cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Hebu leta ushahidi hapa bibi, lolTatizo la kanisa ni dunia nzima mpaka Umoja wa Mataifa imepiga kelele.
Mpaka Rais wa Ufilipino ikabidi afunguke alivyofanyiwa utotoni shule ya kanisa, ikamfaya alichukie kanisa.
Kama hiyo haitoshi, kuna mtu Tanzania katoa siri ya Fathee Kit Cunningham na wenzake wamewalawiti/lawitiwa na wanafunzi wote wa shulle St Francis.
Unayajuwa hayo, au unataka ushahidi?
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app