Lupamba's grandson
JF-Expert Member
- Jan 9, 2015
- 1,232
- 1,196
Nadhani hyo speed huyo mtu humo ndani atakuwa na malboro ya kutapikia maana ,au anakuwa kashafanya tizidu km 11 kwa sekunde, hii inazidi umeme aisee
Mshua Andrew Nyerere aliiona UFO MsasaniHivi UFO siyo chama cha ngumi?
Bingwa wa UFO uzito wa juu.
Wii musugu nzao. Inafananaje kwa mfano? Haya mambo mengine huwa naona tunapigina saundi humu eti UFO .UFO Nilishawahi kuiona mgololo iringa kwenye msitu wa mikusu.
Sema ndio hivo te skuwa na camera
ha ha.. mkuu panapowashwa ndipo panapokunwa!Kwani kila siku lazima wawe NASA?
Nchi yenu haiwez kutoa taarifa?
Mkuu ilikuwaje kimuonekano..?UFO Nilishawahi kuiona mgololo iringa kwenye msitu wa mikusu.
Sema ndio hivo te skuwa na camera
HahahahMshua Andrew Nyerere aliiona UFO Msasani
Hio speed ni ya kawaida sana kwa space craft zinazoelekea anga za mbali , Umesoma physics mkuu? Ili tu chombo kiweze kuiacha gravity kinahitaji ku maintain speed ya 11 km per second Escape velocity ili kichomoke apa sasa imagine huko juu hamna atmosphere wala nini yani kama Vacum tu kwanini speed isizidi apoBraza hapo kwenye speed km 11 kwa sekunde.... hatujadanganyana kweeli..... mmmh. Na mtu yumo ndani...mmh... hapana braza nahitaji darasa zaiid...
Sina shule ila uweZo wangu wa kuchambua umefika kikomo...
Unakumbukaga ule mziki wa kijana wa marekani chricBraza hapo kwenye speed km 11 kwa sekunde.... hatujadanganyana kweeli..... mmmh. Na mtu yumo ndani...mmh... hapana braza nahitaji darasa zaiid...
Sina shule ila uweZo wangu wa kuchambua umefika kikomo...
mziki wa dunia ndiyo nini?Kuhusu ndege nadhani haiathiriwi na speed ya dunia kwa sababu hata inapokuwa imeruka, bado inakuwa ipo kwenye atmosphere ya dunia, hivyo itaendelea kucheza muziki wa dunia mpaka mwisho.
Ilikuwa Kama vile ungo wa kunasia mawimbi ya chanel za tv sema ungo wenyewe ulikuwa unawaka then mkubwaMkuu ilikuwaje kimuonekano..?
Aaah Hili tatizo letu mitanzania,sasa kwa cmnt yako hiyo hata nikikwambia kinafananaje huwezi kusadiki.Wii musugu nzao. Inafananaje kwa mfano? Haya mambo mengine huwa naona tunapigina saundi humu eti UFO .
Mbung'o na dondola kumbe wanafanana UFO? jifiche basi..Wewe uliona mbung'o au dondola
Ndio wanaficha kwani madhara ya kukubali uwepo Wa ufo .bila kujua chanzo chake halisi ni sawa na kubadilisha historia ya imani duniani dhidi ya mwanadamu .kinachofanyika sasa hivi ni uchunguzi na zaidi kutoka vyanzo katika biblia juu ya historia na michoro inayopatikana ndani ya biblia na vitabu na michoro viusianavyo. Na hii ni baada ya kugundulika historia na michoro inayo ashiria uwepo Wa UFO toka enzi ya adamu na ataa zaidi .kwa ajili hiyo itabakia kuwa UFO hakuna .mpaka itakapo julikana Kama Mungu aliliweka wazi na analielewa ni nini ,vinginevyo kutambua uwepo Wa UFO bila chanzo chake kuhusika na kujilikana na Mungu, haitakuwa ajabu binadamu kuanza kutengeneza chombo cha kwenda huko UFO zinakotoka,na wakaachana kabisa na habari ya makanisa na miskiti kuabudu .maana madereva Wa UFO kwa Maelezo yao kufa mwili hawajali ni swala la kuhamia mwili mwingine.ni sawa na sisi binadamu tunavyo amini roho kwenda peponi lakini ikiwa ni siri tusio ijua. tofauti yao viumbe hao madereva Wa UFO sio siri kwao wanajua wazi mwili ukifa wanahamia mwili mwingine ,habari zaidi Google: UFO documentariesBado kumeendelea kuwa na sintofahamu kuhusiana na UFO's zinazoonekana sehemu mbalimbali lkn chakushangaza shirika kubwa la NASA bado halijaja na majibu ya kutosheleza kuhusu UFO hapa napatwa na walakini huenda kuna kitu kinafichwa...
Mwanaanga Michael Collins ambaye
alikuwa rubani wa Apollo, anadai
kwenye kitabu chake cha "Carrying
the Fire" (kubeba moto) kwamba UFO
ilijitokeza ghafla kutoka
kusikojulikana na kumudu kwenda sambamba na mwendo mkali wa
Apollo kwa masafa marefu.Wakati huo Apollo ilikuwa katika kasi
ijulikanayo kama "transonic speed",
ambayo ni takribani kilometa 40,000
kwa saa ( sawa na kilometa 11 kwa
sekunde). Anaeleza kuwa walipotoa taarifa
duniani kwa makao makuu ya NASA
kwamba kulikuwa na chombo kigeni
kinawafuatilia, walijibiwa kuwa "hiyo ni
UFO, achana nayo, zingatieni safari
maana ndiyo muhimu kwenu." Baadaye UFO hiyo ilitoweka kama
ilivyokuja.
toka miaka hiyo mpk leo inamaana hawajui nini kinaendelea..?
na kwajibu hilo inaonyesha wazi yakuwa hawana mashaka na UFO's!!
Heee!! Kwani umeme nao unasafiri?!! Mmmm!!du km 11 kwa sekunde, hii inazidi umeme aisee
kama ni utumwa basi wewe umejifunga nira ya kwanza kabisa maana yaonyesha unaamini zile riwaya zao ambazo chimbuko ni haohao!Wazungu kitambo sana wanayatafuta makazi ya M/Mungu, soma vitabu vya dini utanielewa tu, Area 51 ipo na kazi yao kitanbo ndo hiyo kuzuga wale wote wasiyo na imani, shetani ananguvu nyie watu, nawashangaa sana mnavyokurupuka nakua fwatilia hawa wazungu, Nasa ni illuminati we unafkiri unadanganywa vp wewe, soma sana, kuna jamaa alienda mwizini na alivyorudi nasa walimficha mpaka mauti yalipomfika akiwa na 67yrs unajua ni kwanini? Kasome wacha kua mtumwa
Heheheheheheh!!! Riwaya kama wasingekua wanawaficha watu ili wasiseme ukweli, kila unachokiona ni illusion, Mungu wa kweli ananguvu sana na ndo maaana anatuonyesha kila utundu wa shetani kila siku anapojaribu kutuvua imani,, urongo wa hawa jamaa, wewe umeshikwa! Amka bado shimo ulilomo wanakula panya wabichikama ni utumwa basi wewe umejifunga nira ya kwanza kabisa maana yaonyesha unaamini zile riwaya zao ambazo chimbuko ni haohao!