Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Afu saizi jumapili maana yake England wana masaa machache ya kulala ili waanze safari

Na jumapili kunakuwaga na nyomi ya wasafiri sijui walikumbuka kufanya booking mapema??

Lakini hawawezi kuwa wazembe sehemu zote najua katika hili walijipanga
 
Kinachonifurahisha zaidi ni kwamba England ndio alikuwa tumaini la wengi humu

Mnajiskiaje kuona mliyemtuma aje kututuliza mmemkuta ametulia??

Mliyemtuma aje atuchore ametukuta tumeshika picha zake

Inaboa ila ndio hivyo siku zote mpira unamuheshimu fundi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…