Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Hivi kwanini Morocco wakishinda vijana wao hufanya fujo sana?

Bora Ufaransa ibebe au Croatia kuliko Argentina
 
Nilipitiwa na usingizi kabla ya mechi haijaanza, walitokaje huko jamani...

It is coming home au we are going home?
Hivi hii coming home ni nani aliwafariji na hii kauli??
Akamatwe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kuna hatihati mpira wa Kane ndio ukatua kwao.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
MORROCO vs Spain no one believed they will advance to the next stage

Morocco vs Portugal also no one believed they will advance

Now vs France I bet they will make through to the final
It's compulsory to believe that but MORROCO can lift the world cup because they have best statistics than any other team in the world cup campaign so far
Morocco kazi yake hapo Qatar ni kutuchapia tu magiants.
Spain [emoji633] - kaliwa kichwa
Portugal [emoji1201] - kaliwa kichwa
France [emoji632] - nae ataliwa kichwa
Finally ni Argentina [emoji1033] vs Morocco [emoji1173]
Kina Otamendi na Akunya wakizingua kombe linakuja Africa kwa mara ya kwanza tokea kuumbwa dunia.
 
Fainali ni Argentina vs Morocco
Yaani unajaribu kupitia mitazamo ya watu,,,, wengi tuko kiushabiki+kuwachukia Morocco kwenye kivuli cha uarabu wao,,,,
Kiuhalisia Morocco wanacheza kitimu sana ndo silaha yao kubwa,,, France na nchi za ulaya mbinu wako advanced sana mda wowote wanatengeneza tukio la kuzaa goli,,,
France+++ vichwani ila kama +++ zao Morocco wakizidhibiti basi Morocco wanatinga fainali,,, sioni ugumu wa France mbele ya Morocco,,, naiona Morocco fainali pia
 
Wachezaji hawa wote ni injured lakini bado Ufaransa inashinda na kuendelea kutetea ubingwa wake
1670739164433.png
 
Wale haters wa Morocco mmesha hamia France au bado mnajishauri?

Niliwaambia kua Spain atakula kichapo mkabisha,akapiwa mkahamia Portugal,napo mkapaza sauti kua Morocco atatolewa na Portugal,haikutokea,Porugal nae kala kichapo kitakatifu.
Wafaransa tupo hapa, una neno lolote la utabiri ndugu mchambuzi?
 
Nawaonea huruma Argentina wakikutana na hawa Wababe wa Ufaransa.... any way any team yoyote inaweza shinda
 
Back
Top Bottom