Are we witnessing a political maestro?

Are we witnessing a political maestro?

Logikos

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2014
Posts
15,460
Reaction score
24,233
Kuna mambo yanayofanyika ni kama yanakinzana, kuna decisions ukiziona au kauli ukizisikia unaweza kudhani labda mtu huyu anataka achukiwe au anashauriwa vibaya (anatengeza image mbovu kwa wapiga kura / wananchi).... Sidhani kama analiweza game la Propaganda.

Ila kuna move nyingine ukiziona ni kama vile unaangalia Movie ya The Godfather ile take over ya The Five Families ya Michael Corleone, yaani the thinking beyond the thinking ni long term (playing the long game)

Mfano yaliyotokea leo kama kweli waliovutwa Ikulu walikuwa maadui au wana agenda zao ni kuwakata mabawa (even just for now) na kuweka ile plausible deniability kwamba mimi sio mbaya na tupo pamoja.

Kwahio kwa ufupi huenda aliyepo kwenye hii team he/she knows politics inside out; huenda asifanye mtu apendwe ila agenda zake zikapita no matter ni agenda gani hizo..., In short there might be a Political Maestro who is the Master of the Game.

Just an opinion from an Outside Observer....
 
Kuna mambo yanayofanyika ni kama yanakinzana.., kuna decisions ukiziona au kauli ukizisikia unaweza kudhani labda mtu huyu anataka achukiwe au anashauriwa vibaya (anatengeza image mbovu kwa wapiga kura / wananchi).... Sidhani kama analiweza game la Propaganda....

Ila kuna move nyingine ukiziona ni kama vile unaangalia Movie ya The Godfather ile take over ya The Five Families ya Michael Corleone.., yaani the thinking beyond the thinking ni long term (playing the long game)

Mfano yaliyotokea leo kama kweli waliovutwa Ikulu walikuwa maadui au wana agenda zao ni kuwakata mabawa (even just for now) na kuweka ile plausible deniability kwamba mimi sio mbaya na tupo pamoja...

Kwahio kwa ufupi huenda aliyepo kwenye hii team he/she knows politics inside out; huenda asifanye mtu apendwe ila agenda zake zikapita no matter ni agenda gani hizo..., In short there might be a Political Maestro who is the Master of the Game...

Just an opinion from an Outside Observer....
Ni hivi unaweza kuwavuta watu Ikulu na bado wakaendelea na mambo yao tena kwa viwango vya kutisha ambavyo hutaambua chochote, kimsingi Bi Mkubwa mfumo umemkataa, anavumiliwa tu na ndio maana kaamua kurudisha watoto wa vigogo ili alindwe, Sijui Kinana hana mtoto, maana angekuwa naye angelamba wizara tu.

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Kuna mambo yanayofanyika ni kama yanakinzana.., kuna decisions ukiziona au kauli ukizisikia unaweza kudhani labda mtu huyu anataka achukiwe au anashauriwa vibaya (anatengeza image mbovu kwa wapiga kura / wananchi).... Sidhani kama analiweza game la Propaganda....

Ila kuna move nyingine ukiziona ni kama vile unaangalia Movie ya The Godfather ile take over ya The Five Families ya Michael Corleone.., yaani the thinking beyond the thinking ni long term (playing the long game)

Mfano yaliyotokea leo kama kweli waliovutwa Ikulu walikuwa maadui au wana agenda zao ni kuwakata mabawa (even just for now) na kuweka ile plausible deniability kwamba mimi sio mbaya na tupo pamoja...

Kwahio kwa ufupi huenda aliyepo kwenye hii team he/she knows politics inside out; huenda asifanye mtu apendwe ila agenda zake zikapita no matter ni agenda gani hizo..., In short there might be a Political Maestro who is the Master of the Game...

Just an opinion from an Outside Observer....
Master of the game ni Mama mwenyewe, kafanya pre emptive strike ya pili within a week. Mama anaupiga mwingi anaweza akabadirisha formation katikati ya mchezo,kutegemea na hali harisi ya wakati huo.Anachojali ni matokeo tu.
 
