NikaribisheNa mbungi imeishiaa hapooo [emoji1732][emoji1732]
Sasa nileee cha dinner
Nisubirie hao masenegalii
Upo against sivyooWapeshia tumepoteza dhidi ya mkoloni
Saa moja nitakuwa upande wa nerthaland
Kwaheshima johan cruyff
Kwa wale vijana wanofurahia mpira unaofanywa na Kocha wa manchester city Pep gudiola
Pep ni kama mwanafunzi wa johan
Hizi tekino zinatusumbua sana, tuendelee kuvumiliaa
Dah nime miss game la england sasa wacha niwacheki senegal nasikia diatta mbaya wa taisfa stars anachezaUmeme umerudiiii 🤸🤸🤸
Tireni imewakaaaHuko twitter hapashikikiView attachment 2423337
PoleeeTanesco hawataki kurudisha umeme walau tuwaone Senegal
Senegal tunashinda hii mechi amini kwambaTanesco hawataki kurudisha umeme walau tuwaone Senegal
Kama una wifi ilio strong download totalsportek utacheko game zoteMwenye ako na link World cup 2022 online streaming pls share.
Napenda asonge ili mashabiki waendelee baki QaatarKelele za it's coming home huwa zinawapa hasira opponents
6-2 mkuu hakuna cha kupak basi apo.Si ulimuona Queiroz mataifa Africa na Egpty, anapaki basi hatari, hii mechi imeandikwa 0-0 ama 1-0 sio mechi ya magoli mengi.
Yeah kombe sasa liende South America[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kwamba waanze zile kelele za "it's coming home", alafu liwakute jambo?
🤣🤣🤣🤸Ukiangalia hizi mechi tbc utakua unaangalia Wed cup,ila ukiangalia DSTV hapo sasa ndo unaangalia World cup.
Bahati mbaya tu, Tactic za southgate zilikuwa nzuri zaidi, Bellingham kamaliza hii mechi kwa Free role yake.6-2 mkuu hakuna cha kupak basi apo.
Shukran sana mkuuDownload app moja inaitwa Cyprus TV.. Huko utaona kila. Aina ya mechi ni ww na bundle lako.