Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022


Wewe si mshabiki wa Brazil imekuaje upo France?? Nyie ndo hamna tofauti na malaya[emoji23][emoji23]
 
Nusu fainal Croatia 2-1 Argentina 1
Nusu Fainali Morocco 1- France 0
Au wanaweza enda matuta but other things remains constant wataishia 1-0 ushindi wa Morocco

Alafu Fainali itakuwa

Morocco 2-Croatia 1 Fainali

Morocco mshindi

Wewe si ulisema Brazil anawin WC?? Mmebaki na mpira wa makaratasi na mdomoni, mpira ni dimbani.
 
Wale haters wa Morocco mmesha hamia France au bado mnajishauri?

Niliwaambia kua Spain atakula kichapo mkabisha,akapiwa mkahamia Portugal,napo mkapaza sauti kua Morocco atatolewa na Portugal,haikutokea,Porugal nae kala kichapo kitakatifu.

Bila kusahau haters wa Messi wamekimbilia France[emoji23][emoji23]
 

Netherland wameonesha kiwango gani?? Bora ungesema Japan ningekuelewa
 
Utakufa kwa chuki kijana. Kombe la Messi hili bila wasiwasi wowote. Tena england ndio nilikuwa nawahofia maana kuna historia fulani.

Baada ya england kufurushwa basi ni raha mustarehe.
Kweli ushabik ni kama kilevi tu....![emoji849][emoji849][emoji849]
 
Morocco out
Morocco out
Africa tusishabikie hao watu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] usitupangie bana..,!! Katu sishaikii mkoloni.......bora nimshabikie mtoto wa kambo (morocco) kuliko hayo mabeberu yenu....!! Nyie ndio mnaleta ukolon mambi leo[emoji90]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] usitupangie bana..,!! Katu sishaikii mkoloni.......bora nimshabikie mtoto wa kambo (morocco) kuliko hayo mabeberu yenu....!! Nyie ndio mnaleta ukolon mambi leo[emoji90]
Morocco out Morocco out Morocco out Morocco out Morocco out Morocco out
Tusishabikie hayo mabaguzi hayatufai
 
Fainali ni Argentina vs Morocco
Umelogwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787] team mbeleko ifike huko.....!! Argentina ilionewa huruma ule mpira alioshika messi ilitakiwa RED directly na pale messi angetoka Argentina angekufa...!! All in all sishabikii mabeberu mm...!! Penat ya jana England maafricast wakanyimwa akapiga pure akakosa upuuz mtupu....!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…