Ni kama jambo jepesi lakini limebeba maana nzito ya kiulimwengu!
Lengo kuu la kuiteka dunia kwa kuifanya dunia kuwaza pamoja, kwa muda mmoja na jicho la pamoja si jambo jepesi hata kidogo! Hii ni mipango ya wenye nguvu katika Ulimwengu wa roho. Asilimia 70% ya watu duniani Leo watafikilia na kutazama jambo moja kwa wakati mmoja!
Uamuzi wa nguvu muda katika mambo makubwa hutumika mataifa makubwa katika matukio makubwa kiroho mfano; masaa ya kuanzisha vita huzingatia sana muda, tarehe ya kutangaza kiongozi mkubwa ni muda, masaa ya kuzika kiongozi mkubwa ni muda na mambo mengi ya kutafta ushindi kwa msaada wa nguvu za kiroho!
Ufaransa ikitokea bara la ulaya wakiwa ni mabingwa watetezi wa kombe la dunia!
Wanapangiwa kushiriki katika mchezo kinyume na masaa yao ya ushindi
Saa 12, mwezi wa 12 siku ya jumapili, mwaka 2022 ni tarehe inayogawanyika kwa mbili katika nguvu ya Ulimwengu ni ishara ya kutawanya katika muktadha wa bara la ULAYA. Kila Bara lina muda na wakati wa nguvu ya kumiliki na kutawala!
Mgawanyo wa imani mbalimbali huko ufaransa katika siku hii na masaa dhaifu kwao yanaipasua ufaransa katika vipande vipande!
Mechi hii laiti ingechezwa saa moja, tatu au tano lazima wafaransa wangeshinda kombe hili kutokana na nguvu ya ushindi ya kikanda.
Argentina wakitokea bara la America ya kusini, Watachukua ushindi huu kwa sababu Leo nguvu ya ushindi inatoka bahari ya aktiki (upande wa ufaransa) kuelekea uelekeo wa bahari ya Atlantic ambako ni America ya kusini makazi ya ARGENTINA!
Leo hata anga na bahari wasafiri wanaotoka amerika kusini kwenda afrika na ulaya mida hiyo watakumbana na misuko mingi kuliko wanaotoka Ulaya kwenda amerika na ASIA!
Argentina ambayo asilimia 80% ya watu wake kuwa ni wakristo, wanapewa ushindi katika siku yao ya maombi!
ARGENTINA wakiwa wamepakana na BRAZIL, Uruguay na Paraguay inchi ambazo zinasakata kambumbu kisawasawa imepangwa kuzawadiwa kombe la dunia mwaka huu 2022 siku ya jumapili, 12 December!
Macho na masiko kwenye luninga nendeni mkashuhudie wafaransa wanavyokabidhi ubingwa huu Leo!
Nawakilisha kwenu hivi sasa ni saa 5:30 kabla ya mechi kuanza!
Aksanteni!
Lengo kuu la kuiteka dunia kwa kuifanya dunia kuwaza pamoja, kwa muda mmoja na jicho la pamoja si jambo jepesi hata kidogo! Hii ni mipango ya wenye nguvu katika Ulimwengu wa roho. Asilimia 70% ya watu duniani Leo watafikilia na kutazama jambo moja kwa wakati mmoja!
Uamuzi wa nguvu muda katika mambo makubwa hutumika mataifa makubwa katika matukio makubwa kiroho mfano; masaa ya kuanzisha vita huzingatia sana muda, tarehe ya kutangaza kiongozi mkubwa ni muda, masaa ya kuzika kiongozi mkubwa ni muda na mambo mengi ya kutafta ushindi kwa msaada wa nguvu za kiroho!
Ufaransa ikitokea bara la ulaya wakiwa ni mabingwa watetezi wa kombe la dunia!
Wanapangiwa kushiriki katika mchezo kinyume na masaa yao ya ushindi
Saa 12, mwezi wa 12 siku ya jumapili, mwaka 2022 ni tarehe inayogawanyika kwa mbili katika nguvu ya Ulimwengu ni ishara ya kutawanya katika muktadha wa bara la ULAYA. Kila Bara lina muda na wakati wa nguvu ya kumiliki na kutawala!
Mgawanyo wa imani mbalimbali huko ufaransa katika siku hii na masaa dhaifu kwao yanaipasua ufaransa katika vipande vipande!
Mechi hii laiti ingechezwa saa moja, tatu au tano lazima wafaransa wangeshinda kombe hili kutokana na nguvu ya ushindi ya kikanda.
Argentina wakitokea bara la America ya kusini, Watachukua ushindi huu kwa sababu Leo nguvu ya ushindi inatoka bahari ya aktiki (upande wa ufaransa) kuelekea uelekeo wa bahari ya Atlantic ambako ni America ya kusini makazi ya ARGENTINA!
Leo hata anga na bahari wasafiri wanaotoka amerika kusini kwenda afrika na ulaya mida hiyo watakumbana na misuko mingi kuliko wanaotoka Ulaya kwenda amerika na ASIA!
Argentina ambayo asilimia 80% ya watu wake kuwa ni wakristo, wanapewa ushindi katika siku yao ya maombi!
ARGENTINA wakiwa wamepakana na BRAZIL, Uruguay na Paraguay inchi ambazo zinasakata kambumbu kisawasawa imepangwa kuzawadiwa kombe la dunia mwaka huu 2022 siku ya jumapili, 12 December!
Macho na masiko kwenye luninga nendeni mkashuhudie wafaransa wanavyokabidhi ubingwa huu Leo!
Nawakilisha kwenu hivi sasa ni saa 5:30 kabla ya mechi kuanza!
Aksanteni!