joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Umetania wakati umeweka na "" kabisa na kunitag.Kwani hujaelewa kama nimetania au ni sles za kufungwa?
Au ulibeti?
Vamoooos Messi the GOAT
Maana bila hivo nyie hamtulii nawafahamu
Si wengine mpira tuna ujua na tuna uheshimu hatuongeagi vitu hovyo ovyo.