Argentina National Football Team (La Selección) Special Thread

Argentina National Football Team (La Selección) Special Thread

Tunatak kuionesha Dunia kua LA Albiceleste hii ni tishio na tuko tyr kupambana kwa jasho na damu.

#Qatar2022 We're Ready [emoji1033]
20221111_215853.jpg
 
Group stage tunaiua mapema sana hatucheki na nyani
 
Friendly match on yesterday
Emirates 0-5 La Seleccion
Alvarez ⚽️
Di maria ⚽️⚽️
Messi ⚽️
Correa ⚽️
 
Hakuna wa kutuzuia kombe letu hili tumengoja kwa mda mrefu Sana Sasa ni zamu yetu... Pengine tujiandae kuzuia kutokwa na machozi ya furaha siku mfalme wa soka Lionel Messi atakaponyanyua ndoo akilia kwa hisia baada ya kudhihakiwa kwa mda mrefu sasa
Asee fingers ziko crossed sana mkuu.. Kama Mungu anasikia maombi yetu bas ni wakati wetu Pa1 na mchezaj bora wa Dunian wa mda wote kushinda kila kitu kwny maisha yake wkt ndo sasa na tupambana kwa jasho la damu.
 
Argentina and Saudia, 13:00 saa saba kamili mchana wa leo

Screenshot_20221122-104212_FotMob.jpg
 
Back
Top Bottom