Morocco outFrance ni wamoto kila idea.
Moroco wana maswali ya kujibu ila sio kinyonge Fainali ni Argentina dhidi ya Morocco.
#Team Messi10.
Morocco out
Africa tusishabikie hao watu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Morocco outFrance ni wamoto kila idea.
Moroco wana maswali ya kujibu ila sio kinyonge Fainali ni Argentina dhidi ya Morocco.
#Team Messi10.
Picha kwangu hazifungukiNdio maana nikasema ni onyeshe nilipo andika humu JF,hii kauli.
"France leo hachomoki hata kwa dawa ".
Manake wewe umesema mimi nimeandika.
View attachment 2442446
Post zangu mbili kabla ya mechi ya saa nne ni hizi hapa.
View attachment 2442448
View attachment 2442449
Si wengine hatupendi uzushi, huo uzushi wa watoto wa kike mtoto wa kiume hutakiwi kuwa mzushi.
Haziwezi kufunguka sababu ya uzushi wako, kama mpira hujui bora "ukacheza mdako na kina mama " na si kuzushiana habari za kipuuzi ambazo sija andika.Picha kwangu hazifunguki
Sasa kama unajua haziwezi kufunguka huku ukijua sababu inayosababisha zisifunguke ni nini, kwanini sasa ulizituma?Haziwezi kufunguka sababu ya uzushi wako, kama mpira hujui bora "ukacheza mdako na kina mama " na si kuzushiana habari za kipuuzi ambazo sija andika.
AiseeeeeWache wapige penati yao watakosa tu
Huna wa kukufulia?Refa maliza mpira kesho nakazi ya kufua
Mke/mpenzi kazi yake ni kufua?😂Huna wa kukufulia?
Scars umebanwa mbavu sasa umeanza majibu ya kijanja kama yale unapopinga uwepo wa Mungu.Sasa hapo kaandika nani?
Au unataka kusema mimi nime hack aacount yako nikaandika hivyo?
Morocco wamekukera kweli kweli...wewe utakua ni fan wa CR 7.Morocco out
Morocco out
Africa tusishabikie hao watu
Ongezea na mshindi anajirudia tenaFinally ya 2018 inarudi tena.
...noma sanaOKOCHA anasema Nusu Fainali ya FRANCE Vs MOROCCO ni AFCON semifinal [emoji28][emoji28]
Ukate halafu uweke picha hapaUfaransa akimfunga England najikata mkuyenge
Tembea tukuoneVamos England [emoji95][emoji95][emoji95]
Ukiondoshwa leo natembea kwa mguu hadi Qatar
Hakuna mchezaji yeyote asiyethibitika.1. Wakati ronaldo anasubiri pasi afunge messi creates chances for goals
2. Leo nmeamini mbappe anathibitika