Ninja assasin
JF-Expert Member
- Jul 2, 2018
- 2,512
- 5,848
Tanzania inacheza ama?ila hii Game tunakufa jamaa wapo kimkakat Sana
HuoooooooPoleee
Utarudii
Ule uwanja uliojengwa na makontena unaitwaje
Mendy alivyowachia mdomo wazii 😂Kidogo senegal apigwe kimoja
Stadium 974Ule uwanja uliojengwa na makontena unaitwaje
Walishikwa na ngenge nyingi langoniuholanzi wamekosa nafasi ya wazi kabisa
SafiiiiHuooooooo
Kweli kabisa Senegal wanamiliki mpira ila wakifika golini wanaruka ruka tuila hii Game tunakufa jamaa wapo kimkakat Sana
yaani lingekia goli mapema sanWalishikwa na ngenge nyingi langoni
Ni joke tu mkuu, badala ya Mubashara wameandika Mbashara,ikiwa mbashara ndio quality inakia hivi mkuu??
De Jong kazingua, ikawa faida kwa SenegalMendy alivyowachia mdomo wazii [emoji23]