Are we witnessing a political maestro?

Are we witnessing a political maestro?

You gotta do things differently brother.

What if Mama wants to be sincere to her own self??? What if she wants to achieve things she wants to achieve and leave the rest to us???

What if she really believes on her after death life and wants to be sincere not a propagandist??
Actions Speaks Louder than Words in the beginning maybe..., but as things go now she is turning into a politician (Politics changes people)...

Even Hitler may have started not to be as Hitler, (he had his Manifesto which in his own eyes was meant to do good)..., Whichever the leaders do they always console themselves that its for the bigger goal (the end justifies the means) and if you are surrounded with Yes people you will reach a journey to a different You sooner than you think

Current Politics is politics of now in which people don't plan long term (politics of survival and politics of attack) its hard to do the things you personally believe in a democratic world (especially in 10 years term) that's why when most recognize that they change their means which are justified by the end....

Anyway that's why I personally believe Democracy as we know it today in the whole world needs changing, unless otherwise nothing will ever be done and most time will be spent on campaigns, attacks and defense between polarized society

 
  • Thanks
Reactions: Ame
Ni hivi unaweza kuwavuta watu Ikulu na bado wakaendelea na mambo yao tena kwa viwango vya kutisha ambavyo hutaambua chochote, kimsingi Bi Mkubwa mfumo umemkataa, anavumiliwa tu na ndio maana kaamua kurudisha watoto wa vigogo ili alindwe, Sijui Kinana hana mtoto, maana angekuwa naye angelamba wizara tu.

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Mkuu kipindi hiki tuleteeni mtu imara hawa watu watiwe adabu, yaani hata Ile wakiweka ule wizi, Kura zao wakute zinapelea Tu!
 
Sidhani kama hizi Move ni Brain Child ya Mama..., (Kutokana na kwamba kuna mambo yanafanyika ni kama Gwiji wa kucheza mchezo wa Siasa na mengine yanafanyika unaona ni tofauti) kwahio huenda zile move kali za Kisiasa (hata kama hazina mashiko long term) nahisi ni za mtu anayejua Siasa na yupo kwenye Team ya Mama...
Zinaplaniwa kwingine, mama yeye anakuja Tu kuzi paste! Wanao cheza huu mchezo wapo
 
Master of the game ni Mama mwenyewe, kafanya pre emptive strike ya pili within a week. Mama anaupiga mwingi anaweza akabadirisha formation katikati ya mchezo,kutegemea na hali harisi ya wakati huo.Anachojali ni matokeo tu.
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Ili uwawin wananchi wengi wa TZ (wengi hawajasoma, maskini, na wanachohangaikia wao ni mlo tu wa siku) inabidi uwe na tabia kama zile za Magufuli, za Kuishi, kusema na kuyatenda yale kundi hilo nililolitaja linataka! Samia hana haiba ya kuyafanya hayo aliyokuwa anafanya Magufuli.

Samia ni wa kisasa zaidi, hivyo yeye kama yeye ataweza kuwawin watu wa kundi la juu na kati, may be na wanawake sababu ya jinsia yake. Inabidi apate wasaidizi wanaokubalika na hilo kundi la chini ili limuunge mkono, ambapo kwa sasa naweza kusema ana Majaliwa, Kabudi, Ummy, Aweso, may be na huyo Lukuvi. January, Riz, Nape, Mwigulu hao wote tabaka la chini linawakataa, linawaona siyo wenzao (Nadhani unajua maskini walivyo).

Kwenye siasa za chama hadi sasa anaufinyia ndani vibaya mnoo, jinsi alivyopokea nchi kutokana na kifo cha Magu, jinsi alivyodeal na suala la Mbowe, jinsi alivyodeal na wafuasi wa Magu chamani, na sasa jinsi alivyompiga matobo Job, simply the best
Kwann adili na wafuasi wa Magu ? Kwan kapindua nchi ? Hizi kauli zitakuja kufuchua siri tu baadae
 
Kwa haiba ya Samia, na Mbowe mwenyewe pia, hii kesi kwa macho yetu sisi watazamaji haina mashiko! Sasa wao ambao wapo uwanjani wanajua nini kinaendelea! Cha kushangaza zaidi Samia alimtakia pole Mbowe juu ya kifo cha kaka yake siku chache kabla ya kukamatwa kwake, na ilikuwa very humble msg, lakini wakati huo huo alikuwa ameandikiwa barua na mbowe ya kuomba kuonana naye na alikuwa amekubali tayari!

Ni jambo la kushangaza kidogo!!
Kujisafisha tu
 
Kuna mambo yanayofanyika ni kama yanakinzana, kuna decisions ukiziona au kauli ukizisikia unaweza kudhani labda mtu huyu anataka achukiwe au anashauriwa vibaya (anatengeza image mbovu kwa wapiga kura / wananchi).... Sidhani kama analiweza game la Propaganda.

Ila kuna move nyingine ukiziona ni kama vile unaangalia Movie ya The Godfather ile take over ya The Five Families ya Michael Corleone, yaani the thinking beyond the thinking ni long term (playing the long game)

Mfano yaliyotokea leo kama kweli waliovutwa Ikulu walikuwa maadui au wana agenda zao ni kuwakata mabawa (even just for now) na kuweka ile plausible deniability kwamba mimi sio mbaya na tupo pamoja.

