Are Unidentified Flying Objects (UFOs) and Aliens Real? How safe is Planet Earth?

viumbe inawezekana japo sio asilimia zetu inasemekana hata kifo cha princess diana wa uingereza aliyefia paris ufaransa chanzo kilikuwa ni kutoa siri kubwa ya utawala wa kifalme kwamba ukoo ule sio watu wa kawaida na hii ni baada ya malkia mwenyewe kumuonyesha diana namna wanavyoweza kubadilika na kuwa reptile au reptiliani jambo hili aliambiwa akitoa siri atakufa na watakuwa wanamsikia kwa kila anachoongea na watu uzalendo ulimshinda akamdokeza rafiki yake na kesho yake akafa kwa ajali ya gari
 
try to ask we does that idea coming from binadamu sio rahisi awaze tu bila kuona mfano kipindi mauaji hayajashamili watu wengi walikuwa hawawezi kuuana.movies ni kati ya mission za kupotosha watu na kuwaandaa watu ili jambo likitokea tusiwe na mshangao mfano suala la movie za vita ujambazi limewekwa makusudi ili tuone kuuwa nikawaida tena hatusikiti kabla ya movies rate ya mauaji ilikuwa ndogo ila saivi hali inatisha na watu hawaogopi niambie kichochea cha ushoga kama sio pornography ni nini
 
Mkuu mbona inasemekana Diana aliuwawa kwa sababu alibeba mimba ya yule Dodi ambaye siyo mzungu na ikaonekana ni kashfa kwa Royal Family kuzaliwa Muhindi?
 
movies ni janga hizo vampire tunazoziona naapa mbele za mungu itafikia tu stage binadamu anamuuma mwenzie na hatushangai sababu mindset zetu zilishakiona hicho kitu common kumbuka ubongo unavyoweza kutunza vitu kwanza ulipoona movie ya kwanza ulitetemeka hata kulala hamna ila ulivoona ya pili ya tatu nakuendelea unaona kawaida sana simple logic mbwa mwenye kichaa akiuma wenzie au binadamu na we unaanza kuuma
 
Mkuu mbona inasemekana Diana aliuwawa kwa sababu alibeba mimba ya yule Dodi ambaye siyo mzungu na ikaonekana ni kashfa kwa Royal Family kuzaliwa Muhindi?

saiv vitabu ni vingi mitandao ipo tafuta kwenye mitandao kuhusiana royal family kuwa reptilian lakini ni vema kitabu nitakutafutia link mkuu usihofu dunia ina mengi tusiyoyajua ila ukichunguza taarifa nyingi zinazotolewa na watawala juu ya kashfa zao ni uongo
 
Nakubaliana na wewe kwa 100% kuna uchafu mwingine unaitwa BBA eti mtoto wa Kitanzania naye anakubali kwenda kupigwa akuku danger huku camera zinammulika na wazazi wake wanaona pamoja na Family Member, i see nashindwa kuamini maana mimi hiyo BBA huwa naskip siangalii hata kwa bahati mbaya.
 
kuna vitu tunapotoshwa na mungu aliliona wengi tutaangamia kwa kukosa maarifa huwa napenda kufatilia historia halisi za movie ninazozitazama ila huwa naishia kuumia sababu watu tunapotoshwa mfano kwa tuliobahatika kuiona TITANIC ni wangapi leo ukiwaambia titanic hakuna mwanaume aliyeokolewa ni wanawake na watoto hata chanzo cha ajali tukawekewa mapenzi yalimponza nahodha teknolojia ya gharama yeyote ile inatumiwa ili kuficha ukweli inaumiza tunadanganywa
 
tunakoenda tutafikia stage ya kuutamani utumwa wa fimbo.just imagine unavyoweza kupata shida ya kupata pesa kisa tu network inazingua na una shida hasa si utumwa.na sio siri agenda yao is to eradecate the use of paper money by using technology and we shall control the whole world na wanaitangaza na kuipa promo na sisi tunashangilia maendeleo subilieni tuje tuyashuhudie maendeleo ndugu zangu hii teknolojia ndio itakayo tumaliza tena vizuri
 


