Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Mbona kapewa dakika nyingi Sana na kachemka?
Game ilishakuwa compact, Morocco walishapata goli na hawakuwa na cha kupoteza zaidi ya kukaa nyuma na kusubiri nafasi zao. Hawa waarabu tayari wanacheza compact game, ten men behind the ball, wana discipline kuanzia kipa hadi namba 11. Unamuingiza Ronaldo afanye nini tena.
 
Jana katoa machozi Neymar.
Leo katoa machozi Ronaldo.
Kesho atatoa machozi Andunje.
maandiko yanasema kila super star atalia kwa uchungu.😂😅
ANDUNJE ALISHALIA SANA hadi akastaafu soka la kimataifa
👇🏿👇🏿👇🏿
images - 2022-12-10T000538.793.jpeg

NI ZAMU YAKE KUCHEKA SASA
 
Yani kwa aibu hizi 🐐s wanavyolia Messi lazima ajipange mnoo na mechi ya jana itakuwa konki fire kwa argentina
 
Back
Top Bottom