Kwahio kwa ufupi huenda aliyepo kwenye hii team he/she knows politics inside out; huenda asifanye mtu apendwe ila agenda zake zikapita no matter ni agenda gani hizo..., In short there might be a Political Maestro who is the Master of the Game.

Just an opinion from an Outside Observer....
Mama anajua siasa kuliko tuvyotarajia
 
Mbowe na system ni waaarabu wapemba wanajuana kwa vilemba vyao, basi tu jiwe aliamuaga kumtesa kwa kutokujua, mbowe ataachiwa free na atabadeal gear angani kywazuga mashabiki wake
Umetumia akili au mkono kuandika huo utumb ? [emoji3][emoji3]
 
Ni yeye ? Binafsi nadhani naturally kwa haiba yake Mama sio Mwanasiasa ila mazingira yanambadilisha (Baptism of Fire) ila nyuma yake au kwenye washauri wake kuna watu wanaoijua siasa fika....
Tangu huu uzi umeanza mkuu naona umeshkilia sio yeye sio yeye. Hivi mkuu unajua mama yupo kwenye game kitambo???

Mkuu unajua figisu za haroun Ali Suleiman na wahindi wenzie kule Makunduchi ni hatari na bado mama alitoboa??
 
Ukongwe wa kabudi ndani ya siasa ni upi???

Rizimoko mkongwe kuliko kabudi
Mkuu leo umevuta cha Arusha?. Kabudi kazaliwa 1956-57 Ridhiwani kazaliwa 1979.

Kabudi ni mwalimu wa sheria chuo kikuu aliyechukuliwa na hayati JPM afanye kazi serikalini wakati huo Ridhiwani akipigapiga meza bungeni.
 
Mkuu kipindi hiki tuleteeni mtu imara hawa watu watiwe adabu, yaani hata Ile wakiweka ule wizi, Kura zao wakute zinapelea Tu!
Atatoka wapi? Mpaka sasa walio imara wapo tu wale walioandaliwa na baba wa Taifa...Sijaona mwingine, kila anayejaribu anaharibu kuliko wa kwanza
 
Ili uwawin wananchi wengi wa TZ (wengi hawajasoma, maskini, na wanachohangaikia wao ni mlo tu wa siku) inabidi uwe na tabia kama zile za Magufuli, za Kuishi, kusema na kuyatenda yale kundi hilo nililolitaja linataka! Samia hana haiba ya kuyafanya hayo aliyokuwa anafanya Magufuli.

Samia ni wa kisasa zaidi, hivyo yeye kama yeye ataweza kuwawin watu wa kundi la juu na kati, may be na wanawake sababu ya jinsia yake. Inabidi apate wasaidizi wanaokubalika na hilo kundi la chini ili limuunge mkono, ambapo kwa sasa naweza kusema ana Majaliwa, Kabudi, Ummy, Aweso, may be na huyo Lukuvi. January, Riz, Nape, Mwigulu hao wote tabaka la chini linawakataa, linawaona siyo wenzao (Nadhani unajua maskini walivyo).

Kwenye siasa za chama hadi sasa anaufinyia ndani vibaya mnoo, jinsi alivyopokea nchi kutokana na kifo cha Magu, jinsi alivyodeal na suala la Mbowe, jinsi alivyodeal na wafuasi wa Magu chamani, na sasa jinsi alivyompiga matobo Job, simply the best
Wanawake hawajawahi kupendana. Kuhusu kuwawini wananchi haijawahi kutokea tanzania sanduku likatoa matokeo. Kwa hiyo mama akishinda huko anakopambana atatoboa tu.ndipo mpambano halisi ulipo. Ccm kwa Ccm ndio uhasimu halisi ini KUSADIKIKA.
 
Master of the game ni Mama mwenyewe, kafanya pre emptive strike ya pili within a week. Mama anaupiga mwingi anaweza akabadirisha formation katikati ya mchezo,kutegemea na hali harisi ya wakati huo.Anachojali ni matokeo tu.
Unaamini yule mkurya snitch alikua na madhara kwa bi mdashi?

Inshort gari tulilopanda ni bovu, either tutalala porini/tutachelewa kufika au safari imeishia hapo.
 
Tangu huu uzi umeanza mkuu naona umeshkilia sio yeye sio yeye. Hivi mkuu unajua mama yupo kwenye game kitambo???

Mkuu unajua figisu za haroun Ali Suleiman na wahindi wenzie kule Makunduchi ni hatari na bado mama alitoboa??


Unavyosema ni yeye una maanisha anavyofanya ni sawa ama si sawa
 
Anavyofanya vipi??

Mama anafanya mengi tu, hebu dadavua aiseee.

Wewe ndio useme..

Unaambiwa sio yeye kuna mtu anampa maelekezo wewe unasema ni yeye…

Inamaanisha hicho anachokifanya kwako wewe ni sawa ama si sawa
 
Wewe ndio useme..

Unaambiwa sio yeye kuna mtu anampa maelekezo wewe unasema ni yeye…

Inamaanisha hicho anachokifanya kwako wewe ni sawa ama si sawa
Huwezi kujibu swali langu basi kaa pembeni usinipotezee muda na maswali yako ya kiufipa ufipa
 
Back
Top Bottom