Ribose
Senior Member
- Jul 3, 2022
- 114
- 164
tupe darasa kaka.. inawezekana hata biashara zetu tunafungua bila kufuata his formula na zinakufa kifo cha mendeMaisha ni formula mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tupe darasa kaka.. inawezekana hata biashara zetu tunafungua bila kufuata his formula na zinakufa kifo cha mendeMaisha ni formula mkuu
Kabisa mkuutupe darasa kaka.. inawezekana hata biashara zetu tunafungua bila kufuata his formula na zinakufa kifo cha mende
Kwa haraka haraka unaweza fikili alikosa kumbe mbingu ilikuwa tayali imegeuka Hata iweje kwa muda huo Hata angefunga goli lisingekubaliwa yaani lazima yangetokea mauza mauza! Maana tayali nguvu ya Ulimwengu ilikuwa upande wa ARGENTINA kwa muda huo hadi mpira unaenda kwenye matuta bado ilikuwa ndani ya muda wa ushindi kama nilivyosema kwenye uzinimerud tena..mkuu much respect.. ni kweli kipind cha pili FRANCE walikuja vzr na walishambulia sana na nusura KOLO MUANI awape goli la 3 france wakati ule wa extra time basi ni vile tayari ilishaanza Kufika saa mbili muda wa upepo kuhamia Argentina na goli likashindikana...