Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 6,346
- 14,546
Hii Tz ni shidaa tuuNamna nimeacha taa on wakirudisha nione𤣠lakini sioni dalili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii Tz ni shidaa tuuNamna nimeacha taa on wakirudisha nione𤣠lakini sioni dalili
NgumuSenegal tunashinda hii mechi amini kwamba
Hamna , hamna kabisa sisi tupambane tuwe no 2Senegal tunashinda hii mechi amini kwamba
Hawa mafala sisi mpk ss bila bila.. Ngj nipige huduma kwa wateja tugombane kdg kwnz.Umeme umerudiiii [emoji1732][emoji1732][emoji1732]
Umenishinda tabia mkuuMkuu rule namba 1 ni kwamba hili kombe kivyovyote vile lazima tuchukue
Tunachukuaje? Hilo ni swali ambalo halina majibu
Ila tutahakikisha mpaka kombe tunalipata basi hapa kati kati tutakuwa tumehama hama timu mpaka tulipate
šššššš acha ukorofiHawa mafala sisi mpk ss bila bila.. Ngj nipige huduma kwa wateja tugombane kdg kwnz.
Upo against sivyoo
Utapata tabu sanaaa
Nimechekaaa š¤£š¤£š¤£š¤£Mkuu rule namba 1 ni kwamba hili kombe kivyovyote vile lazima tuchukue
Tunachukuaje? Hilo ni swali ambalo halina majibu
Ila tutahakikisha mpaka kombe tunalipata basi hapa kati kati tutakuwa tumehama hama timu mpaka tulipate
Ya Asamoah hata mie iliniuma sanaaaaaaTaabu nilipata kule afrika kusini
Mechi ilikuwa ya muhimu sana
Uruguay vs Ghana
Ilitokea dkk za lala salama lui suares aliudaka mpira na kuuzuia kwa mikono yake
Suarez akala umeme refa akatenga tuta
Asamoa gyan akiwa kwenye ubora wake alikosa tuta
Mzee kofi annan aliita waandishi wa habari alilia machozi
Hawa wapuuz bila ivo sometimes wanatuona lbd hatuna shida ya umeme..ngj kwnz niwashe kdg moto hapa waone kwl watu Tuna hasira.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha ukorofi