🤣🤣 yan zinaniponyoka unaweza dhani kuna mtu niko naeMpira una vibe lake so kuna muda kelele zinaruhusiwa, au kwako kuna sheria kali kama Qatar😂
Sasa sii bora ata wao wana shot on target, holland ata shot on target hawana.Hawa Senegal jamani wanashindwaje kufunga ?
Hapo ndo ntitiAttempt Goals Senegal 11 while Netherlands 7.
Shida isijekuwa shuti Moja Netherlands wakashinda.
Hawa leo tumewakamata wacha na sie tufurahie angalau drawAttempt Goals Senegal 11 while Netherlands 7.
Shida isijekuwa shuti Moja Netherlands wakashinda.
Mimi natamani wafunge, wanaupiga mpira wa ki ulaya ulaya .Sasa sii bora ata wao wana shot on target, holland ata shot on target hawana.
NtafurahiHawa leo tumewakamata wacha na sie tufurahie angalau draw
Mwite kiongozi wenu wa kuoenda tdh KelseaJaman haya makaka ya Senegal yamepanda hewani... mazuriii halafu meusii km mpingo. wanaume km hawa mbona tanzania siwaoni? (Nimekaa pale kwenye kona nasubiria kupopolewa)
Halafu wanajua kupenda hao na huwa hawacheat. Kama haujaolewa tafuta msenegal. HautajutaJaman haya makaka ya Senegal yamepanda hewani... mazuriii halafu meusii km mpingo. wanaume km hawa mbona tanzania siwaoni? (Nimekaa pale kwenye kona nasubiria kupopolewa)
Hao ni ma real Negro 🤣Jaman haya makaka ya Senegal yamepanda hewani... mazuriii halafu meusii km mpingo. wanaume km hawa mbona tanzania siwaoni? (Nimekaa pale kwenye kona nasubiria kupopolewa)
Wamekosa beast wa ukweli pale mbele, pengo la Mane linaonekana.Hawa Senegal jamani wanashindwaje kufunga ?
Sasa sii unajua tena wachezaji wote sii wa ulaya ulaya....senegal timu nzima ulaya. Huku waziri wetu anataka kutupa matumaini eti tutaenda world cup kwa wachezaji wa simba na yangaMimi natamani wafunge, wanaupiga mpira wa ki ulaya ulaya .
Asee ngoja nikienda Canada ntakamata mmoja...Halafu wanajua kupenda hao na huwa hawacheat. Kama haujaolewa tafuta msenegal. Hautajuta
Tanzanea hawapo kwasababo za keofondiJaman haya makaka ya Senegal yamepanda hewani... mazuriii halafu meusii km mpingo. wanaume km hawa mbona tanzania siwaoni? (Nimekaa pale kwenye kona nasubiria kupopolewa)