Master of the game ni Mama mwenyewe, kafanya pre empty strike ya pili within a week. Mama anaupiga mwingi anaweza akabadirisha formation katikati ya mchezo,kutegemea na hali harisi ya wakati huo.Anachojali ni matokeo tu.
Vijana wanasema Mama anaufinyia ndani sanaa kama Andres! Kifupi Bi Mkubwa yupo vizuri, and ni mtoto wa mjini haswaa! Where is "Bingwa Ndugai"? Hahahaha
 
Ni hivi unaweza kuwavuta watu Ikulu na bado wakaendelea na mambo yao tena kwa viwango vya kutisha ambavyo hutaambua chochote , kimsingi Bi Mkubwa mfumo umemkataa , anavumiliwa tu , na ndio maana kaamua kurudisha watoto wa vigogo ili alindwe , Sijui Kinana hana mtoto , maana angekuwa naye angelamba wizara tu

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Sidhani kama hizi Move ni Brain Child ya Mama..., (Kutokana na kwamba kuna mambo yanafanyika ni kama Gwiji wa kucheza mchezo wa Siasa na mengine yanafanyika unaona ni tofauti) kwahio huenda zile move kali za Kisiasa (hata kama hazina mashiko long term) nahisi ni za mtu anayejua Siasa na yupo kwenye Team ya Mama...
 
Vijana wanasema Mama anaufinyia ndani sanaa kama Andres! Kifupi Bi Mkubwa yupo vizuri, and ni mtoto wa mjini haswaa! Where is "Bingwa Ndugai"? Hahahaha
Sidhani kama ni Mama..., kuna Kauli mama anazotoa papo kwa papo zinaonekana ni vigumu kuweza kuwaweka Check Mate wadau wake (yaani kuna kipindi kama anajifunga an own goal) Sababu tayari ana nchi angejitahidi ku-win mioyo ya wananchi (jambo ambalo sidhani kama anaweza) ila huko kwenye kunyukana kwenye Chama naona anapewa..., kwahio huenda huko ndio kuna washauri ambao ni magwiji ya Siasa...
 
1641883734566.png
MESSI!
 
Master of the game ni Mama mwenyewe, kafanya pre emptive strike ya pili within a week. Mama anaupiga mwingi anaweza akabadirisha formation katikati ya mchezo,kutegemea na hali harisi ya wakati huo.Anachojali ni matokeo tu.
Una Uhakika ni Mama Mwenyewe na Sio labda mtu anayezijua Siasa za Kuzidiana Kete ?
 
Ni hivi unaweza kuwavuta watu Ikulu na bado wakaendelea na mambo yao tena kwa viwango vya kutisha ambavyo hutaambua chochote , kimsingi Bi Mkubwa mfumo umemkataa , anavumiliwa tu , na ndio maana kaamua kurudisha watoto wa vigogo ili alindwe , Sijui Kinana hana mtoto , maana angekuwa naye angelamba wizara tu

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
My Friend....usicheze na dola,chezea ndevu tu.
Hao wamekuwa screened in and out na hakuna lolote baya wanaweza lifanza huko Ikulu...my friend Ikulu kitu ingine bwanaaaa.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Una Uhakika ni Mama Mwenyewe na Sio labda mtu anayezijua Siasa za Kuzidiana Kete ?
Mkuu nimeangalia kombora aina ya Tomahawk alilotumia kupiga shambulizi la kwanza,na akaja kushtuka kumbe kuna moving target ikielekea "huko" akaimaliza kwa stealth bomber F35.
Waliposema mama anaupiga mwingi hawakukosea.
 
