vibesen xxx
JF-Expert Member
- Jul 23, 2022
- 3,187
- 6,620
Kitenge anaonekana mpira haangalii sana japo ni mtangazaji wa habari za michezo
Anazingua kitenge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anazingua kitenge
Hawa vipanga waliovua mashati na kujichora maandishi ya Senegal ina maana wamepuuza zile sheria za wenyeji?
Kelele muhimu ila kwa mbaaaaaliHivi wenzangu mnaotizama mpira nyumbani mko wenyewe hampigi makofi na kelele za hapa na pale 🤣🤣
Mi napiga sidaiwi..jesh la mtu mmojaHivi wenzangu mnaotizama mpira nyumbani mko wenyewe hampigi makofi na kelele za hapa na pale 🤣🤣
Mpira una vibe lake so kuna muda kelele zinaruhusiwa, au kwako kuna sheria kali kama Qatar😂Hivi wenzangu mnaotizama mpira nyumbani mko wenyewe hampigi makofi na kelele za hapa na pale 🤣🤣
Yan me ndo zinaniponyoka balaaa 🤣Mi napiga sidaiwi..jesh la mtu mmoja
Hao wa magharibi,miili yao si haba,Ndomaana walihusika kwenye triangula trade.Ni mapande ya watu.Mabeki wa kati wa Senegal ni warefu kwerikweri
Kabisa mkuu tunawapelekea moto sio poaWakikaa vibaya tunaondoka na ushindi.
Huo ndio ukweri, au nsema uongo ndugu zangu????Kitenge anaonekana mpira haangalii sana japo ni mtangazaji wa habari za michezo
Mpk nafaa kuulizwa mko wangap??Yan me ndo zinaniponyoka balaaa 🤣
Wanaumia hadi hurumaHuu mchezo mumeo akiwa anacheza akirudi nyumbani unatakiwa umkande mwili mzima hata kama wanatibiwa huko....wanaumia sana
Nyumbani hakuna stimu, huu mpira na injoi zaidi nikiwa kwenye banda umizaHivi wenzangu mnaotizama mpira nyumbani mko wenyewe hampigi makofi na kelele za hapa na pale 🤣🤣
Sana dear...sanaaaa yaniWanaumia hadi huruma