Notable Reptilians: George Bush Sr., George Bush Jr., Richard Cheney, Al Gore, Colin Powell, Queen Elizabeth and all 4 sons including Prince Charles and Prince Andrew
 
marekani saiv wana research moja inayofadhiliwa na rockerfeller foundation wanatafiti namna ambavyo watampandikizia binadamu microchip ni particle ndogo sana ambazo zitasaidia na electronic signal kati ya microchip na ubongo wa binadamu lengo lao ni namna ambavyo taarifa nyeti zote zinazomhusu mtu aliyepandikizwa microchip zitaweza kupatikana bila kubeba lundo la vitamburisho ila the secret behind watakuwa na uwezo wa kui control akili ya binadamu ila bado utafiti haujakamilika
 
jamani wandugu tujiulize ukienda kwenye baadhi ya mapango unaweza kukuta michoro ya helicopter saa nyingine mashine za kisasa ambazo huwa tunaadithiwa mababu zetu walichora zamani sana hata kabla ya wakoloni hivi waliziona wapi hizo helicopter
 
wanazana ambayo leo ndo bango haki sawa kwa wote are men a free to do everything they want are people a are equal nani kakwambia mzee wa miaka 60 akawa sawa na kijana wa miaka 30 nani kakudanganya eti kila mtu akifanya atakalo tutakuwa salama hata mungu alisema walioukumiwa bila sheria watapotea bila sheria ni lazima kanuni taratibu na desturi za kutunza utu na hofu ya mungu ili tuwe salama aliyeiumba anasema pale wanaposema sasa ni amani kumbe ndipo chukizo la uharibifu litakuja let us be aware and care
 

Wazungu wote dunia hii ni aliens! Walitoka sayari nyingine na chombo chao kikaanguka kwenye sayari hii kwa bahati mbaya na ndio wakalowea huku
Nitakuletea ushahidi baadae
 
mimi nafuatiliga sana habari za alliens n the universe, it is possible that we are not alone in the universe, yani kuna viumbe wengine kwenye sayar zingine... the mathematics is simple, kuna nyota zaidi ya mamillion, na kila nyota kama jua ina sayari zaid ya mbili kama sikosei, sasa ili pawe na viumbe hai katika sayari zingine inabid sayari hyo iwe umbali na jua lake kama dunia ilivyo mbali na jua yani hakuna joto sana wala baridi sana ndo mana kuna viumbe duniani.

sasa ukipiga probability ya kirahisi hapo tuseme tu kwenye kila nyota laki moja kuna nyota moja yenye sayari ya viumbe hai yani probability of 1/100,000 sasa tuseme ulimwengu una nyota 1,000,000 ukifanya 1/100,000 × 1,000,000 unapata 10. yani kuna sayari kumi zngne zna viumbe hai!!!!!

mpaka sasa NASA imegundua kama sayari 3 hivi km sikosei amabzo zinatabia kama ya dunia yaani zinaweza support life. sayari hizo zimegunduliwa kwa kutumia a very big telescope inayoelea space kwenye satellite. tatzo ni kwamba hatuwezi kufika huko kwenye hzo sayar hata kwa kutuma robots kama zile za Mars coz hzo sayari zpo umbali ambao hata light ina weza ikatumia miaka 10 kusafari na kama mmnavyojua light inasafiri 300,000,000km kwa sekunde, so pga hesabu hapo mwanawane... na hyo ndo mana tumeshndwa kuwasiliana na viumbe wengine kwa sababu mawasiliano ya radio yametumwa mpaka leo hayajafika na hata yakifika hatujui kama tutaelewena, na sisi kuna vyombo vimewekwa kusikiliza any kind of communications from outside our solar system...

so its posible km kweli viumbe hao walishawahi kufka au ni storiz tu.... lisemwalo lipo kama halipo .................
 
Hamna ukwel wowote wa kuwepo kwa hawa viumbe
 
Allah anasema quran hakuwaumba majini na watu ili waje wamuabudu,, na maana kuna watu na majini sasa hao elliens wenu kama wapo basi ni majini otherwise itakua porojo kama zile za mazimungara
 
Nice Topic Watu Wanafunguka Vitu Muhimu Sana
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…