Mkuu nimeangalia kombora aina ya Tomahawk alilotumia kupiga shambulizi la kwanza,na akaja kushtuka kumbe kuna moving target ikielekea "huko" akaimaliza kwa streath bomber F35.
Waliposema mama anaupiga mwingi hawakukosea.
Ila vita hivyo ni vya kushinda wenyewe kwa wenyewe Vita vya kushinda moyo wa Wananchi ni either Ku-Deliver au Kupiga Propaganda (hata kama sio za kweli) jambo ambalo sidhani kama analishinda sasa hivi
 
Sidhani kama ni Mama..., kuna Kauli mama anazotoa papo kwa papo zinaonekana ni vigumu kuweza kuwaweka Check Mate wadau wake (yaani kuna kipindi kama anajifunga an own goal) Sababu tayari ana nchi angejitahidi ku-win mioyo ya wananchi (jambo ambalo sidhani kama anaweza) ila huko kwenye kunyukana kwenye Chama naona anapewa..., kwahio huenda huko ndio kuna washauri ambao ni magwiji ya Siasa...
Ili uwawin wananchi wengi wa TZ (wengi hawajasoma, maskini, na wanachohangaikia wao ni mlo tu wa siku) inabidi uwe na tabia kama zile za Magufuli, za Kuishi, kusema na kuyatenda yale kundi hilo nililolitaja linataka! Samia hana haiba ya kuyafanya hayo aliyokuwa anafanya Magufuli.

Samia ni wa kisasa zaidi, hivyo yeye kama yeye ataweza kuwawin watu wa kundi la juu na kati, may be na wanawake sababu ya jinsia yake. Inabidi apate wasaidizi wanaokubalika na hilo kundi la chini ili limuunge mkono, ambapo kwa sasa naweza kusema ana Majaliwa, Kabudi, Ummy, Aweso, may be na huyo Lukuvi. January, Riz, Nape, Mwigulu hao wote tabaka la chini linawakataa, linawaona siyo wenzao (Nadhani unajua maskini walivyo).

Kwenye siasa za chama hadi sasa anaufinyia ndani vibaya mnoo, jinsi alivyopokea nchi kutokana na kifo cha Magu, jinsi alivyodeal na suala la Mbowe, jinsi alivyodeal na wafuasi wa Magu chamani, na sasa jinsi alivyompiga matobo Job, simply the best
 
Mama hana tofauti na Mr Smile mzee wa kukuchekea hata umfanyaje lakini anakunyoosha kimyakimya nahisi Mama kaunganisha nguvu na Mr Slim yule mwamba Chadema walikua wanamuita dhaifu kila aina ya tusi kesho utashangaa wapo ikulu wanapata kikombe cha Maziwa na yeye anachekaaa hana wasiwasi!
 
Kwenye siasa za chama hadi sasa anaufinyia ndani vibaya mnoo, jinsi alivyopokea nchi kutokana na kifo cha Magu, jinsi alivyodeal na suala la Mbowe, jinsi alivyodeal na wafuasi wa Magu chamani, na sasa jinsi alivyompiga matobo Job, simply the best
Kwa mawazo yangu hio ilikuwa another mistake (vita ambavyo hawezi kushinda politically) akimfunga ameshindwa akimwachia ameshindwa (asingeanzisha hio vita) Politically Havimsaidii kitu (Unless otherwise unaamini anaacha muhimili wa mahakama ufanye kazi na yeye hauingilii (Jambo ambalo aliingia nalo mwanzo na watu walimpenda kwamba atakuwa mtenda haki)
 
Mama hana tofauti na Mr Smile mzee wa kukuchekea hata umfanyaje lakini anakunyoosha kimyakimya nahisi Mama kaunganisha nguvu na Mr Slim yule mwamba Chadema walikua wanamuita dhaifu kila aina ya tusi kesho utashangaa wapo ikulu wanapata kikombe cha Maziwa na yeye anachekaaa hana wasiwasi!
Binafsi nadhani hizi political move za Simba mwenda pole zitakuwa za huyu Jamaa..., pamoja na mapungufu mengi jamaa Siasa (hususan za aina hii ) anaziweza
 
Kwa mawazo yangu hio ilikuwa another mistake (vita ambavyo hawezi kushinda politically) akimfunga ameshindwa akimwachia ameshindwa (asingeanzisha hio vita) Politically Havimsaidii kitu (Unless otherwise unaamini anaacha muhimili wa mahakama ufanye kazi na yeye hauingilii (Jambo ambalo aliingia nalo mwanzo na watu walimpenda kwamba atakuwa mtenda haki)
Sidhani kama ameliachia liendelee sababu ya kumchukia Mbowe au kuukandamiza Upinzani, kwanza Mbowe ni kati ya wapinzani wastaarabu sana, ni rahisi sana kumuita kuzungumza naye kama kuna mambo huyataki yafanyike kwa muda huo na akakusikiliza na kuwatuliza wafuasi wake.

