Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Kwani hujaelewa kama nimetania au ni sles za kufungwa?

Au ulibeti?

Vamoooos Messi the GOAT

Maana bila hivo nyie hamtulii nawafahamu
Umetania wakati umeweka na "" kabisa na kunitag.

Si wengine mpira tuna ujua na tuna uheshimu hatuongeagi vitu hovyo ovyo.
 
Umetania wakati umeweka na "" kabisa na kunitag.

Si wengine mpira tuna ujua na tuna uheshimu hatuongeagi vitu hovyo ovyo.
Sasa kuweka """ kuna uhusiano gani na kuwa serious??

Kwani wapi nimetilia shaka ujuzi wako wa mpira?

Nani kakuuliza kama unajua mpira au la?

Mbona kama unajishtukia?
 
Shida ni kuona akinyanyua kwapa?

Msubiri akipiga mwayo au akijinyoosha

Lile kombe lina mwenyewe tena kaeni mbali nalo kabisa
Kombe ataliinua Messi, hata mbappe anatamani iwe hivyo.
 
Matako yako morroco atacheza na ufaransa akijua anacheza na ngombe nyeusi tu
Utabadilisha timu mpaka ukome ila hakuna timu ambayo ikipewa nafasi ichague mpinzani wakucheza naye ikachagua France

Hakuna!!!!

Sio Morroco sio Adventina, hakuna ambaye yuko tayari kukutana na France kwa hiari yao

Hii imewakuta tu wamwpangwa na hawana namna inabidi tu wacheze ila ingekuwa hiari yao hakuna ambaye angethubutu kuchalenjiana na mfaransa
 
Sasa kuweka """ kuna uhusiano gani na kuwa serious??

Kwani wapi nimetilia shaka ujuzi wako wa mpira?

Nani kakuuliza kama unajua mpira au la?

Mbona kama unajishtukia?
Nimekuuliza wapi nilipo andika,unazunguka kama dawa ya mbu

"France leo hachomoki hata kwa dawa ".

Hayo yote yalianzia sababu ya umama wa hapo juu 👆👆👆.

Wewe nionyeshee hiyo comment, then mimi nitajibu hayo maswali yako.

Mimi sijishtukii bali sipendi UZUSHI ULIO ANDIKA humu kwa kutag mimi.
 
Najionea hapa unavyokiri kwa maandishi yako. Hongera kwa kuwa muungwana na kufahamu Messi ndio mwenye kombe.
Sasa mbona umeikata post yangu?

Unajua mimi najua namna ya kula na kipofu, nikiendelea na huu utaratibu wa kuisema France kwa ubora alionao najua humu wengi mtalala mapema nami sitaki kubaki alone

Kwasababu najue humu wengi ni team Messi na story yeyote ya kuwafanya mcheke ni kuandika hivyo
 
Nimekuuliza wapi nilipo andika,unazunguka kama dawa ya mbu

"France leo hachomoki hata kwa dawa ".

Hayo yote yalianzia sababu ya umama wa hapo juu 👆👆👆.

Wewe nionyeshee hiyo comment, then mimi nitajibu hayo maswali yako.

Mimi sijishtukii bali sipendi UZUSHI ULIO ANDIKA humu kwa kutag mimi.
Maneno gani kwanza?

Hayo hapo juu uliyoandika wewe ukiuliza nani aliyeandika?
 
Morocco out

Morocco out
Morocco out
France tuondolee hayo mabaguzi
 
Tuliza kinyeo mke wa cr7
Napenda sana mfikie hatua hii

Hii inazidi kunipa sana morale wa kuzidi kukaza

Najua wewe ni team Messi ila mimi nikisema nim critic basi nitam discuss kistaarabu bila maneno kama hayo

Na hiyo inathibitisha maneno niliyoandika masaa machache kupita kuwa mashabiki wengi wa Messi hamna busara
 
Sasa hapo kaandika nani?

Au unataka kusema mimi nime hack aacount yako nikaandika hivyo?
Ndio maana nikasema ni onyeshe nilipo andika humu JF,hii kauli.

"France leo hachomoki hata kwa dawa ".

Manake wewe umesema mimi nimeandika.
1670711679938.png


Post zangu mbili kabla ya mechi ya saa nne ni hizi hapa.
Screenshot_20221211-010140_Chrome.jpg

Screenshot_20221211-010046_Chrome.jpg


Si wengine hatupendi uzushi, huo uzushi wa watoto wa kike mtoto wa kiume hutakiwi kuwa mzushi.
 
Back
Top Bottom