema wameombewa na kukombolewa kutoka kuzimu,
ukiwauliza habari ya huko anasimulia maisha ya kule kuna viwanda majengo na maisha mazuri sana,
bado najiuliza kama ni kweli huko kuzimu ni sehemu ya dunia ama nako ni sayari nyingine yenye maisha mengine kama ya kwetu?au tofauti na ya kwetu..
Je ni kweli wanasayansi wamefanikiwa kuzifahamu sayari zote na viumbe vilivyomo pamoja na maisha yao!?
fyddell hata mie nna maswali juu ya hili na sijui majibu nitapataje
Viumbe visivyoonekana duniani vipo na dini zote wanakiri hivyo na ndio maana makanisani watu wanaombewa mapepo yatoke na yanatoka je ni nani aliewahi kuyaona mapepo hata kwa darubini?
TRUTH
[h=3]Genesis 1:1-26[/h]King James Version (KJV)
1 In the beginning God created the heaven and the earth.
2 And the earth was without form, and void; and darkness was upon the face of the deep. And the Spirit of God moved upon the face of the waters.
3 And God said, Let there be light: and there was light.
4 And God saw the light, that it was good: and God divided the light from the darkness.
5 And God called the light Day, and the darkness he called Night. And the evening and the morning were the first day.
6 And God said, Let there be a firmament in the midst of the waters, and let it divide the waters from the waters.
7 And God made the firmament, and divided the waters which were under the firmament from the waters which were above the firmament: and it was so.
8 And God called the firmament Heaven. And the evening and the morning were the second day.
9 And God said, Let the waters under the heaven be gathered together unto one place, and let the dry land appear: and it was so.
10 And God called the dry land Earth; and the gathering together of the waters called he Seas: and God saw that it was good.
11 And God said, Let the earth bring forth grass, the herb yielding seed, and the fruit tree yielding fruit after his kind, whose seed is in itself, upon the earth: and it was so.
12 And the earth brought forth grass, and herb yielding seed after his kind, and the tree yielding fruit, whose seed was in itself, after his kind: and God saw that it was good.
13 And the evening and the morning were the third day.
14 And God said, Let there be lights in the firmament of the heaven to divide the day from the night; and let them be for signs, and for seasons, and for days, and years:
15 And let them be for lights in the firmament of the heaven to give light upon the earth: and it was so.
16 And God made two great lights; the greater light to rule the day, and the lesser light to rule the night: he made the stars also.
17 And God set them in the firmament of the heaven to give light upon the earth,
18 And to rule over the day and over the night, and to divide the light from the darkness: and God saw that it was good.
19 And the evening and the morning were the fourth day.
20 And God said, Let the waters bring forth abundantly the moving creature that hath life, and fowl that may fly above the earth in the open firmament of heaven.
21 And God created great whales, and every living creature that moveth, which the waters brought forth abundantly, after their kind, and every winged fowl after his kind: and God saw that it was good.
22 And God blessed them, saying, Be fruitful, and multiply, and fill the waters in the seas, and let fowl multiply in the earth.
23 And the evening and the morning were the fifth day.
24 And God said, Let the earth bring forth the living creature after his kind, cattle, and creeping thing, and beast of the earth after his kind: and it was so.
25 And God made the beast of the earth after his kind, and cattle after their kind, and every thing that creepeth upon the earth after his kind: and God saw that it was good.
26 And God said, Let us make man in our image, after our likeness: and let them have dominion over the fish of the sea, and over the fowl of the air, and over the cattle, and over all the earth, and over every creeping thing that creepeth upon the earth.
God created in that proper sequence
Sasa kama Mungu aliumba dunia vipi kuhusu mars,venus,pluto,mercury na sayari nyinginezo?
Je hizo nazo zina Mungu mwingine alieziumba?
Mungu ndiye aliyeumba zote hizo angalia anapoumba nyota, jua na mwezi....duniani pia ameumba viumbe (huwezi kuvitaja vyote kwa majina)
Thread hii ni ya kisomi lakini kwa bahati mbaya haitakuwa na wachangiaji wengi kwa kuwa upeo wa watanzania wengi wa kuchambua mambo unaishia kwenye siasa za CCM na CDM basi. Ukiwaletea mambo kama haya, wengi wao elimu yao ni ya kata, hawana mchango wowote wa maana! Wanaishia kutukanana tu!
Thread hii ni ya kisomi lakini kwa bahati mbaya haitakuwa na wachangiaji wengi kwa kuwa upeo wa watanzania wengi wa kuchambua mambo unaishia kwenye siasa za CCM na CDM basi. Ukiwaletea mambo kama haya, wengi wao elimu yao ni ya kata, hawana mchango wowote wa maana! Wanaishia kutukanana tu!
Mkuu ngoja nikwambie kitu kimoja hapo. Jua ni moja[ The biggest star] na kila star inazungukwa na planets nyingi kuizunguka hiyo star [Solar system]. Milky way galaxy ya kwetu, jua ndio star yetu tunalizunguka. Kwahiyo hizo stars unazoziona zimezungukwa na bilions of planets. Sasa hizo planets zingine zina viumbe?
Mimi naamini Mungu aliumba dunia, jua na mwezi na vitu vyote vilivyomo as well as mbingu
Thread hii ni ya kisomi lakini kwa bahati mbaya haitakuwa na wachangiaji wengi kwa kuwa upeo wa watanzania wengi wa kuchambua mambo unaishia kwenye siasa za CCM na CDM basi. Ukiwaletea mambo kama haya, wengi wao elimu yao ni ya kata, hawana mchango wowote wa maana! Wanaishia kutukanana tu!
Bora umwambieBadala ya kuchangia hoja wewe ndo kabisa unaonyesha UTUTUSA wako!
Nimetafakari sana swali lako. You must be very intelligent! Ni kweli mkuu. I wapo hapa duniani tu kuna viumbe visivyoonekana (hili hata wana-science wananaliafiki) inawezekana kabisa katika sayari nyingine vipo viumbe vingine vya aina nyingi tu ambavyo hata wana-science hawajavigundua bado. Lakini ukiwauliza kwa harakaharaka tu wanakujibu kwamba hakuna viumbe hai katika sayari nyingine. Sasa kama hapa duniani tu wanasema vipo viumbe visivyoonekana, itakuwaje katika sayari nyingine?
Shetan alipotupw aliend kwnye mfumo wote wa galaxies kuenez chuk zake.mifumo yote walimkataa akafanikiw kwnye mfumo wetu
Kama sayari moja iitwayo dunia inaviumbe vya aina mbali mbali na sayari zipo nyingi tukijumlisha na galaxies zingine tofauti na ya kwetu. Je kutakuwa na form of life in other planets too apart from being quite different from that of earth/ours or the same.?
Mungu ameumba viumbe vinavyoonekana na visivyo onekana na vitabu vitakatifu vinaonesha hivyo viumbe haviko tu hapa, vingine viko ardhini na vingine vipo angani kama angels, demons etc Kwanini sasa tusijiulize swari rahisi tu ya kwamba je ''Hakuna uwezekano wa hizo sayari zingine kuwa na viumbe ambavyo sisi binaadamu hatuvioni kwa macho yetu ya kawaida? Yaani ni makazi ya viumbe vingine?
Nimewahi kusikia waislamu wakizungumzia hili jambo Ila sikupay Antetion coz nilikua tyt... Ni kama katika vitabu vyao vitakatifu wanazungua hili jambo.... Kwa anayejua plz.... With reliable sources....