Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

First 11 players wa Morocco wameumia leo hii akiwepo Captain wa timu, vipi kuhusu next mechi, haitawagharimu Morocco kimatokeo [emoji848][emoji28]
Inategemea na majeraha waliyopata yapo katika condition gani, kama ni ya muda mrefu basi itakuwa pigo kwao

Ila kama ni ya muda mfupi basi huwenda juma 4 hapo kila mmoja akawa ame recovery
 
Inategemea na majeraha waliyopata yapo katika condition gani, kama ni ya muda mrefu basi itakuwa pigo kwao

Ila kama ni ya muda mfupi basi huwenda juma 4 hapo kila mmoja akawa ame recovery
Shukrani Bosi kwa uchambuzi mahiri kabisa, ngoja tusubirie updates maana nimemskia Dr Licky akidai yule Captain wa Morocco ndiye aliyekuwa anajua kupanga sana wachezaji kiuchezaji, ndiyomaana alipoumia tu Morocco iliyumba kiaina ktk mchezo
 
30 minutes to go
ENGLAND Tunalitaka sana hili kombe
Screenshot_20221210-212535.jpg
 
Back
Top Bottom