Sababu za hiyo kesi kuendelea ni mystery ambayo wenyewe wanajua, May be kuna kitu kimejificha nyuma ya pazia.
 
Kuna mambo yanayofanyika ni kama yanakinzana, kuna decisions ukiziona au kauli ukizisikia unaweza kudhani labda mtu huyu anataka achukiwe au anashauriwa vibaya (anatengeza image mbovu kwa wapiga kura / wananchi).... Sidhani kama analiweza game la Propaganda.

Ila kuna move nyingine ukiziona ni kama vile unaangalia Movie ya The Godfather ile take over ya The Five Families ya Michael Corleone, yaani the thinking beyond the thinking ni long term (playing the long game)

Mfano yaliyotokea leo kama kweli waliovutwa Ikulu walikuwa maadui au wana agenda zao ni kuwakata mabawa (even just for now) na kuweka ile plausible deniability kwamba mimi sio mbaya na tupo pamoja.

Kwahio kwa ufupi huenda aliyepo kwenye hii team he/she knows politics inside out; huenda asifanye mtu apendwe ila agenda zake zikapita no matter ni agenda gani hizo..., In short there might be a Political Maestro who is the Master of the Game.

Just an opinion from an Outside Observer....
Kikwete
 
Master of the game ni Mama mwenyewe, kafanya pre emptive strike ya pili within a week. Mama anaupiga mwingi anaweza akabadirisha formation katikati ya mchezo,kutegemea na hali harisi ya wakati huo.Anachojali ni matokeo tu.
Kiukweli nimemvulia kofia Mama Samia tangu interview yake na Kikeke.

She is smart, very smart and she knows when to switch and when to stick. She is a political Maestro.

Viva Mama Samia Suluhu Hassan. Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Amir jeshi mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama ya Tanzania na Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi
 
Sidhani kama hizi Move ni Brain Child ya Mama..., (Kutokana na kwamba kuna mambo yanafanyika ni kama Gwiji wa kucheza mchezo wa Siasa na mengine yanafanyika unaona ni tofauti) kwahio huenda zile move kali za Kisiasa (hata kama hazina mashiko long term) nahisi ni za mtu anayejua Siasa na yupo kwenye Team ya Mama...
Mkuu, nashawishika hii ni smartness ya Mheshimiwa rais.

Kaangalie tena YouTube ile interview aliofanya na Kikeke na BBC swahili
 
Kuna mambo yanayofanyika ni kama yanakinzana, kuna decisions ukiziona au kauli ukizisikia unaweza kudhani labda mtu huyu anataka achukiwe au anashauriwa vibaya (anatengeza image mbovu kwa wapiga kura / wananchi).... Sidhani kama analiweza game la Propaganda.

Ila kuna move nyingine ukiziona ni kama vile unaangalia Movie ya The Godfather ile take over ya The Five Families ya Michael Corleone, yaani the thinking beyond the thinking ni long term (playing the long game)

Mfano yaliyotokea leo kama kweli waliovutwa Ikulu walikuwa maadui au wana agenda zao ni kuwakata mabawa (even just for now) na kuweka ile plausible deniability kwamba mimi sio mbaya na tupo pamoja.

Kwahio kwa ufupi huenda aliyepo kwenye hii team he/she knows politics inside out; huenda asifanye mtu apendwe ila agenda zake zikapita no matter ni agenda gani hizo..., In short there might be a Political Maestro who is the Master of the Game.

Just an opinion from an Outside Observer....
Then this master of the is a coward! He should surface for everybody to him, assess him/her rather than hiding behind the curtains!
 
Back
Top Bottom